Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Mazayuni wa Israel wasalimu amri na kukubali masharti yote ya Hamas ya kusitisha mapigano baada ya kuchezea kichapo jana na juzi

Pole sana ewe kipofu wa kiroho unaelekea shimo la kuzimu motoni,kama ungekuwa wa imani moja na mimi usingeandika huu upuuzi haya soma hapa ujue kwanini mimi ni mtoto wa Ibrahimu.

Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

Wagalatia 3:29
Ibrahim undugu wake na wewe unakujaje? we nywele ngumu Ibrahim muarabu sijui mzungu yule..😂😂😂
 
Kwa hesabu zako hizo hzi, mazayuni wamesema zayuni mmoja kwa Wapalestina 100, sasa fanya upya useme nani zaidi.
Kwenye hii vita Israeli halengi kila mtu kwa makusudi tofauti na Hamas.Ndio maana kabla ya kushambulia wanatoa taarifa kwa njia mbalimbali;simu,vipeperushi,vipaza sauti,ili watu waondoke.Hao watu wanaokufa wanakuwa
Kiukweli Israel wana hali mbaya baada ya Hezbollah kuingia kwenye hii vita. Na Israel haiwezi kushinda.
Weka source ya habari zenu badala ya kuandika kishabiki.Kuweka video bila kuweka media iliyoandika hiyo habari inakuwa haina ukweli!mere propaganda!
 
Kwenye hii vita Israeli halengi kila mtu kwa makusudi tofauti na Hamas.Ndio maana kabla ya kushambulia wanatoa taarifa kwa njia mbalimbali;simu,vipeperushi,vipaza sauti,ili watu waondoke.Hao watu wanaokufa wanakuwa

Weka source ya habari zenu badala ya kuandika kishabiki.Kuweka video bila kuweka media iliyoandika hiyo habari inakuwa haina ukweli!mere propaganda!
184429.png

Hio ni Times of Israel dakika 8 zimepita. Nimeamua kutafuta chanzo mnachokiamini.
Au Gallant humfahamu ni waziri wa ulinzi Israel.

Hii vita Israel atakubali tu, hawezi shinda.
 
  1. The leader of Hamas says the group is close to reaching a "truce agreement" with Israel, raising hopes of a pause in hostilities in Gaza that could see hostages freed
  2. Israel has not commented. Earlier PM Benjamin Netanyahu said his country would not stop fighting until hostages were brought home.
Kwa mujibu wa video clip niliyoweka juu hapo, wamekubaliana yote, kilichobaki ni namna ya utendaji na majkabidhiano tu.
 
ukipinga anachofanya Israel Gaza tegemea utaitwa.

mvaa dera,
mtu wa dini ya mnyaaazi mungu.
gaidi.
mvaa kobazi.
mvaa kipedo. 😂


Lakini iteni tu, lakini ukweli ni kwamba Israel kashindwa vita, haihitaji uwe muislamu kuzungumza ukweli kwamba Israel inafanya ugaidi Gaza.
 
Na mnapigwa kila siku,kuanzia taifa la Israeli linapata uhuru mwaka 1948 mnabondwa tu mpaka leo.
Usipinde maneno, hakujawahi kuwa na" taifa la israeli" kabla ya mwaka 1948.
 
Mazayuni wamechezea kichapo cha maana jana na juzi kutoka kwa Hamas, Hizbollah na Wayemeni kilichopelekea wao kukubali masharti yote ya Hamas ya kusimamisha mapigano.

Ikumbukwe kuwa mpaka juzi, Wayahudi walikuwa hawataki kabisa kusikiliza yeyote duniani na kusema hawasimamisha mapigano mpaka wawamalize Hamas. Vijana wa Hamas kupitia msemaji wao Abou Obeidah wakasema "sisi ni mashaheed, furaha yetu ni kufa tukipigania ardhi yetu", hatuendi kokote na kama mnaweza njooni mtumalize.

Wayahudi wakawa wanaingia kichwa kichwa, kila wakiingia wanakuta vifaru vyao walivyovitegemea vinamalizwa, jana wakabadili na kuanza kuingia Ghaza na magari ya deraya mabayo yalikuwa ni siri na hawajawahi kuyatumia popote kabla, wakisema kuwa hayo hayapigiki. Kinyume na matarajio yao, ile kuingia nayo yakaanza kutandikwa, ikabidi waite msaada, zikaja helicopter mbili kuwasaidia, zenyewe zikarusha makombora na kuita ambulance yao ipakie na kusaidia majeruhi wao, walkaona na wao wanshambuliwa wakakimbia na helicopter zao. Jionee Clip hiyo chini.

Baada ya vichapo hivyo ikabidi watie akili na wenyewe kukubali masharti ya Hamas, baada ya muda si mrefu mtaona mapigano yanasimama kimya kimya kwani mazayuni hawawezi kutangaza kwa aibu.

Habari tutazipata kutokeaa vyanzo vya habari vywa waandishi huru (freelancers)vidogo vidogo :

Baada ya muda mchache nawwashushia clips za mkong'oto waliochezea jana na juzi.

Video za ushahidi wa niliyoyaandika zipo post zinazofata, tembea kwenye uzi utaziona.
Hahahaha kuna watu vilaza aisee. Gaza iko chini ya Israel kwasasa na watu wamekufa wa kutosha halafu huyu Bibi wa tandale anasemaje.
 
Kwa hesabu zako hizo hzi, mazayuni wamesema zayuni mmoja kwa Wapalestina 100, sasa fanya upya useme nani zaidi.
Kwenye hii vita Israeli halengi kila mtu kwa makusudi tofauti na Hamas.Ndio maana kabla ya kushambulia wanatoa taarifa kwa njia mbalimbali;simu,vipeperushi,vipaza sauti,ili watu waondoke.Hao watu wanaokufa wanakuwa kwenye maeneo yanayolengwa,aidha kwa kukaidi amri au kuzuwiwa na Hamas wasiondoke(Wanatumiwa kama "HumanShield")
 
Taarifa zinazosambaa kwenye vyombo vikubwa vya kimataifa vinaendana na alichoandika bibi yetu kunako huu Uzi. Huyu bibi si wa kumchukulia poa kabisa. Ndo mana kunako lile jukwaa jengine wababa na wakaka wamemgwaya kutekeleza ukaribisho wake wa kumchana mistari!
 
Kwa mujibu wa video clip niliyoweka juu hapo, wamekubaliana yote, kilichobaki ni namna ya utendaji na majkabidhiano tu.
Pole Faiza kwa bahati mbaya sana kichapo kwa magaidi panyarodi wa hamas bado kipo palepale kinaendelea na kitaendelea aisee ongeza dua maana palestinian wanakufa mnooo.
 
Mazayuni wamechezea kichapo cha maana jana na juzi kutoka kwa Hamas, Hizbollah na Wayemeni kilichopelekea wao kukubali masharti yote ya Hamas ya kusimamisha mapigano.

Ikumbukwe kuwa mpaka juzi, Wayahudi walikuwa hawataki kabisa kusikiliza yeyote duniani na kusema hawasimamisha mapigano mpaka wawamalize Hamas. Vijana wa Hamas kupitia msemaji wao Abou Obeidah wakasema "sisi ni mashaheed, furaha yetu ni kufa tukipigania ardhi yetu", hatuendi kokote na kama mnaweza njooni mtumalize.

Wayahudi wakawa wanaingia kichwa kichwa, kila wakiingia wanakuta vifaru vyao walivyovitegemea vinamalizwa, jana wakabadili na kuanza kuingia Ghaza na magari ya deraya mabayo yalikuwa ni siri na hawajawahi kuyatumia popote kabla, wakisema kuwa hayo hayapigiki. Kinyume na matarajio yao, ile kuingia nayo yakaanza kutandikwa, ikabidi waite msaada, zikaja helicopter mbili kuwasaidia, zenyewe zikarusha makombora na kuita ambulance yao ipakie na kusaidia majeruhi wao, walkaona na wao wanshambuliwa wakakimbia na helicopter zao. Jionee Clip hiyo chini.

Baada ya vichapo hivyo ikabidi watie akili na wenyewe kukubali masharti ya Hamas, baada ya muda si mrefu mtaona mapigano yanasimama kimya kimya kwani mazayuni hawawezi kutangaza kwa aibu.

Habari tutazipata kutokeaa vyanzo vya habari vywa waandishi huru (freelancers)vidogo vidogo :

Baada ya muda mchache nawwashushia clips za mkong'oto waliochezea jana na juzi.

Video za ushahidi wa niliyoyaandika zipo post zinazofata, tembea kwenye uzi utaziona.
Leo nimemuamini Mtume Muhamed alisema Wanawake wa kiislam wana akili nusu na asilimia kubwa wataenda motoni sababu wana patwa hedhi..

Habari ipo ki nusu akili
 
Hichi ndicho kichapo walichochezea Wazayuni,toka tarehe 7th,October:
Wizara ya afya ya Hamas:Wapelestina 13,300 wamefariki
Idadi ya Wazayuni waliofariki :1,200 na wengine kutekwa 200+
Mytake:Huyu bibi anatatizo la kuhesabu au anaendekeza proganda maandazi FaizaFoxy
View attachment 2820872View attachment 2820903
Na magaidi na uzao wao wamekufa wangapi...? Na mje kulialia. Nyie ni kenge maji
 
Ila ww gaidi wa kike umezidisha uongo. Wenzako magaidi wa kiume wakifa kwaajili ya dini wakienda huko wanapata bikra 72 je ww ukifa
Kwaajili ya ujinga wako utapata nini.
Hili gumegume la Kiha mixer Ndengereko litazawadiwa wanaume mashababi 72 wanaopiga mpini kisawa sawa.

Kama uongo hatakuja kuipinga hii.
 
Back
Top Bottom