MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,929
- 3,710
Michungwa ikiwa bado iko level ya milimao kwa maana kabla hujaifanyia budding unaweza changanya na mihogo ila ikishafanyiwa hiyo process huwezi changanya maana ni kipindi anbacho michungwa inataka nafasi ili kuongeza ukuaji na uzalishaji wa matunda.Inawezekana kupanda michungwa na muhogo?