Salaam wakuu
Nimeangalia video nyingi Sana za hawa magicians Wazungu kwa Waafrika na nimejikuta najiuliza maswali mengi Sana kuwahusu wao na pia kila kukicha wanaibuka wapya
Unakuta mtu anatafuna viwembe vya kutosha tu alafu anatafuna na uzi alafu anashushia na maji baada ya hapo anavitoa vile viwembe vikiwa vimejipanga kwenye ule uzi [emoji15] na maajabu mengine mengi tu
Hivi wakuu hawa magicians nguvu zao zinazowawezesha kufanya magics wanazitoa wapi/wanazipataje?
Je,Kuna vyuo wanavyofundisha magics?
Au niwaongo tuu hawafanyi ukwelii kwamba wanafanya tricks?
View attachment 1807346View attachment 1807347View attachment 1807348