Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
yesssTeh teh teh teeeeeh!! Haya bwana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yesssTeh teh teh teeeeeh!! Haya bwana.
Mi hata cjui alikuwaga mweupe au mweusi nshamshauguHii dhana ya first love kua eti ngumu kumsahau sio kweli!
hujatendwa ukatendeka weeee!
unaona nuksi hata kivuli chake!
That is definitely TRUE.Hii dhana ya first love kua eti ngumu kumsahau sio kweli!
hujatendwa ukatendeka weeee!
unaona nuksi hata kivuli chake!
That is definitely TRUE.
Umeongea jambo la kweli kabisa. Watu hawajui tu. Kuna mwanamke flan niliwahi kua nae kitambo pamoja na yote tuliyopitia sitaki hata kumuona akafirw* mbele....(Its a long story)
Mi bana nilishaapa sitokaa nimlilie mwanamke abaki na mm hata siku moja. Mtu unazingua unapiga chini tu.Watu wanakiri udhaifu kabisa!!
Mie niko tofauti!
Kweli kabisa watu wanaachana maisha yanaenda pia!huo ujinga mie sitaki!
nilishalia,nikalizwa tena hao kenge wote sihitaji kuwaruhusu wanishike hata nywele tena..Mi bana nilishaapa sitokaa nimlilie mwanamke abaki na mm hata siku moja. Mtu unazingua unapiga chini tu.
It needs a lot of patience kupata ur soul mate mtu ambae anakupigania kwa shida na raha. Mwanamke ukiumia na yeye anaumia vice-versa is TRUE. Its such a Turn ON man.
Trust me wanawake wa hvyo wapo sanaa tu ila ni mtu kuwa na subra na sala nyingi.
Huyo dem after tumeachana sikumpa time wala nn....mi nikasonga na life langu fresh tu. Nikapata dem mwingine, maisha yanaenda fresh nina amani nina raha nd im happy from the deepest corner inside me. Unajua just because mtu ni from a very high class isiwe sababu we kukosa furaha/amani/focus.
Ulaaniwe na kizazi chako kuanzia cha kwanza hadi cha NNE. Mabinti utakaozaa watazinishwa na kuachwa na kufelishwa shule. Yaani binti mdogo form two under 15 years unamchezea for almost 6 years. Anaacha concentration ya masomo anafeli na mwishowe unamuacha? Tena unamwandika JF kwa lugha ya kumdhalilisha. Wa kwako watadhalalishwa Mara 100. Wanawake tiamke tuombee mabinti zetu usiku na mchana. Moyo umeniuma mpaka kitovu kilichotoa wanangu.
Ulaaniwe na kizazi chako kuanzia cha kwanza hadi cha NNE. Mabinti utakaozaa watazinishwa na kuachwa na kufelishwa shule. Yaani binti mdogo form two under 15 years unamchezea for almost 6 years. Anaacha concentration ya masomo anafeli na mwishowe unamuacha? Tena unamwandika JF kwa lugha ya kumdhalilisha. Wa kwako watadhalalishwa Mara 100. Wanawake tiamke tuombee mabinti zetu usiku na mchana. Moyo umeniuma mpaka kitovu kilichotoa wanangu.
ngumu mno. wengine mafesti lavu walikuwa mabaamedi lakini kuna siku wanavuruga kichwa.Kumsahau first love ngumu mnoooooo!! Yaani we acha tu.
We si unyooshe maelezo that ni muhanga wa punyeto. Maneno kibaaaoo 4 wat ??
Si ajabu the whole story from the beginning is a big fat lie/tale.
Kuraleki viwanda vya magu lazima viporomoke
Unajilipua kimoja au sio' sasa siku nyingine jilipue vitatu kabisa
Halafu njoo ulete mrejesho
Hii dhana ya first love kua eti ngumu kumsahau sio kweli!
hujatendwa ukatendeka weeee!
unaona nuksi hata kivuli chake!
Primaryyy?!!mbona umenipendelea....!!!Ndio tatizo la kubikiriwa ukiwa Primary School level...
Akili haikua yako.. Ndio Maana umemsahau aliye kubanjua masikini...
[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng