Mayele Siku zingine uache Sifa unaona sasa Ulivyoumbuka Jana?

Mayele Siku zingine uache Sifa unaona sasa Ulivyoumbuka Jana?

We hujui fitna za mpira wa bongo ww kaa hvyo hvyo ubingwa unatafutwa kwa njia yoyote ile ila mechi ya jana mchezaji ambae alikuwa anajitoa ni mmoja tu kipwagile basi wengine wote wanamuangalia ww ulitaka,

Mateo Anton
Dante
Kesi

Waikamie kuifunga yanga wakati ni vijana wao wa utotoni hao walikuwa na nafasi ya kushinda jana ila wakamsusia team kipwagile wote.
sijakataa kuwa kwenye mpira kuna fitna, na hata mimi yule dogo Mateo Anton alinikera sana namna alivyokuwa anacheza. sijui ilikuwa ni siku mbaya kwake kazini au vipi, ila ninachopinga ni kusema lileo gili na chikupe ni la kukusudia
 
... hata Azam Tv wenyewe walichukua muda kuandika mfungaji wa goli, walikuwa wanajiridhisha kwanza kama ule mpira uliopigwa na Mayele usingeguswa na Chikupe ungelenga lango au vipi, baada ya Muda wakajiridhisha kuwa usingelenga lango, yan ulikuwa ni off target ndio wakaandika kuwa no Own Goal (OG) la chikupe.
basi Mayele angesubiri replay ya azam kwanza ili ajue ashangilie au asishangile 'goli lake'
 
Back
Top Bottom