Mazayuni wanajiondoa GAZA kimyakimya kama walivyofanya Wamarekani Afghanistan

Muangalieni huyu[emoji3][emoji1787][emoji3]
Haya hamas ipo namba ngapi kwenye takwimu zao
Ila kama hujui jana tu hapo rockets [emoji573] zimerushwa kuelekea israhell
Tena hazijatoka popote zimetoka pale pale kaskazini ambapo ndio mpakani kabisa na utawala haramu wa kizayuni wa israhell
Sasa sijui unasema wiki tatu zipi?
 
Kwahio 1948 ndio daudi aliwaeka hapo?
 
Mkuu, Taliban waliopigana na mmarekani kwa miaka kadhaa walikuwa wa ngapi duniani? TAMIL Tigers waliokuwa wakipigana na Jeshi la Sirilanka na Malaysia kwa miongo kadhaa nao unasemaje? Suala la kupigana na gaidi siyo lelemama,ila mwisho wa yote hushindwa.
 
Sasa hoja yako hapa nini mkuu uloikusudia
Kama taleban haijashindwa maana ndio inayotawala Afghanistan au ulitaka kusemaje
Kupigana muda mrefu au mchache sio kushinda kushinda vita sio jambo jepesi
Hasa vita ambayo inapiganwa kwa uongo uongo kama hio ya hamas na israhell
Maana israhell alisema gaza kaskazini kaikamata ila anapigwa huko huko
 
Kipindi cha utawala wa waingereza eneo hilo lilijulikana kama Palestine
 
Jeshi la Israel ni la 20 kwa ubora Dunia according to global firepower sasa inakuaje linachukua miezi 2+ kuingamiza hamas ambayo haina hata Kifaru .hakika Mwenyezi mungu yupo na wale wanaosimamia haki
Hamas wametumia miaka na miaka kujenga miundombinu ya kijeshi, kujiimarisha kijeshi, kujiandaaa kimapigano, wakipewa misaada ya mafunzo ya hali ya juu, hasa FIBUA.
Haikuwa kazi rahisi na ya muda mfupi idf kuishinda hiyo vita.
Ukizingatia mbinu iliyotumiwa na hamas kuwawek raia nyuma yao, kwamba ili uwafikie lazima raia wafe wengi.
Hata hivyo kinachoonekana sasa ni dalili za hamasi kupoteza uwezo.
Ukiona jesshi, kikundi cha kijeshi kinapigana kiraia yaani wamevaa mavazimya kiraia , ni mooja ya ishara ya kuzidiwa,maana yake akitupa siraha anakuwa raia, ndiyo maana unasikiamwaliokufa ni raia siyo hamas.
Itachukua muda , idf watakufa kwa kuwa wanaviziwa na waliovaa kiraia , lakini hamas itashindwa.
Naamini hadi sasa makambi ya hamas au maficho ya mahandakimyaliyosalia ni machache kati ya mengi yaliyoharibiwa au kugunduliwa, eneo pekee lililokuwa salama kwao ni makambi ya wakimbizi, sasa wanafuatwa hukohuko. Ni swala la muda tu.
 
Shida ako huna Mme...na bahati mbaya jamaa aliyekuoa ni dini Ile alishapata mke wa 4 so hauna jipya wewe. Anakuona km bibi kizee...Cha msingi subiri bikra 72 ukazisage peponi. Islam is satan. Dini inaamini Kuna mapepo mazuri ...lol

Wanasema kuna majini wazuri. Wakati akiitwa jini huyo tayari ni malaika muasi. Atakuwaje mzuri wakati kaasi amri ya mkubwa wao?
 
Jeshi la Israel ni la 20 kwa ubora Dunia according to global firepower sasa inakuaje linachukua miezi 2+ kuingamiza hamas ambayo haina hata Kifaru .hakika Mwenyezi mungu yupo na wale wanaosimamia haki

Kwa hiyo mungu wenu anawasimamia hao magaidi na majambazi
 
News from Slave of Allah... uongo uongo tu... kichapo mnatapatapa hadi kiama.. Israel kiboko yenu... Islam is a serpent na Mudy alisema utarejea kwenye shimo lake kama ulivyotoka humo shimoni...
 
Uongo mtupu, hujaona mazayuni toka juzi wanaondowa vikosi vyao Ghaza kwa kichapo wanachochezea?
 
Shida ako huna Mme...na bahati mbaya jamaa aliyekuoa ni dini Ile alishapata mke wa 4 so hauna jipya wewe. Anakuona km bibi kizee...Cha msingi subiri bikra 72 ukazisage peponi. Islam is satan. Dini inaamini Kuna mapepo mazuri ...lol
Jamani jamani[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hizi stori mnazodanganya huko msikitini
 
Jeshi la Israel ni la 20 kwa ubora Dunia according to global firepower sasa inakuaje linachukua miezi 2+ kuingamiza hamas ambayo haina hata Kifaru .hakika Mwenyezi mungu yupo na wale wanaosimamia haki
Inachukua miezi mingi kwa sababu Hamas wanajichanganya na raia wanavaa kiraia sasa Israel inapata wakati mgumu kuwapiga ikipiga kila raia malalamiko ya wafia dini yatadhidi Israel ikitumia nguvu zake zote wapalestina watakufa kama kuku maana Hamas wanawatumia raia kama ngao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…