DOKEZO Mazao ya chakula yasiuzwe nje ya Nchi, hali ni mbaya sana. Serikali zuieni haraka

DOKEZO Mazao ya chakula yasiuzwe nje ya Nchi, hali ni mbaya sana. Serikali zuieni haraka

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wenzetu wafe na njaa na sisi tuna chakula? Kama kufa ni wote, kama kupona ni wote.

inadam gani wewe usiyewajali jiani zako?
Inadam[emoji777]
Binadamu [emoji736]
Jiani[emoji777]
Jirani[emoji736]

Jifunze kuandika kwanza kabla njaa haijapita na wewe.
 
Kuzuia kuuza nje ni kuongeza idadi ya machinga na bodaboda mijini na tatizo la ajira nchini
 
Inadam[emoji777]
Binadamu [emoji736]
Jiani[emoji777]
Jirani[emoji736]

Jifunze kuandika kwanza kabla njaa haijapita na wewe.
[emoji38] faiza siku hizi amekuwa bingwa wa kuchapia

Ova
 
Ukweli kwa sasa ni huu,

Kutokana na dunia kuwa na mvua chache, na ukanda wa Afrika pia kuathiriwa ni vyema sasa mazao yafuatayo yawekewe zuio la kuuzwa nje ya nchi ili kujihakikishia usalama wa chakula na kulinda soko la ndani.

Mchele, mahindi, muhogo, maharagwe, njegere, choroko, mtama mweupe na kadhalika. Mataifa mengi afrika yameweka zuio na mengine yameanza kutangaza hali ya hatari sababu ya njaa.

Mavuno yalikua kidogo na idadi ya watu imeongezeka maradufu. Wakati ambapo waziri wa kilimo anapambana na project za umwagiliaji na bado hatujakomaa kwenye umwagiliaji ili kua na uwezo wa kuvuna mazao misimu yote kwa mwaka tuchukue hatua hizo kwa sasa.

HAKUNA AMANI YA NCHI KAMA CHAKULA HAKITOSHI.
Mkuu mwakani shika jembe ingia shambani Wacha wakulima tufaidi jasho letu
 
Unasema kuna soko la ndani, ila SSH alipotisha tu kufunga mipaka mahindi yaliporomoka ovyo hadi kwenye bei ya kumkata mkulima, bongo soko la ndani halipo na halitoshelezi, wanaonunua msosi sana ni watu wa Dar, wengine wengi wana japo mashamba, hivyo ukifunga mipaka tegemea maporomoko ya bei,

Naungana na SSH, wacha mazao yauzwe tu popote, wakenya ndugu zetu, wakulima wapate pesa nyingi msimu ujao walime zaidi
Kwa kweli sahivi huko vijijini wakulima wameanza kujenga nyumba bora
 
N kweli Kabsa Hali n Tete sahz n mwezi wa mavuno lakn vyakula avijashuka bei.Soko la ndani linatosheleza bila bei kushuka
 
Ukweli kwa sasa ni huu,

Kutokana na dunia kuwa na mvua chache, na ukanda wa Afrika pia kuathiriwa ni vyema sasa mazao yafuatayo yawekewe zuio la kuuzwa nje ya nchi ili kujihakikishia usalama wa chakula na kulinda soko la ndani.

Mchele, mahindi, muhogo, maharagwe, njegere, choroko, mtama mweupe na kadhalika. Mataifa mengi afrika yameweka zuio na mengine yameanza kutangaza hali ya hatari sababu ya njaa.

Mavuno yalikua kidogo na idadi ya watu imeongezeka maradufu. Wakati ambapo waziri wa kilimo anapambana na project za umwagiliaji na bado hatujakomaa kwenye umwagiliaji ili kua na uwezo wa kuvuna mazao misimu yote kwa mwaka tuchukue hatua hizo kwa sasa.

HAKUNA AMANI YA NCHI KAMA CHAKULA HAKITOSHI.


Na wewe ni mkulima au ulichangia mtu pesa kulima ili umpangie namna ya kutumia mazao yake?
 
Braza nahisi hujaelewa sitaki urafiki na mimi nataka nitoke. Nimepigwa baridi isiyoelezeka aisee. Kila mtu ale kwa urefu na unene wa kamba yake.

Nina mpango wa kubeba mkopo nikalime kabisa. Ila sitaki kupangiwa bei. Ikishuka nijue ni forces of demand and supply and not government intervention.

Kuna mwaka nililimia tembo. Yani hata pole sikupewa. Acha tule acheni wivu.

Mkitaka sana bado kuna mapori mengi tena yanamilikiwa na serikali waambieni wawape
Pana pori pale ruvu kibaha la nafco na jeshi wanafugia panya tu kwann wasipewe wawekezaji kina nio walime wazalishe chakula na kutoa ajira
 
Ukweli kwa sasa ni huu,

Kutokana na dunia kuwa na mvua chache, na ukanda wa Afrika pia kuathiriwa ni vyema sasa mazao yafuatayo yawekewe zuio la kuuzwa nje ya nchi ili kujihakikishia usalama wa chakula na kulinda soko la ndani.

Mchele, mahindi, muhogo, maharagwe, njegere, choroko, mtama mweupe na kadhalika. Mataifa mengi afrika yameweka zuio na mengine yameanza kutangaza hali ya hatari sababu ya njaa.

Mavuno yalikua kidogo na idadi ya watu imeongezeka maradufu. Wakati ambapo waziri wa kilimo anapambana na project za umwagiliaji na bado hatujakomaa kwenye umwagiliaji ili kua na uwezo wa kuvuna mazao misimu yote kwa mwaka tuchukue hatua hizo kwa sasa.

HAKUNA AMANI YA NCHI KAMA CHAKULA HAKITOSHI.
YAni nilime kwa Tabu kisha nihudumie shamba kwa Tabu mpk Mavuno yangu. Kisha inipangie mahali pa kuuza mazao yangu kweli[emoji24]

Wakat nasota kuanzia mwanzo mpk mwisho sijaona SERIKALI ikinisaidia chochote leo hii ndio wanifungie mipaka?

Nafaham kabisa hawez fanya hivyo kabisa natambua Gvt huwa wanaweka MAzao kqwnye ghala la Chakula hivyo ikitokea Njaa watajua nn cha kufanya
 
Wakulima wa miaka hii ni wasomi, sio wa kipindi cha Nyerere, wengi wanahifadhi mazao na wanauza kwa malengo,
Kwanini bado ruzuku inatolewa na unafuu wa pembejeo unatajwa sana?
 
Acha kukaza shingo,kuna watu wanafanya kilimo biashara. Hao wanaolima kwa ajili ya chakula gunia nne ndani zinamtosha chakula mpaka msimu mwingine wa kulima. Unadhan watu wanalima ekari 20 kwa ajili ya chakula cha familia?
Ukikaza shingo vizuri, utaelewa ninachozungumza!

Ukiendelea kukaza mawazo, huambui
 
Ukikaza shingo vizuri, utaelewa ninachozungumza!

Ukiendelea kukaza mawazo, huambui
Acha roho mbaya,nenda kalime na wewe uuze kwa hela kubwa.Mmeshaona mazao yana bei kubwa huoni kama hiyo ni fursa? mbona hamji kulalamika dhahabu ishushwe bei iwe sawa na mkaa?
 
Ukweli kwa sasa ni huu,

Kutokana na dunia kuwa na mvua chache, na ukanda wa Afrika pia kuathiriwa ni vyema sasa mazao yafuatayo yawekewe zuio la kuuzwa nje ya nchi ili kujihakikishia usalama wa chakula na kulinda soko la ndani.

Mchele, mahindi, muhogo, maharagwe, njegere, choroko, mtama mweupe na kadhalika. Mataifa mengi afrika yameweka zuio na mengine yameanza kutangaza hali ya hatari sababu ya njaa.

Mavuno yalikua kidogo na idadi ya watu imeongezeka maradufu. Wakati ambapo waziri wa kilimo anapambana na project za umwagiliaji na bado hatujakomaa kwenye umwagiliaji ili kua na uwezo wa kuvuna mazao misimu yote kwa mwaka tuchukue hatua hizo kwa sasa.

HAKUNA AMANI YA NCHI KAMA CHAKULA HAKITOSHI.
Jitafakari kabla hujasema jambo, wakulima wanaumia sana bei za soko la ndani ya nchi ni ndogo sana ndomana wanauza nnje. kama mnataka mazao yasiuzwe nnje nunueni kwa bei kama ya nnje ya nchi
 
Back
Top Bottom