Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wap tena au yanga?Hana jipyq akwendreee hukoo
Kwaiyo kuwatembelea tiyali amesajiliwa Simba? Mbumbumbu ni mbumbumbu tu
Aliyekuwa mchezaji wa Yanga SC, Fiston Mayele ambaye kwa sasa anakipiga na Klabu ya Pyramid ya Misri, leo Aprili 4, 2024 ametembelea kambi ya Klabu ya Simba ambayo kesho inapambana na Al-Ahly ya hukohuko Misri katika mchezo wa marudiano wa robo fainali ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika.
Huyo ni sawa na x demu wa Yanga, kuleni makombo yetu🤣
Aliyekuwa mchezaji wa Yanga SC, Fiston Mayele ambaye kwa sasa anakipiga na Klabu ya Pyramid ya Misri, leo Aprili 4, 2024 ametembelea kambi ya Klabu ya Simba ambayo kesho inapambana na Al-Ahly ya hukohuko Misri katika mchezo wa marudiano wa robo fainali ya mashindano ya Klabu Bingwa Afrika.
Makombo kama Okrah 😀 😀 😀Ndio Makolo mlipoishia kuokota Makombo...hivi hamna watu wa scouting ?
Mayele yeye haonekani na scout? Vyura hamsajili wachezaji kutoka timu nyingine? Nyie wa kwenu ni brand new sio makombo?Ndio Makolo mlipoishia kuokota Makombo...hivi hamna watu wa scouting ?
Huu ndo wivu sasa? Mkude, Okra basi nyinyi mtahara kwa kuyafakamia.Huyo ni sawa na x demu wa Yanga, kuleni makombo yetu🤣
Wacha ujinga hainaga makombo bobi😁Huu ndo wivu sasa? Mkude, Okra basi nyinyi mtahara kwa kuyafakamia.
Vizuri umeelewa hili.Wacha ujinga hainaga makombo bobi😁
Yanga ilishamtumia vyakutosha, sasa ni mkweche tu😁Atakua kama saidoo
Usipaniki kijanaVizuri umeelewa hili.
Hata miq tulisema hivi hiviHata kpind chama anarudi mlisema hivhivi
Sasa chama kwasasa si nyani mzee tu?Hata kpind chama anarudi mlisema hivhivi