Mayele Siku zingine uache Sifa unaona sasa Ulivyoumbuka Jana?

Mayele Siku zingine uache Sifa unaona sasa Ulivyoumbuka Jana?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwanza ulishangilia Goli ambalo hukufunga alijifunga Mwanachama Hai wa Yanga SC Beki Andrew Vicent Dante kisha ulipokuwa unakimbia kwenda Jukwaa Kuu alikokuwa amekaa Rais Mstaafu na mwana Yanga SC lia lia Jakaya Mrisho Kkwete ili Ushangilie na Shangilia yako ya Kishamba ukakuta alishaondoka Uwanjani pale Kitambo tu huku akiwa anaitafuta Kerege akielekea Kwake Msoga Chalinze Mkoani Pwani.
 
Kwanza ulishangilia Goli ambalo hukufunga alijifunga Mwanachama Hai wa Yanga SC Beki Andrew Vicent Dante kisha ulipokuwa unakimbia kwenda Jukwaa Kuu alikokuwa amekaa Rais Mstaafu na mwana Yanga SC lia lia Jakaya Mrisho Kkwete ili Ushangilie na Shangilia yako ya Kishamba ukakuta alishaondoka Uwanjani pale Kitambo tu huku akiwa anaitafuta Kerege akielekea Kwake Msoga Chalinze Mkoani Pwani.
Unaumia ukiwa wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ushabiki maandazi, mchezaji hawezi kujifunga bila sababu, sababu ni kutaka kuokoa goli lililotaka kufungwa na mayele kisha akafanya mistake, hata Kama asingegusa mpira ulikuwa unaenda kambani.

Kama yeye anaweza sana kufunga angemfunga Diarra,


Umetafuta cha kuongea umekosa ndio umeamua kuleta huu utoporo🤣🤣7️⃣
 
Kwanza ulishangilia Goli ambalo hukufunga alijifunga Mwanachama Hai wa Yanga SC Beki Andrew Vicent Dante kisha ulipokuwa unakimbia kwenda Jukwaa Kuu alikokuwa amekaa Rais Mstaafu na mwana Yanga SC lia lia Jakaya Mrisho Kkwete ili Ushangilie na Shangilia yako ya Kishamba ukakuta alishaondoka Uwanjani pale Kitambo tu huku akiwa anaitafuta Kerege akielekea Kwake Msoga Chalinze Mkoani Pwani.
Ahahahhh gent Kam genta
 
Kwanza ulishangilia Goli ambalo hukufunga alijifunga Mwanachama Hai wa Yanga SC Beki Andrew Vicent Dante kisha ulipokuwa unakimbia kwenda Jukwaa Kuu alikokuwa amekaa Rais Mstaafu na mwana Yanga SC lia lia Jakaya Mrisho Kkwete ili Ushangilie na Shangilia yako ya Kishamba ukakuta alishaondoka Uwanjani pale Kitambo tu huku akiwa anaitafuta Kerege akielekea Kwake Msoga Chalinze Mkoani Pwani.
Mambo vipi POPOMA?
 
Kwanza ulishangilia Goli ambalo hukufunga alijifunga Mwanachama Hai wa Yanga SC Beki Andrew Vicent Dante kisha ulipokuwa unakimbia kwenda Jukwaa Kuu alikokuwa amekaa Rais Mstaafu na mwana Yanga SC lia lia Jakaya Mrisho Kkwete ili Ushangilie na Shangilia yako ya Kishamba ukakuta alishaondoka Uwanjani pale Kitambo tu huku akiwa anaitafuta Kerege akielekea Kwake Msoga Chalinze Mkoani Pwani.
Kwahiyo, angegonga mwamba na mpira kuingia golini, na kuwa goli, MWAMBA NDO UNGEKUWA UMEFUNGA GOLI HILO..!?
 
Ushabiki maandazi, mchezaji hawezi kujifunga bila sababu, sababu ni kutaka kuokoa goli lililotaka kufungwa na mayele kisha akafanya mistake, hata Kama asingegusa mpira ulikuwa unaenda kambani.

Kama yeye anaweza sana kufunga angemfunga Diarra,


Umetafuta cha kuongea umekosa ndio umeamua kuleta huu utoporo🤣🤣7️⃣
Na huo mpira huyo beki alishakuwa nao mara ngapi karibu na golini kwake na MBONA HAKUJIFUNGA WAKATI HUO..!?
 
Kwanza ulishangilia Goli ambalo hukufunga alijifunga Mwanachama Hai wa Yanga SC Beki Andrew Vicent Dante kisha ulipokuwa unakimbia kwenda Jukwaa Kuu alikokuwa amekaa Rais Mstaafu na mwana Yanga SC lia lia Jakaya Mrisho Kkwete ili Ushangilie na Shangilia yako ya Kishamba ukakuta alishaondoka Uwanjani pale Kitambo tu huku akiwa anaitafuta Kerege akielekea Kwake Msoga Chalinze Mkoani Pwani.
Nimecheka sana haya maneno eti mwanachama hai wa Yanga popoma bhana huwa unachekesha sana
 
Ushabiki maandazi, mchezaji hawezi kujifunga bila sababu, sababu ni kutaka kuokoa goli lililotaka kufungwa na mayele kisha akafanya mistake, hata Kama asingegusa mpira ulikuwa unaenda kambani.

Kama yeye anaweza sana kufunga angemfunga Diarra,


Umetafuta cha kuongea umekosa ndio umeamua kuleta huu utoporo[emoji1787][emoji1787][emoji2395]
sio kwamba nakubaliana na hoja ya mtoa mada hapo juu hapana, ila nataka nikusahihishe kitu kimoja.

Ukisikia beki au mchezaji kajifunga, ina maana huo mpira ulikuwa haujalenga lango yan OFF Target. ila kama Mpira ulikuwa umelenga lango kisha beki akajifunga hilo goli huwa halihesabiki kama ni la kujifunga, huwa anapewa goli yule aliyeupiga ule mpira.

Na hiyo ndio sababu utaona jana baada ya goli la kujifunga la Chikupe hata Azam Tv wenyewe walichukua muda kuandika mfungaji wa goli, walikuwa wanajiridhisha kwanza kama ule mpira uliopigwa na Mayele usingeguswa na Chikupe ungelenga lango au vipi, baada ya Muda wakajiridhisha kuwa usingelenga lango, yan ulikuwa ni off target ndio wakaandika kuwa no Own Goal (OG) la chikupe.

nakupa mfano mzuri mechi ya simba na yanga mwaka jana mzunguko wa pili yanga alishinda goli 1 kwa 0. goli la Zawadi Mauya. ule mpira aliopiga Mauya ulimgonga Kapombe na kuingia golini, ila kwakuwa ilikuwa ni ontarget goli alipewa Mauya na sio Kapombe OG.
 
Dante kajifunga halafu kesi katoa pasi kama mara mbili hvi kwa mchezaji wa yanga nikajua tu hapa mlungula ushatembea
 
ona sasa mawazo kama haya. hivi ina maana lile goli la dante kajifungwa kwa makusudi kweli?
We hujui fitna za mpira wa bongo ww kaa hvyo hvyo ubingwa unatafutwa kwa njia yoyote ile ila mechi ya jana mchezaji ambae alikuwa anajitoa ni mmoja tu kipwagile basi wengine wote wanamuangalia ww ulitaka,

Mateo Anton
Dante
Kesi

Waikamie kuifunga yanga wakati ni vijana wao wa utotoni hao walikuwa na nafasi ya kushinda jana ila wakamsusia team kipwagile wote.
 
Back
Top Bottom