Mazao yangu mwaka huu nitauza bei ghali sana


Hakika aisee akili ziwarudi
Hiyo inaitwa cheka time umeanza kuchanua
 
Piga kazi kiongozi. We waache waendelee kubet mjini. Jipangie mabei yako tu
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Hiyo hela utaipeleka wapi? Maana kama ni Bati na Sisi tunapandisha bei, kama cement tunapandisha bei, mafuta ya Kula hivyo hivyo, mwisho wa siku hela yote unatupatia.
Vipi kwa sisi ambao tulishajenga,mtatukamatia wapi?
 
Umejuaje kuwa sehemu nyingine hakukuwa na mvua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…