MKIBAIGWAsharkss
JF-Expert Member
- May 25, 2017
- 572
- 1,331
- Thread starter
-
- #21
Meli zinazoanza mombasa port (EA 001)then dar ni zile zinazotokea Asia . kwa meli zinazotokea europe huwa zinaanza dar port (EA 002) then inafuatia mombasa
Fortuner[emoji736]Kama sita kuwa na hela ya kununua Fortuner Basi sitanunua Gari kabisaaa
Kama sita kuwa na hela ya kununua Fortuner Basi sitanunua Gari kabisaaa
Kama sita kuwa na hela ya kununua Fortuner Basi sitanunua Gari kabisaaa
Upo sahihi pia meli kutoka asia wanaweza na kumalizia mombasaAhsante kwa ufanunuzi.
Japo mwaka jana niliagiza gari meli ilitokea Asia ,ilianzia Dar badae ikaenda mombasa
Upo sahihi kabisaHamna ni mil 26-30 pamoja na kodi
Mimi naona ni chaguo zuri kwa watu wa town ukiringanisha na Harrier au kluger.
Kwa upande wa ukisasa na fuel consumption
That's Maserati Quattroporte, $150,000 bila ushuru.
Toka kitambo meli zote za magari zinapitia bandari ya Mombasa alafu inakuja DAR na ikishafika DAR inaenda DurbanMeli nyingi saivi zinapita kenya kwanza ndo zije dar
Itapita mombasa badae itakuja Dar
Toka kitambo meli zote za magari zinapitia bandari ya Mombasa alafu inakuja DAR na ikishafika DAR inaenda Durban
Wakenya wenzetu wapo vizuri mno kwenye magari tofauti na Sisi wabongo ndiyo maana kilasiku tunishia kwenye IST TuSecond generation ni tamu sana.
Ukitaka kuona most recent cars nyingi nenda Nairobi .
Nilikuwepo huko last week .
Gari kali zote recently utaziona ndo nikabahatika kupanda Mazda cx-5 ,
Kenya ile sheria yao ya gari liwe chini ya miaka saba inawasaidia sana.
Tz magari yaliyojaa ni matoleo ya zamani.
Nilijifunza sana kununua gari recent.
Lakini pia kenya pia ukikuta gari imechakaa inakuwa imechakaa kweli watu hawauzi magari maana kununua gari mpya ni ishu
2019Kitambo ipi mzee??
Hiyo IST 16 ,17 unapata ila CX5 bila 25 kuendelea hupati na wala siyo kwamba tunaipenda sana IST tatizo ni imezidiwa parefu sana na CX5Wakenya wenzetu wapo vizuri mno kwenye magari tofauti na Sisi wabongo ndiyo maana kilasiku tunishia kwenye IST Tu
Upo sahihi kabisaa isipokuwa huku bongo tumelogwa na Toyota Tu.Hiyo IST 16 ,17 unapata ila CX5 bila 25 kuendelea hupati na wala siyo kwamba tunaipenda sana IST tatizo ni imezidiwa parefu sana na CX5
Sent from my CPH1823 using JamiiForums mobile app
Wanakuambia ndoa ya kikristo.Upo sahihi kabisaa isipokuwa huku bongo tumelogwa na Toyota Tu.
Ukimiliki gari tofauti na Toyota unapata shida Sana kuanzia mafundi na spare parts hii ndiyo yetu Hadi tunafanana barabarani maana kila MTU anaenda kwenye IST
Hapa Mazda walituliza kichwa. Tatizo kupata Petrol ndio issue, ila Diesel sio mbaya, kama ni mtu wa kutoka atleast kwa mwezi mara 2 uende long trip.
Natumia Mazda 6, zinashare engine SkyActive ni nzuri sana sana saaaaaaana.
Hiyo aliyoweka mtoa mada ni 1st generation iliisha mwaka 2016. Ukiwa na tight budget pambania ya mwaka 2016 na 2015 zilifanyiwa facelift moja tamu ndani nje na engine.
Kabla ya Facelift:
View attachment 2767536View attachment 2767537
Baada ya Facelift:
View attachment 2767538View attachment 2767539
View attachment 2767543
Ukiwa fresh zaidi chukua 2nd generation kuanzia ya 2017 nilikutana nayo moja mitaa ya Jangwani pale. Aisee. Kali sana.
2nd gen:
View attachment 2767540View attachment 2767541
DPF na EGR delete niliambiwa 850k. Nikasema no way. Mtu mwenyewe weekend lazima niipelekee moto gari hafu wanataka wanile hela.Uzuri wa za diesel ni fuel consumption na power. Tatizo lake ambalo hata hivyo kwa bongo lina tiba ya kudumu ni DPF.
Pia badili na coolant junction toka inayokuja na gari ya plastic kwenda ya bati (zinauzwa kama spare), tou are good to go.
CX 5 kama ilivyo Gari zote za miaka ya kuanzia 2010 zinataka service nzuri na clean diesel
HII GARI INAKUOA THAMANI YA HELA YAKO KULIKO gari nyingi kama vanguard, rav 4 au Honda za miaka hiyo.
Ulaji wake wa mafuta na power unaweza kupata kwa gari chache sana zisizo hybrid
Demio aka Mazda 2. Unayosema wewe ni 3rd generation. Unyama sana. Kana engine ndogo sana 1.5L kuna option ya diesel pia.Kuna hii mazda demio ya mwaka 2015 / 2016' naielewa saana hii basi tu yaani
Mkuu kama hutojali naomba ufafanuzi zaidi kwenye hiyo sentensiHII GARI INAKUOA THAMANI YA HELA YAKO KULIKO gari nyingi kama vanguard