Mayele kaonewa zaidi na waamuzi this season

Ni kweli,lakini asonge mbele hayo yamepita
 
Sasa kama wakwetu wanajiweza waende hata ligi ya Uganda tu au Kenya?
 
Bilakufungwa msimu mzima zilikuwa metch ngapi
 
Acha kumshambulia mwenzio kwa mifano ya kipumbavu zingatia alichoandika. Kila Mara mnahamasisha uzalendo hata kwenye michezo inayofanyika wazi na dunia inaona? Nani asiyejua juhudi za mayele uwanjani? Kwa ushauri wako wa kipumbavu kama ni hivyo,andaeni viatu vya ufungaji bora vya wazawa na wageni.
Maana wachezaji wageni wanajituma sana na kupaisha ligi yetu kuliko wazawa ambao kazi yao ni majungu,kuroga na viburi. Swaini!!!!
 
Andiko langu watalielewa watu wenye akili timamu, kwakuwa wewe ni dhahiri kichwa umejaza kamasi kutokana na utapiamlo kamwe huwezi elewa chochote kaaa kimia
 
hapa kuna conflict, Mpole mtz mwenzetu kongole sana kawin ila Mayele pia furaha yetu wananchi katubebesha kombe msimu huu! duh!
 
Andiko langu watalielewa watu wenye akili timamu, kwakuwa wewe ni dhahiri kichwa umejaza kamasi kutokana na utapiamlo kamwe huwezi elewa chochote kaaa kimia
Mmmmh
 
Andiko langu watalielewa watu wenye akili timamu, kwakuwa wewe ni dhahiri kichwa umejaza kamasi kutokana na utapiamlo kamwe huwezi elewa chochote kaaa kimia
Utakuwa wewe ndo hujanielewa naona umeamua kujihami na kejeli na matusi. Meza dozi virusi huwa vibaya sana
 
Nendeni mkashitaki CAS
 
Yanga kwa ujumla wameonewa vya kutosha wacha Manara atukane
Hiyo siku ya fainali tu coast wameshika mara mbili refa anapeta tu
Yanga wamenyimwa magoli kibao tu ati offside...
 
Yanga kwa ujumla wameonewa vya kutosha wacha Manara atukane
Hiyo siku ya fainali tu coast wameshika mara mbili refa anapeta tu
Yanga wamenyimwa magoli kibao tu ati offside...
Sana yan
 
Mayele amejua kuwaliza machozi makolo hadi mnahasira naye kama amewamwagia maji ya mchele [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeni kwa kuteseka. Mayeleee ni Nkane wa kigeni. Woiiiiiih
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…