Mayele to Pyramid is almost a deal done!

Mayele to Pyramid is almost a deal done!

Simba hadi leo hawana kipa
Kocha hayuko na team
Wachezaji waandamizi wapo mjini dar
Turkey kuna simba B imefata ngada ya mo
Next season kipigo kipo pale pale
Na hatutaki malalamiko kutoka ukoloni huko
Tuseme ni sawa ila hapa mjadala ni Mayele Chief!
 
Sasa kipi kimedanganywa kama mkataba wa mwaka mmoja mbona yy mwenyewe ashawahi kuzungumza anamkataba wa mwaka mmoja na Yanga.

So wewe ulicho kasirika Yanga kuchukua 2bil,ila ulicho furahi Mayele kuuzwa.

Sasa kama ujui Fei kauzwa kwa 270m kasirika na hapa.

Halafu kwenye mpira kuna negotiations kati ya timu na mchezaji,then timu na timu, meneja yy atadeal na negotiations kati yake na mchezaji ndipo anaoo husika si timu na timu yy hausiki hapo, mfuatilie hata Frabrizio Romano kidogo utaelewa usajili una fanyikaje.

Sema huku tunakosea wenzetu anaye husika na negotiation ni wakala,ila bongo kama kawaida tumeshindwa kutofautisha role ya wakala,mwanasheria,wakala na meneja.

Ila negotiations kati ya timu na timu ,wakala wa mchezaji hausiki hata kidogo na ndio maana sometimes, mchezaji anaweza kukubaliana na club inayo mtaka,ila hiyo Club inayo mtaka ilashindwa kukubaliana na timu inayo mmiliki.
Usimwambie yote hayo
Mbumbumbu hataki maarifa atabisha tu
 
Ni kilio na huzuni kwa UTO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Simba hadi leo hawana kipa
Kocha hayuko na team
Wachezaji waandamizi wapo mjini dar
Turkey kuna simba B imefata ngada ya mo
Next season kipigo kipo pale pale
Na hatutaki malalamiko kutoka ukoloni huko
Haraka ya kuwa na kipa ya nini wakati mashindano bado hayajaanza?

Kwanza Dogo Ally Salim kwa muda aliocheza bado ana namba nzuri mpaka saizi.

Kocha hayupo na team, hata angekuwepo na timu bado kuna wachezaji wengine hawajafika kambini.

Ambapo kama critic nahakika ungebadili hoja kwanini wachezaji wengine hawajafika kambini wamemuacha kocha tu na wachezaji baadhi?

Kipigo gani ambacho unasema kipo pale pale?

Maana mara ya mwisho Kibu ali slide
 
Mayele alivyoona usajili wa Simba ulivyo mkubwa ameamua kutupa taulo mapema kuepusha lawama maana stori ya wananchi alishawahi kuambiwa kuwa hawa watu ni wepesi mno kusahau
Ndio maana nakuita mnafiki kila siku ulikua unatuamisha Mayele ni mbovu hafikii level ya Kibu kwa hio Pyramid hawajamuona Kibu wakaenda kwa mbovu?
 
Ndio maana nakuita mnafiki kila siku ulikua unatuamisha Mayele ni mbovu hafikii level ya Kibu kwa hio Pyramid hawajamuona Kibu wakaenda kwa mbovu?
Nawe uliyesema mchezaji hawezi kuuzwa bei kubwa kwasababu ya umri mkubwa, tuambie kwanini Kibu mwenye umri mdogo kuliko Mayele ameachwa?

Vinginevyo nawewe ni mnafiki
 
Nataka niongee suala moja kumhusu mayele.
YANGA tuko imara sana na tulishajiandaa tangu zamani kwamba mayele hatutakua nae msimu ujao.
Hizi habari za kumuongezea mkataba na kumboreshea maslahi zilikuwa ni janja janja tu ili tusitoke mchezoni ila ilikuwa ngumu kumbakisha mayele yanga kwa kiwango alichokionesha msimu ulioisha ligi kuu na kimataifa.
Hivyo basi mimi kama mshabiki muandamizi wa young africans sports club namtakia kheri tele na fanaka katika majukumu yake mapya kama walimwengu wasemavyo.

Hatupaswi kuwaonesha kwamba habari hizi zimetuvuruga balinipart ya maisha ya yanga maana walikuwepo wazuri zaidi yake wakaondoka na watakuja wazuri zaidi yake na wataondoka.
Kinachotakiwa tusiwe kama makolo kwamba mchezaji huko alipo ngangania kwenda akifeli basi dampo liwe sisi.
 
Nawe uliyesema mchezaji hawezi kuuzwa bei kubwa kwasababu ya umri mkubwa, tuambie kwanini Kibu mwenye umri mdogo kuliko Mayele ameachwa?

Vinginevyo nawewe ni mnafiki
Unaogea vitu irrelevant umetumia kinywaji gani?
 
Sasa kipi kimedanganywa kama mkataba wa mwaka mmoja mbona yy mwenyewe ashawahi kuzungumza anamkataba wa mwaka mmoja na Yanga.

So wewe ulicho kasirika Yanga kuchukua 2bil,ila ulicho furahi Mayele kuuzwa.

Sasa kama ujui Fei kauzwa kwa 270m kasirika na hapa.

Halafu kwenye mpira kuna negotiations kati ya timu na mchezaji,then timu na timu, meneja yy atadeal na negotiations kati yake na mchezaji ndipo anaoo husika si timu na timu yy hausiki hapo, mfuatilie hata Frabrizio Romano kidogo utaelewa usajili una fanyikaje.

Sema huku tunakosea wenzetu anaye husika na negotiation ni wakala,ila bongo kama kawaida tumeshindwa kutofautisha role ya wakala,mwanasheria,wakala na meneja.

Ila negotiations kati ya timu na timu ,wakala wa mchezaji hausiki hata kidogo na ndio maana sometimes, mchezaji anaweza kukubaliana na club inayo mtaka,ila hiyo Club inayo mtaka ilashindwa kukubaliana na timu inayo mmiliki.
Umejuaje kama na hasira au furaha
 
Yanga hawana shida wanauza tu

Shida IPO kwa ile team yule chama cha mapinduzi aliposepa tu mbona watu walilala njaa
 
Back
Top Bottom