Mazee, kila nikimkumbuka ex-gf wangu lazima nijilipue, hii imekaaje!!?

Wewe ndo hutosahau!!!

Hakuna a better way to end a relationship than on mutual consent...ni rahisi mno ku moe one!

Ukishajihisi 'unakereka' kumsikia/kumuona...think twice!!!
Bora umeongea ukweli, wanaoachana kwa kuumizwa ndio hawasahau ng'ooo. Maana hayo maumivu yanaonyesha ni jinsi gani yako deep.
 
Serious Huyo hajatendwa aiseeh umemukaataa kwa utashi wako. Hiyo ulinayo ni psychological effect kuitoa ni ngumu sana labda uwahi kuoa tuuh kijana kabla huujaasilika zaidi.
unafanya nini huku muda wa prob huu kasongoke
 
Wewe watu shule tumemaliza Sua kitambo tuko kazini wewe unaniambia tena kuhusu probation pole sana au nembo ya Sua inakuchanganya hahahaaa
 
Unajiendekezatu maamae...!!!, we endeleatu kupiga puli ndo utajua nn madhara ya hyo kitu...[emoji16]
 
Mkuu kwa kipindi cha miaka yote hii saba unaishije bila msichana?, au na wewe una jigegeda?
 
mshanajr au mzizimkavu wanaweza kuwa na dawa yake labda
 
Chief Engineer,

Hakuna siku umewahi kunikera humu ndani kama siku uliyomsema huyo ex girlfriend wako wa zamani. Ulimtukana humu kwamba mbaya, umemuacha na mambo mengi sana. Ulidiriki hata kuweka namba yake ya simu, ukamkashifu na kumtukana. Mpaka leo namkumbuka jina lake mrembo huyo. Ni huyo huyo binti aliyeko Morogoro unakokutaja kwenye hii thread yako.

At last you decided to come out of the Box and say what is really troubling you. You have a bruised ego and you are hurt. Deal with your feelings na kama umemkosea muombe msamaha. Ila - I will 'shoot' my daughter if she decides to fall back into the arms of a man like you for the second time. You don't deserve her, you don't deserve to even get her handshake. Get lost!
 
Aiseeeeee!!!
 
Nikishasema its over ni over kweli simkumbuki kwa lolote au chochote kile
 
Kweli....hunikumbuki hata kwa zile special moments?!! Siamini...
Nilishazifuta sema nikipitaga ile sehemu tuliokuwa tunaenda sana kuangalia movie kama nakukumbukamo.....[emoji1] [emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…