Mazayuni wanajiondoa GAZA kimyakimya kama walivyofanya Wamarekani Afghanistan

Mazayuni wanajiondoa GAZA kimyakimya kama walivyofanya Wamarekani Afghanistan

Hakuna haki inayopiganiwa na wapalestina,eneo Hilo ni Mali ya Wayahudi tangu alivyolotwa Joshua baadae Daudi na wafalme wote wa Israel walitawala hapo .Wapalestina walikuja baada ya Wayahudi kuondolewa na warumi mwaka 100Ad na ndipo eneo lao likavamiwa na wagen ambao Leo mnawaita Wapalestina .
Miaka elfu ngapi mkuu imepita mpaka sasahivi? Hapa tunaongelea miaka kama 2000 iliyopita . Tutumie ubinadamu tuondoe ushabiki na mihemuko . Mfano tu , ndugu zetu wangoni inasadikika walikuja nchini Tanganyika wakitokea Africa ya kusini. Je, ni vyema tukawafukuza na kusema warudi kwao walikotoka?? Haitakuwa haki kuwatendea hivo.
1948 baada ya Vita kuu ya pili kuisha , na baada ya Wayahudi kunyanyaswa na kuuliwa sana huko ulaya. Kulikuwa na mapendekezo kadhaa hawa Wayahudi ili wasiendelee kuteseka bila taifa lao wenyewe wawatafutie eneo la kuwaweka, kulikuwa na Argentina, Palestine,Congo....etc. Hatimaye ikaonekana wapelekwe Palestine. Kumbuka kuwa kabla ya 1948 hapa duniani hapakuwepo na nchi iitwayo Israel.
Kulikuwa na jamii ndogo sana ya Wayahudi ndani ya Palestine kipindi hicho. ....
All in all ni vyema sana nchi za magharibi zisimamie hili swala na hatimae haki isimame. Palestinians wanahaki kama binadamu wengine. Miaka Zaidi ya elfu mbili wakiishi katika hio aridhi, basi pale ni kwao pia .
 
Shida ako huna Mme...na bahati mbaya jamaa aliyekuoa ni dini Ile alishapata mke wa 4 so hauna jipya wewe. Anakuona km bibi kizee...Cha msingi subiri bikra 72 ukazisage peponi. Islam is satan. Dini inaamini Kuna mapepo mazuri ...lol

1704550035500.jpeg
 
Safi Sana, Ila wa Arab ujanja wao ni kusema "takbiiiir, Allah Akbar uuu, nchi za kiislam, hata kufungua kesi tu mahqkqma ya dunia, zimeogopa! Zikafysta mkia,ni wakristo tu wa Afrika kusini, wenye balls wamekiwasha!
Nchi za Kiarabu unazoziongelea ni zipi?
 
hamas wanalijua hilo na ndio maana miundombinu yao baadhi inasemekana wameijenga chini ya hospitali na mashule na makambi ya wakimbizi, sababu walijua huko hawawezi fuatwa.. sasa israel anakua hana jinsi bali kuvunja hizo sheria
Visababu vya kijinga wabomgo mmekuwa propagation wa israel
 
Back
Top Bottom