Mazee... Demu wangu kanifurahisha kinyama!!

Mazee... Demu wangu kanifurahisha kinyama!!

Mkuu mbona maneno ya kawaida tu kuambiwa,
Ana maslahi na wewe ndio maana hataki kukupoteza

Ila ni vyema kuwa positive hivyo hata kama anamaslahi mapana
Maisha yenyewe mafupi
 
Siyo rahisi hivyo boya wewe! Endelea kuvimba bichwa ...


Sasa unanitukana nimekufanyaje mzee... Unaona wivu mie kusifiwa eeeeeh....
Mwambie demu wako na wewe akusifie basi ufurahi...

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
 
Mkuu mbona maneno ya kawaida tu kuambiwa,
Ana maslahi na wewe ndio maana hataki kukupoteza

Ila ni vyema kuwa positive hivyo hata kama anamaslahi mapana
Maisha yenyewe mafupi


Mkuu Ramsonii.... Una maana gani unaposema vyema kuwa positive....
Yaani niendelee naye, nimpige chini.....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
 
Chali angu hakuna demu boya kiasi hicho atakae kubali umuache kirahis namma hyo hapo kajifanya kukuelezea hisia zake za uongo ili asiaibike coz kwanza kuachwa ni mkos so chakufanya ili asiachwe ni kukudanganya hivyo lakin anajua ipo siku utajamwacha tuu so round hii tegemea kuachwa ww. Sa hv ashagundua huna mpango nae na humpendi . Sahv anajipanga taratibu ghafla atakupiga chin na hutaamin . HUYO DEM SIO NDEZ KAMA UNAVYOMFIKIRIA
 
Mkuu Ramsonii.... Una maana gani unaposema vyema kuwa positive....
Yaani niendelee naye, nimpige chini.....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
Endelea kuwa naye huku ukiamini anakupenda kinyama!hapo ndio utakuwa positive,
Ingawa inawezekana hakupendi ila hataki kuzipoteza pesa zako ila hayo wewe usiyawaze wewe jua tu anakupenda kinyama yani,
Utaishi maisha marefu sana
 
Chali angu hakuna demu boya kiasi hicho atakae kubali umuache kirahis namma hyo hapo kajifanya kukuelezea hisia zake za uongo ili asiaibike coz kwanza kuachwa ni mkos so chakufanya ili asiachwe ni kukudanganya hivyo lakin anajua ipo siku utajamwacha tuu so round hii tegemea kuachwa ww. Sa hv ashagundua huna mpango nae na humpendi . Sahv anajipanga taratibu ghafla atakupiga chin na hutaamin . HUYO DEM SIO NDEZ KAMA UNAVYOMFIKIRIA


Khaaaaaaaa..... Mbona mambo mswano tuuu kama ndio hivo!!!!
Akinipiga chini ndio atakua ameni rahisishia kazi sasa, maana sina future naye....
Mie natafuta mwanamke Bikra bana.... Thats my first priority....

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
 
Hata hao ex zake alikuwa anawaambia hivyo hivyo.. na bado akapigwa chini..
 
Niaje Wazeiyaaaaaaaaah....

EBANA SAWA:
Mnajua nini??? Mie nina demu wangu... sawa mazee!!
Na huyu demu wangu is that kind of a girl like many other girls are:
"used".

Sasa kama mnavojua msimamo wangu wa:
Sitokuja kuoa mwanamke used kamwe... Labda NIFE.

Na kila kukicha huwa napiga makelele sana humu kuwasihi vijana wenzangu wasioe wanawake used kwani madhara yake ni mengi, mabaya na yanajulikana....

Na kwa kuwa aina ya mwanamke nayemuhitaji mie for real life hapatikani kirahisi rahisi (kama navowapataga mademu wengine akiwamo huyu) nikaona daaah mwanaume nisije nikafa kwa punyeto bureee... Wakat natafuta my future wife (BIKRA) let me hang out with this girl for a while (just for leisure).
Mmeona hapo???????

SASA BASI:
Muda wa kuwa serious umefika sasa... I am tired with this leisure relationship...
Kwanza gharama tuu.. Halafu nakosa freedom kufanya mitkasi yangu kibao...
Na inakua ngumu kupata future wife wakat bado niko kwenye active bond na huyu bibie...

Nafanyeje sasa???? Nampiga chini kila mtu ashike 50 zake ki roho safi kabisaaa...

Juzi Alhamisi usiku nikamtext:

Chief: Jay.... Mi naona relation yetu haina future nzuri... Naona ni bora kila
mtu akawa free... But tutaendelea kupeana support until everyone has moved on...

Bibie: No.. Chief... Sitaki kukupoteza hata kidogo. Nilipokupata nilijua wewe ndio mwanaume
wangu wa mwisho, sitompenda mwingine mpaka nakufa.

Chief: Najua... Lakin mie naona sitoweza.. Mind yangu inakataa kabisa.

Bibie: No plz... Chief nakupenda kuliko watu wote nilowahi kuwa nao. Tusiachane.

Basi alivonitumia hiyo text ya mwisho mwenzenu nimefurahi kinyama...

Mnajua kwanini?????
Demu anapokuambia anakukubali wewe kuliko mashkaji yote yaliyompitia maana yake nini:
1. Mimi nina msugua ipasavyo kuliko huto tushkaji... Anapagawa.
2. Mimi ni handsome kuliko huto tu ex twake.
3. Kiuchumi niko juu compared na huto tujamaa..
4. Kifupi mie niko more romantic yani!!

Yaani mazee nimefurahi kinyama nilivo ambiwa hivo..
Nimezidi kujisikia katika wanaume namie nimo. Nahesabika. Demu kadata. Kapagawa.
Niko juuu...

At least naanza kufikira kubadili uamuzi wangu endapo akiendelea kunisifia namna hiyo.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
Ushoga symptoms detected
 
Kumwamini cc* duu ni sawa na kuamini kuwa uchaguzi huu raisi wa marekani lazima awe Hillary Clinton hata kama trump kesha shinda
 
ww jamaa una umri gan? mbona huish kujisifia sifia katika post zako...badilika kiongozi
 
Niaje Wazeiyaaaaaaaaah....

EBANA SAWA:
Mnajua nini??? Mie nina demu wangu... sawa mazee!!
Na huyu demu wangu is that kind of a girl like many other girls are:
"used".

Sasa kama mnavojua msimamo wangu wa:
Sitokuja kuoa mwanamke used kamwe... Labda NIFE.

Na kila kukicha huwa napiga makelele sana humu kuwasihi vijana wenzangu wasioe wanawake used kwani madhara yake ni mengi, mabaya na yanajulikana....

Na kwa kuwa aina ya mwanamke nayemuhitaji mie for real life hapatikani kirahisi rahisi (kama navowapataga mademu wengine akiwamo huyu) nikaona daaah mwanaume nisije nikafa kwa punyeto bureee... Wakat natafuta my future wife (BIKRA) let me hang out with this girl for a while (just for leisure).
Mmeona hapo???????

SASA BASI:
Muda wa kuwa serious umefika sasa... I am tired with this leisure relationship...
Kwanza gharama tuu.. Halafu nakosa freedom kufanya mitkasi yangu kibao...
Na inakua ngumu kupata future wife wakat bado niko kwenye active bond na huyu bibie...

Nafanyeje sasa???? Nampiga chini kila mtu ashike 50 zake ki roho safi kabisaaa...

Juzi Alhamisi usiku nikamtext:

Chief: Jay.... Mi naona relation yetu haina future nzuri... Naona ni bora kila
mtu akawa free... But tutaendelea kupeana support until everyone has moved on...

Bibie: No.. Chief... Sitaki kukupoteza hata kidogo. Nilipokupata nilijua wewe ndio mwanaume
wangu wa mwisho, sitompenda mwingine mpaka nakufa.

Chief: Najua... Lakin mie naona sitoweza.. Mind yangu inakataa kabisa.

Bibie: No plz... Chief nakupenda kuliko watu wote nilowahi kuwa nao. Tusiachane.

Basi alivonitumia hiyo text ya mwisho mwenzenu nimefurahi kinyama...

Mnajua kwanini?????
Demu anapokuambia anakukubali wewe kuliko mashkaji yote yaliyompitia maana yake nini:
1. Mimi nina msugua ipasavyo kuliko huto tushkaji... Anapagawa.
2. Mimi ni handsome kuliko huto tu ex twake.
3. Kiuchumi niko juu compared na huto tujamaa..
4. Kifupi mie niko more romantic yani!!

Yaani mazee nimefurahi kinyama nilivo ambiwa hivo..
Nimezidi kujisikia katika wanaume namie nimo. Nahesabika. Demu kadata. Kapagawa.
Niko juuu...

At least naanza kufikira kubadili uamuzi wangu endapo akiendelea kunisifia namna hiyo.

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng.
Mkikua mutaacha na rafiki yako stunter
 
Back
Top Bottom