Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kuna mwenzio pengine ameshindwa kupata vyote.Nimecgagua vyote hata kwa kiasi kidogokodogo Huku na kule.
soon waarabu watamtupa nje kama walivyomfanya mikison. atarudi hapa mdebwedo na ni simba watamsajili.Kule pyramids Kuna fedha lakini hakuna furaha kwa Mayelle. Money over happiness¡
Kwani alipoondoka alijua Yanga itafika robo fainali pyramids haitafika?Yanga imeshatinga robo finali Caf champions, vipi Pyramids? unataka kusema hajutii kuondoka Yanga?
Kuna wachezaji wa kutafuta sifa na wachezaji wa kutafuta hela. Huwezi kumchagulia Mayele anachotafuta. Karim Benzema, N'Golo Kante, Edouard Mendy, Kalidou Koulibaly, Marcelo Brozovic, Cristiano Ronaldo, Roberto Firmino, Sergej Milinkovic-Savic, Riyad Mahrez, Sadio Mane, Allan Saint-Maximin, Neymar Jr na nyota wengine wengi waliacha vilabu vya Ulaya vyenye majina makubwa yenye sifa za kuweza kuchukua ubingwa, wakaenda Saudi Arabia ambako hakuna mvuto wa watu kuifuatilia ligi ya huko. Hao wote wamefuata hela, halafu wewe upo Buza unampangia Mayele eti acheze Yanga milele bila hela! Hizo sifa mpeni Ngasa, acheni waliofuata hela waendelee kuvuta mpungaYanga imeshatinga robo finali Caf champions, vipi Pyramids? unataka kusema hajutii kuondoka Yanga?
Mfumo ulikuwa unambeba Mayelle Yanga. Mfumo ulikuwa unamuwezesha afunge ili apate kiatu Cha ufungaji Bora dhidi ya George mpole na Saido. Ni mfumo ambao uliikosesha timu magoli mengi sana.soon waarabu watamtupa nje kama walivyomfanya mikison. atarudi hapa mdebwedo na ni simba watamsajili.
Kuchagua pesa dhidi ya furaha ndio stage ya chini kabisa ya binadamu. Hii ni Ile stage ya mgonjwa kupenda pesa na machungwa kuliko kadi ya get well soon na maua.Hata mimi chaguo langu ni pesa wala si furaha,et tena furaha ya watu wengi!hapana
majuto lazima awe nayo maana kuna wakati mafanikio sio kuwa na pesa tu.Yanga imeshatinga robo finali Caf champions, vipi Pyramids? unataka kusema hajutii kuondoka Yanga?