Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

😁😁😁we bibi kua na uelewa hii video unaona kbs ya kutengenezwa tu afu unadanganya
Msaidieni Bi Mkubwa,haya mambo ya tech kwa umri wake ni shida kuyaelewa ndiyo maana anapandisha tu clip na maelezo ya kujiamini kabisa
 
Rubbish
 
Iv hizi habari huwa mnazipata media zipi, kwani mpaka sasa Gaza ipo chini ya Israel. Au kuna Gaza nyingine? Inawezekana wengine tupo Dunia nyingine na hatujitambui
Wanareport wakiwa Gaza ya Kiembe samaki mkuu,wala wasikupe shida,ndiyo maana wengine tunaishia kupress emoji ya kicheko kwenye comments zao.
 
Hii dini ya beki tatu Hajiri inawapeleka wengi jehanamu 🤣😂😁😆 heri wampe Yesu maisha yao vinginevyo wataenda ishi na baba yao Shetan na mtume mudi.
Takbirrrr 😀😀😀😀. Mudy kawaingiza chaka wavaa pedo na kobazi.
 
Kama ni kweli Safi Sana.
Si umejionea mwenyewe unauliza ukweli upi tena. Wayahudi wa bongo wanaumia sana wakiona israeli inawaka moto ila wakiona watoto wanauliwa kwa makundi kule GAZA wanafurahia. Kukosa akili
 
ukweli ni kwamba wanaolia usku na mchana hii vita iishe ni HAMAS, jumuiya ya kiarabu na jumuia za kiislam ikiwemo kina faiza fox, israel anaenjoy hii vita maana aliwatamani hamas mda mrefu mpaka WALIPOYATIMBA october 7, juzi mababu wa kiarabu waliandamana mpaka china kuiomba serikali ya china iwabembeleze ISRAEL isitishe mapigano, kabla ya hapo walienda mpaka urusi kuomba msaada wajukuu zao wanaisha, kila siku huko UN wawakilishi wa PALESTINA wanalia machozi kuomba Israel ipunguze kuwapelekea moto, mpaka raisi wa palestina analia kuomba POO... ILA mlivyo kama mazombi ,mnadanganyana eti leo israel ndio anaomba vita iishe, acheni bangi nyie kina faiza.
kinachomfanya ISRAEL akubali majadiliano ya CEASE FIRE tena ni temporary, ni CEASE FIRE sio END WAR, sababu pekee itayomfanya akubaliane usitishwaje mdogo wa mapigano ni kama wananchi wake wataachiwa, na hilo ni kutokana na maombi ya wananchi wa israel hasa wenye ndugu mateka, ambao kila siku wanaandamaana kuiomba serikali ikubali maongezi na hamas ili ndugu zao waachiwe, lakini pia israel ili ilinde urafiki wake na marekani, inatakiwa ioneshe utayari wa mazungumzo ili isichafuke kimataifa na kuitwa mhalifu wa kivita, hizo ndo sababu pekee zinazomfanya NETANYAHU afikirie DEAL na HAMAS, lakini sio eti "kipigo" hamas kwa sasa wametepeta, wanaishi mapangoni, gaza yote anayeamua cha kuingia na cha kutoka ni israel.. unaposikia misaada inashindwa kuingia gaza ujue alitekataa ni israel na sio hamas.
kwahyo kuanzia sasa nyuzi za kusema israel kaomba poo ni BRAIN WASHING msiingie huo mtego...fatilieni vyombo mbalimbali vyaa habari kujiridhisha Ni kina nani hasa wanaoomba vita iishe.
 
Ila propaganda bhana,

Sasa wanasitisha mapigano gani wakati IDF wanasema washaichukua GAZA na Hamas wanakimbia.

Yaani Nina 90% ya ushindi halafu nikubali Truce\Pause .Ili iweje??

My take:
Mapambano ni makali sana
 
HAMAS wangekuwa wanataka vita iishe wangewaachia mateka, kama israel wanatawala gaza, inakuwaje wameshindwa kujua mahali mateka walipo?.
 
HAMAS wangekuwa wanataka vita iishe wangewaachia mateka, kama israel wanatawala gaza, inakuwaje wameshindwa kujua mahali mateka walipo?.
 
Kwisha kwa hii vita ni mpaka mipaka iliyowekwa na UMoja wa Mataifa kabla ya 1973 iheshimiwe, kinyume cha hapo kutakuwa na kusitishwa kwa mapigano lakini vita haitoisha.

Kichapo wanachoshushiwa mazayunni na silaha za mitaani, sasa hivi wanaikimbia nchi:

Your browser is not able to display this video.
 
Wewe Isreal sijui wamekuzibua Mavi?
Taratibu, tujichunge lugha zetu, tusiwe kama hawa wqsio na maadili.

Inawauma wanavyochezea kichapo kutoka kwa vijana wadogo na dada zao.
 
Mzayuni kawasikiliza sasa Mmepata tena kilanga cha kuinua pua zenu!!

Mkamshukuru Biden
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…