Mazao yangu mwaka huu nitauza bei ghali sana

Mazao yangu mwaka huu nitauza bei ghali sana

Hakuna kitu kiliniingizia hela mwaka huu kama kilimo cha mahindi, kwenye mvua za mwaka pamoja na changamoto za mvua ila nilivuna Gunia 22 nikauza gunia 20 kwa laki moja na elf 15 mwezi wa 11 kwenye mvua za vuli nimevuna gunia 13 nasubiri mwezi wa nne niuze kwa bei nzur
Wakulima tutaheshimiwa tu
Mwaka huu nimelima mara mbili yake tena ki bosi
 
Tani 90000 za mchele ziko njiani,mchele utauzwa kilo 1290
 
Hakuna kitu kiliniingizia hela mwaka huu kama kilimo cha mahindi, kwenye mvua za mwaka pamoja na changamoto za mvua ila nilivuna Gunia 22 nikauza gunia 20 kwa laki moja na elf 15 mwezi wa 11 kwenye mvua za vuli nimevuna gunia 13 nasubiri mwezi wa nne niuze kwa bei nzur
Wakulima tutaheshimiwa tu
Mwaka huu nimelima mara mbili yake tena ki bosi
Kilimo ni kubet mkuu .kuna mchele unakuja toka nje tani 90000 wakulima watalia na kusaga meno
 
Tutajua tu leo mvua inapiga huku mpunga wangu mwerere
 
90000 sio kitu mzee nchi kubwa hii
 
Wakulima yengenezeni magala wacheni ujinga wa kinywa mataputatu kipindi Cha mavuno
 
Hii Haina tofauti na Dar vs Nairobi[emoji3][emoji1][emoji3][emoji1][emoji3].

Leo zamu ya walimaji na wa mjini

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Hii Haina tofauti na Dar vs Nairobi[emoji3][emoji1][emoji3][emoji1][emoji3].

Leo zamu ya walimaji na wa mjini

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app

Waje tu mjini mnashikwa sana huko kina Noel si ndio wapo huko
IMG_5980.jpg

Umeona hiyo makitu mzee
 
Debe moja la mahindi wauzieni kwa ng'ombe watatu-Magufuli.
Nami nimelima nimepata mahindi kiasi, akaja mteja napigiwa simu eti ndoo kubwa ananunua elf 14!, ukiangalia gharama ulizotumia, nikamwambia, nikamwambia hayauzwi.
 
View attachment 2614418
Day one hiyo vibarua hao
Mwaka huu alizeti sijalima ila nimelima mahindi na migomba huko Moro,nashukuru mahindi sasa hivi unga unatoka ndani na sio kupima vi kilokilo.

Nilichogundua tunajinyima kwenye kula kwa kubalance maisha,hivyo nakula mpaka najigeuza [emoji1][emoji3]

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kitu kiliniingizia hela mwaka huu kama kilimo cha mahindi, kwenye mvua za mwaka pamoja na changamoto za mvua ila nilivuna Gunia 22 nikauza gunia 20 kwa laki moja na elf 15 mwezi wa 11 kwenye mvua za vuli nimevuna gunia 13 nasubiri mwezi wa nne niuze kwa bei nzur
Wakulima tutaheshimiwa tu
Mwaka huu nimelima mara mbili yake tena ki bosi
Gunia 22 kwa ukubwa gani wa shamba,je ulitumia mbolea mara ngapi?
 
Back
Top Bottom