Inadam[emoji777]Wenzetu wafe na njaa na sisi tuna chakula? Kama kufa ni wote, kama kupona ni wote.
inadam gani wewe usiyewajali jiani zako?
Hari=haliNigeria wametangaza hali ya hatari kuhusu hari ya Chakula nchini kwao
[emoji38] faiza siku hizi amekuwa bingwa wa kuchapiaInadam[emoji777]
Binadamu [emoji736]
Jiani[emoji777]
Jirani[emoji736]
Jifunze kuandika kwanza kabla njaa haijapita na wewe.
Uzee huja na mengi, tumvumilie na tumrekebishe kwa staha.[emoji38] faiza siku hizi amekuwa bingwa wa kuchapia
Ova
Mkuu mwakani shika jembe ingia shambani Wacha wakulima tufaidi jasho letuUkweli kwa sasa ni huu,
Kutokana na dunia kuwa na mvua chache, na ukanda wa Afrika pia kuathiriwa ni vyema sasa mazao yafuatayo yawekewe zuio la kuuzwa nje ya nchi ili kujihakikishia usalama wa chakula na kulinda soko la ndani.
Mchele, mahindi, muhogo, maharagwe, njegere, choroko, mtama mweupe na kadhalika. Mataifa mengi afrika yameweka zuio na mengine yameanza kutangaza hali ya hatari sababu ya njaa.
Mavuno yalikua kidogo na idadi ya watu imeongezeka maradufu. Wakati ambapo waziri wa kilimo anapambana na project za umwagiliaji na bado hatujakomaa kwenye umwagiliaji ili kua na uwezo wa kuvuna mazao misimu yote kwa mwaka tuchukue hatua hizo kwa sasa.
HAKUNA AMANI YA NCHI KAMA CHAKULA HAKITOSHI.
Bora umemwambia ukweli mapema hajui gharama na hasara tunazokula huko kwenye kilimoWakulima watalima nawewe leo kwenye huu Uzi..[emoji28]
Kwa kweli sahivi huko vijijini wakulima wameanza kujenga nyumba boraUnasema kuna soko la ndani, ila SSH alipotisha tu kufunga mipaka mahindi yaliporomoka ovyo hadi kwenye bei ya kumkata mkulima, bongo soko la ndani halipo na halitoshelezi, wanaonunua msosi sana ni watu wa Dar, wengine wengi wana japo mashamba, hivyo ukifunga mipaka tegemea maporomoko ya bei,
Naungana na SSH, wacha mazao yauzwe tu popote, wakenya ndugu zetu, wakulima wapate pesa nyingi msimu ujao walime zaidi
Unajua Bei za mazao yote uliyoorodhesha!?Bei kwa soko pekee la ndani ni rafiki na mkulima hatoathirika na bei hazitoshuka kwani uhitaji ni mkubwa kuliko uwepo wa chakula
Ukweli kwa sasa ni huu,
Kutokana na dunia kuwa na mvua chache, na ukanda wa Afrika pia kuathiriwa ni vyema sasa mazao yafuatayo yawekewe zuio la kuuzwa nje ya nchi ili kujihakikishia usalama wa chakula na kulinda soko la ndani.
Mchele, mahindi, muhogo, maharagwe, njegere, choroko, mtama mweupe na kadhalika. Mataifa mengi afrika yameweka zuio na mengine yameanza kutangaza hali ya hatari sababu ya njaa.
Mavuno yalikua kidogo na idadi ya watu imeongezeka maradufu. Wakati ambapo waziri wa kilimo anapambana na project za umwagiliaji na bado hatujakomaa kwenye umwagiliaji ili kua na uwezo wa kuvuna mazao misimu yote kwa mwaka tuchukue hatua hizo kwa sasa.
HAKUNA AMANI YA NCHI KAMA CHAKULA HAKITOSHI.
Pana pori pale ruvu kibaha la nafco na jeshi wanafugia panya tu kwann wasipewe wawekezaji kina nio walime wazalishe chakula na kutoa ajiraBraza nahisi hujaelewa sitaki urafiki na mimi nataka nitoke. Nimepigwa baridi isiyoelezeka aisee. Kila mtu ale kwa urefu na unene wa kamba yake.
Nina mpango wa kubeba mkopo nikalime kabisa. Ila sitaki kupangiwa bei. Ikishuka nijue ni forces of demand and supply and not government intervention.
Kuna mwaka nililimia tembo. Yani hata pole sikupewa. Acha tule acheni wivu.
Mkitaka sana bado kuna mapori mengi tena yanamilikiwa na serikali waambieni wawape
Leo atajua hadi mbegu inavyochutama au inavyofinyiwa kwenye udongo nae ndo atafinywa hivyohivyo...😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanae leo
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
YAni nilime kwa Tabu kisha nihudumie shamba kwa Tabu mpk Mavuno yangu. Kisha inipangie mahali pa kuuza mazao yangu kweli[emoji24]Ukweli kwa sasa ni huu,
Kutokana na dunia kuwa na mvua chache, na ukanda wa Afrika pia kuathiriwa ni vyema sasa mazao yafuatayo yawekewe zuio la kuuzwa nje ya nchi ili kujihakikishia usalama wa chakula na kulinda soko la ndani.
Mchele, mahindi, muhogo, maharagwe, njegere, choroko, mtama mweupe na kadhalika. Mataifa mengi afrika yameweka zuio na mengine yameanza kutangaza hali ya hatari sababu ya njaa.
Mavuno yalikua kidogo na idadi ya watu imeongezeka maradufu. Wakati ambapo waziri wa kilimo anapambana na project za umwagiliaji na bado hatujakomaa kwenye umwagiliaji ili kua na uwezo wa kuvuna mazao misimu yote kwa mwaka tuchukue hatua hizo kwa sasa.
HAKUNA AMANI YA NCHI KAMA CHAKULA HAKITOSHI.
Kwanini bado ruzuku inatolewa na unafuu wa pembejeo unatajwa sana?Wakulima wa miaka hii ni wasomi, sio wa kipindi cha Nyerere, wengi wanahifadhi mazao na wanauza kwa malengo,
Ukikaza shingo vizuri, utaelewa ninachozungumza!Acha kukaza shingo,kuna watu wanafanya kilimo biashara. Hao wanaolima kwa ajili ya chakula gunia nne ndani zinamtosha chakula mpaka msimu mwingine wa kulima. Unadhan watu wanalima ekari 20 kwa ajili ya chakula cha familia?
Acha roho mbaya,nenda kalime na wewe uuze kwa hela kubwa.Mmeshaona mazao yana bei kubwa huoni kama hiyo ni fursa? mbona hamji kulalamika dhahabu ishushwe bei iwe sawa na mkaa?Ukikaza shingo vizuri, utaelewa ninachozungumza!
Ukiendelea kukaza mawazo, huambui
Jitafakari kabla hujasema jambo, wakulima wanaumia sana bei za soko la ndani ya nchi ni ndogo sana ndomana wanauza nnje. kama mnataka mazao yasiuzwe nnje nunueni kwa bei kama ya nnje ya nchiUkweli kwa sasa ni huu,
Kutokana na dunia kuwa na mvua chache, na ukanda wa Afrika pia kuathiriwa ni vyema sasa mazao yafuatayo yawekewe zuio la kuuzwa nje ya nchi ili kujihakikishia usalama wa chakula na kulinda soko la ndani.
Mchele, mahindi, muhogo, maharagwe, njegere, choroko, mtama mweupe na kadhalika. Mataifa mengi afrika yameweka zuio na mengine yameanza kutangaza hali ya hatari sababu ya njaa.
Mavuno yalikua kidogo na idadi ya watu imeongezeka maradufu. Wakati ambapo waziri wa kilimo anapambana na project za umwagiliaji na bado hatujakomaa kwenye umwagiliaji ili kua na uwezo wa kuvuna mazao misimu yote kwa mwaka tuchukue hatua hizo kwa sasa.
HAKUNA AMANI YA NCHI KAMA CHAKULA HAKITOSHI.