Maytham al-Attar kiongozi wa Hezboollah auawa na IDF

Maytham al-Attar kiongozi wa Hezboollah auawa na IDF

Kawahishwa kwa mabikira....

The scene of an Israeli drone strike near the town of Shaat, in Lebanon's Baalbek district, July 6, 2024. (Social media; used in accordance with Clause 27a of the Copyright Law)'s Baalbek district, July 6, 2024. (Social media; used in accordance with Clause 27a of the Copyright Law)
The scene of an Israeli drone strike near the town of Shaat, in Lebanon's Baalbek district, July 6, 2024. (Social media; used in accordance with Clause 27a of the Copyright Law)
A prominent member of the Hezbollah terror group’s air defense unit was killed in an Israeli drone strike in northeastern Lebanon on Saturday.

According to the Israel Defense Forces, Maytham Mustafa al-Attar was considered to be “a significant source of knowledge” in Hezbollah’s air defense unit and was involved in planning and carrying out attacks against Israel.

The IDF said al-Attar obtained his knowledge during visits to Iran, and was involved in helping the Lebanese terror group procure Iranian weapons.
Israel wapo vizuri kwenye vita vya kumdonoa kiongozi mmoja mmoja
 
Hiyo vita Hezibolah itawagharimu sana, kinachowasukuma ni dini, kikundi hakiwezi kupigana na taifa kama Israel yenye kila kitu, hakuna namna Hezibollah ishinde Izrael yenye ndege bora dunia, Israel yenye jeshi bora dunia, Israel yenye nuclear. Iran anaogopa nini kuingia front dhidi ya Israel? Anataka Warebanon wafe.
 
Hiyo vita Hezibolah itawagharimu sana, kinachowasukuma ni dini, kikundi hakiwezi kupigana na taifa kama Israel yenye kila kitu, hakuna namna Hezibollah ishinde Izrael yenye ndege bora dunia, Israel yenye jeshi bora dunia, Israel yenye nuclear. Iran anaogopa nini kuingia front dhidi ya Israel? Anataka Warebanon wafe.
Jeshi la anga ndio bora na iran anajua hilo Israel hawezi shoo ya iran hapo ni kuchakaza vituo vyote vya ndege zake kwisha kazi
 
Hiyo vita Hezibolah itawagharimu sana, kinachowasukuma ni dini, kikundi hakiwezi kupigana na taifa kama Israel yenye kila kitu, hakuna namna Hezibollah ishinde Izrael yenye ndege bora dunia, Israel yenye jeshi bora dunia, Israel yenye nuclear. Iran anaogopa nini kuingia front dhidi ya Israel? Anataka Warebanon wafe.
Ngoja kwanza
Mpaka sasa pampers teule wameokoa magaidi wao wangapi kule jwa wanaume ghaza?
 
Jeshi la anga ndio bora na iran anajua hilo Israel hawezi shoo ya iran hapo ni kuchakaza vituo vyote vya ndege zake kwisha kazi
Hata hilo jeshi la anga halina ubora wowote ule labda mbele ya ghaza na lebanon
Juzi tu hapa vidrone wameshindwa kuviokota mpaka kasaidiwa na baadhi ya mataifa ya kiarabu
Usrahell wakawaida sana labda wakiwa wanapigana na hospital shule kina mama na watoto hapa hua hawana mpinzani
 
Hezbollah huwa hawafichi dogo ma commander wao wakiuliwa tena wanaruhusu mpaa video zichukue, sa we jiulize swali kwanini Israel haruhusu media zichukue sehemu zinazo pigwa.

We tazama miji yote inayo shambuliwa tuonyeshwa missiles zimekuwa intercepted, lakini zinazo pita kwenda kwenye target media zote haziruhusiwi kuonyesha.

Hapa we dogo sababu akili zako hata ya njiwa kubwa kwako, sababu angeisha fahamu kwamba Israel huwa hataki kuonyesha aibu zake, anavyo sambaratishwa.

Sa we jiulize anauwa yeye ma commander, mfano mdogo hi week kuwauwa watatu, jumla wamekuwa 5 sa yeye kapoteza Camp za jeshi ngapi na askari wangapi hio ndio point.

Israel yeye ushindi wake ni kujishow off kwenye media, kuwa anauwezo wa kutarget ma commander wa Hezbollah.
n

Hezbollah anajua wazi Israel alivyo vamia Lebanon alichukua data za communication system za Lebanon, na pia kuna wale makhaini wanatoa siri kwa kupewa pesa na Saud Arabia, UAE na Israel.

Hezbollah wanajua hayo na wameanza kutumia technology mpya, itachukua time ku cover sehemu nyingi za Lebanon, sababu Wafaransa walipo jenga Air Port ya Lebnano walipenyesha vifaa vingi vya kuspy Lebano pia, na kuna ndege za UK ziko Cyprus na za US wanaspy na wanawapa details Israel.

Yataisha tu, Hezbollah anayafanyia kazi.


Kwanini asifanikiwe Gaza kuwauwa kina Yahya Sinwar, sababu hana data za communication system za Hamasi, unless apate wale makhaini wanao waonyesha Israel.

Lazima ufahamu unafiki upo kwenye damu za warabu, na wafrica kama utitiri 😆
Ndo mnavyodanganyana masjid pumbafuu
 
He will be received by the imaginary 72 egg eyed virgins in the moslem's mythical paradise and will also be enjoying sipping the wine flawing from the mythical rivers in akhera.
No virgins available,all were taken by the previous martyrs
 
Back
Top Bottom