Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hatumtaki mayele ni mmbeya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hatumtaki mayele ni mmbeya
Sio rahisi lazima utengeneze mfumo nae awepoLet's say una Messi kwenye timu yako ikitokea haiendani na mfumo utalazimisha acheze ?
Kila mtu ashinde mechi zakeChama huu ndio msimu wake wa mwisho, na kakataa kuongeza muda. Mayele naye anaomba kuvunja mkataba kule Pryamid, maana yake mayele anaenda simba na chama anaenda yanga.
Hayo mambo yapo Simba kumwambia kocha aingie kwenye mfumo wa mchezajiSio rahisi lazima utengeneze mfumo nae awepo
Sio Simba tu, hakuna mfumo utaomkataa mchezaji boraHayo mambo yapo Simba kumwambia kocha aingie kwenye mfumo wa mchezaji
Umeanza kufatilia mpira lini? Unamfahamu Ricardo Kaka? Nini kilitokea alipo join Real MadridSio Simba tu, hakuna mfumo utaomkataa mchezaji bora
Nchi ngumu sana hiiChama huu ndio msimu wake wa mwisho, na kakataa kuongeza muda. Mayele naye anaomba kuvunja mkataba kule Pryamid, maana yake mayele anaenda simba na chama anaenda yanga.
Viongozi wa utopolo hawalijui hilo, kwani kulikua na uhitaji wowote wa kumsajili Mkude?YANGA KUMSAJILI CHAMA NI KAMA KURUDI NYUMA HATUA 8 WAKATI ULIENDA MBELE KWA HATUA 3 TU
Ali floppy , chama hajafloppyUmeanza kufatilia mpira lini? Unamfahamu Ricardo Kaka? Nini kilitokea alipo join Real Madrid
mkude aliokotwa tu si kusajiliwa...kati ya chama na mkude kwenye masuala ya usajili ni vitu viwili tofauti,chama tataka dola 100000 kama ada ya usajili mshahara dola 10000 afu bado atataka awe mkubwa kuliko timu kama anavyowatesa makolouzdad,kama si kujirudisha nyuma huko ni nini?Viongozi wa utopolo hawalijui hilo, kwani kulikua na uhitaji wowote wa kumsajili Mkude?
Haya ni maoni yako na hayana uhalisia wowote, Chama akiachana na Simba leo hii Yanga watamkimbilia mbio mbio na kumsajili kwa mbwembwe za kiwango cha juumkude aliokotwa tu si kusajiliwa...kati ya chama na mkude kwenye masuala ya usajili ni vitu viwili tofauti,chama tataka dola 100000 kama ada ya usajili mshahara dola 10000 afu bado atataka awe mkubwa kuliko timu kama anavyowatesa makolouzdad,kama si kujirudisha nyuma huko ni nini?
Wamekuuliza atacheza namba ya nani sasa ilitakiwa ujibu bintikama mudathir anaanza yanga kweli Chama akae nje kwa kikosi Gani icho mlichonacho ambacho Chama ataka Benchi kweli manara alikua sahihi kusema mashabiki wa Yanga hamna akili
Kumfikia kwenye kitu gani?Chama ni mchezaji akuna wa kumfikia kwenye ligi yetu, ila kwa speed ya Yanga Chama hatoweza labda akienda huko abadilike.
Sasa umeona wapi kiongozi wa yanga anasema hivyo?Kwa mara ya kwanza timu nakubali mchezaji wa timu pinzani mpaka kumhitaji. Sijawahi sikia hili viongozi wa Simba wakisema kuhusu mchezaji wa Yanga wanayemkubali
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app