Mazao ya muda mrefu ndiyo ukombozi wa mkulima - lima kibiashara ufanikiwe

Mazao ya muda mrefu ndiyo ukombozi wa mkulima - lima kibiashara ufanikiwe

Inawezekana kupanda michungwa na muhogo?
Michungwa ikiwa bado iko level ya milimao kwa maana kabla hujaifanyia budding unaweza changanya na mihogo ila ikishafanyiwa hiyo process huwezi changanya maana ni kipindi anbacho michungwa inataka nafasi ili kuongeza ukuaji na uzalishaji wa matunda.
 
Hapo sidhani kama anazungumzia kwenye kuuza,kwa miaka 3 korosho kama miche imekubali ndio kwanza inaanza kuzaa,changamoto kwenye kilimo cha korosho na shamba kubwa kama hilo ni matunzo ya shamba,palizi,vibarua,madawa n.k....
Ni kweli kiongozi miaka 3 ndio umri WA mikorosho, ila shughuri ya kulihudumia ni pevu kama usemavyo ,ila nashukuru MUNGU matarajio ni makubwa,pia nimeweka project ya ufugaji humo humo shambani,nimeweka mbuzi na kuku WA kienyeli,

Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
 
Michungwa ikiwa bado iko level ya milimao kwa maana kabla hujaifanyia budding unaweza changanya na mihogo ila ikishafanyiwa hiyo process huwezi changanya maana ni kipindi anbacho michungwa inataka nafasi ili kuongeza ukuaji na uzalishaji wa matunda.
Naomba kujua ivi kuna michungwa ya Muda mfupi ktk uzaaji
 
Naomba kujua ivi kuna michungwa ya Muda mfupi ktk uzaaji
Hapana mkuu,labda machungwa ya kwenye bustani,lakini machungwa kama kilimo mininum ni miaka mitatu ukiwa nale nale mpaka miaka 5 mpaka 6 ndio unaanza kuzaa
 
Back
Top Bottom