Mayele Siku zingine uache Sifa unaona sasa Ulivyoumbuka Jana?

sijakataa kuwa kwenye mpira kuna fitna, na hata mimi yule dogo Mateo Anton alinikera sana namna alivyokuwa anacheza. sijui ilikuwa ni siku mbaya kwake kazini au vipi, ila ninachopinga ni kusema lileo gili na chikupe ni la kukusudia
 
basi Mayele angesubiri replay ya azam kwanza ili ajue ashangilie au asishangile 'goli lake'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…