Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kai Havertz anakupa option ya kukaba na kushambulia, Lionel Messi anakupa option ya kushambulia pekee utampanga nani?Mudathir anakupa option ya kukaba na kushambulia Chama ana shambulia pekee wewe kama ni coach utampanga nani?
sijatoa hoja hapo ni maoni tu kwa timu kubwa ya Yanga...wala hii sio hoja
Hapo hawezi kuelewa atabisha mpaka kesho,Chama hana uwezo wa kufanya majukumu ya Mudathir.
Chama anacheza nafasi ipi na Mudathir anacheza nafasi ipi? Halafu ukipata jibu nambie kati ya mimi na wewe nani Mbumbumbu.
Utamuweka nani nje acheze Chama au utamtoa nani ili aingie Chama kama sub?Mpira ni ajira! Mpira ni fedha! Kama Mrisho Halfan Ngassa na mapenzi yake yote yake kwa Yanga, bado alizichezea Azam na Simba!
Hivyo sioni kama kuna kosa kwa huyo Mayele kusajiliwa na Simba, au hata kwenda Azam! Na pia Chama kusajiliwa Yanga. Maana ni jambo la kawaida tu kwenye mpira.
Hizo ni tetesi, Chama ni mchezaji mzuri ila sidhani kama Yanga inahitaji mchezaji wa aina yake. Yupo vizuri timu ikiwa ina mpinzani dhaifu, hakabi na kwenye kukaba anazidiwa hadi na Aziz Ki.chama huu ndio msimu wake wa mwisho, na kakataa kuongeza muda. mayele naye anaomba kuvunja mkataba kule pryamid, maana yake mayele anaenda simba na chama anaenda yanga.
Tuna ongelea Messi hapa? kwa hio Chama ni Messi?Kai Havertz anakupa option ya kukaba na kushambulia, Lionel Messi anakupa option ya kushambulia pekee utampanga nani?
Yanga ina mpira wa kasi na nguvu, hii ndio falsafa yao, Simba wanamiliki mpira, sio rahisi Chama kucheza Yanga.Chama ni mchezaji akuna wa kumfikia kwenye ligi yetu, ila kwa speed ya Yanga Chama hatoweza labda akienda huko abadilike.
Kweli mkuu, tunahitaji imarisha kiungo tena, beki wa kati na ikiwezekana hata mshambuliaji wa uhakika.Hizo ni tetesi, Chama ni mchezaji mzuri ila sidhani kama Yanga inahitaji mchezaji wa aina yake. Yupo vizuri timu ikiwa ina mpinzani dhaifu, hakabi na kwenye kukaba anazidiwa hadi na Aziz Ki. Yanga inahitaji kuongeza beki wa kati na kiungo mkabaji mzuri. Mayele na Chama wakaongeze nguvu Azam FC.
HakikaKweli mkuu, tunahitaji imarisha kiungo tena, beki wa kati na ikiwezekana hata mshambuliaji wa uhakika.
Nimekupa mfano uone point yako haina mashikoTuna ongelea Messi hapa? kwa hio Chama ni Messi?
Mmekua kama sungura wa sizitaki mbichi hiziChama aje kufanya nini Yanga,mzigo tu,mtu anayeringa hafai
Let's say una Messi kwenye timu yako ikitokea haiendani na mfumo utalazimisha acheze ?Nimekupa mfano uone point yako haina mashiko
ChaiChama huu ndio msimu wake wa mwisho, na kakataa kuongeza muda. Mayele naye anaomba kuvunja mkataba kule Pryamid, maana yake mayele anaenda simba na chama anaenda yanga.