Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo bei yake hio 115 M.Kwa MAZDA sidhanimkuu umesahau kuweka . kwenye 11
Kasahau typing error...hiyo bei sio ya hiyo gariNdo bei yake hio 115 M.Kwa MAZDA sidhani
Hawezi kuja kuuza gari used ya 115M hapa JF, wakati wengi tuna miliki gari chini ya 10M na wengine baiskeli,Bajaj na wengine wanamiliki miguu yao tu.!!Kasahau typing error...hiyo bei sio ya hiyo gari
Ndo mana anaiuza gari haina ata mwezi anaiuzia niniTupe uzoefu wa upatikanaji wa vipuri
Ndo mana anaiuza gari haina ata mwezi anaiuzia nini
Nimetembelea mazda axela ....najua shughuli yake. Kwa Bongo kumiliki mazda ni kujitesa tuTimu toyota ondoeni hofu mazda ni km magari mengine vipuli vya kawaida sana
Kama wewe umeweza kumiliki haimaanishi kua kila mtu ataweza. Kimsingi hakuna gari duniani ambayo haiwezi kutembea popote1 maana ktk dunia ya utandawazi unaweza kupata vipuri hata singapore. Ila tuzungumze ukweli...mazda ni gari ngumu kupata vipuri tena angalau ukiwa nayo dar ila kwa wamikoani aisee mazda siwashauriNina hiyo premancy na nina cx5 sijawahi kujuta kumiliki hii brand