Mazingaombwe (Jugglery) ni Sayansi au Uchawi?

Kuna chuo kipo India kinafundisha mambo hayo sema nimekisahau jina lake nikikumbuka takwambia
 
🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hivi wale ma POWER wa Mazingaombwe wa zamani walikuwa wanatembelea mashule wako wapi siku hizi?
Namkumbuka Power Mabula
Alikuwa anavuta gari kubwa kwa nywele tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23] we jamaa kumbe hz pigo zako umezianza kitambo eeeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],

BTW naona ID nyng zilizo comment kwny huu uzi zimepotea sana vp wamestaafu kutumia JF au?!
 
He can influence your decision. They use magic powers.
 
Tayari umeshajibu. Ni ujanja ujanja tu.
Ujanja ujanja na wakati nakumbuka nilishika panga lilinolewa vizur kwa mkono wangu nikaambia nimpige mwanafunz la kichwa lakin la kushangaza sikupata kesi yoyote maana dogo alikua akiongea huku stanless steel alikua akitembea nayo
 
Hapana sio uchawi mkuu....ni sayansi. Naijeria kuna chuo kinafundisha hii mambo
Kuna mpaka ambao unatenganisha kwa beginner utaambiwa ni tricks, but magic is more than tricks. Hata ukiomba ufundishwe utafundishwa tricks za kawaida. Huwezi kufundishwa kuingia ndani ya tv au kumtoa nje mtu aliyepo kwenye tv na kisha ukamrudisha, au mtu akufunike na turubai hapa halafu akifunua within a second haupo kabisa au upo upande mwingine. Hii inaitwa teleportation kama sikosei.

Magician ni kweli wanatumia tricks ambazo ni sleight of hands to perform their illusion kitu ambacho hata wewe ukifundishwa kama una mikono miepesi unaweza, but sometimes they use super natural powers from demons ambacho baadhi ya magician hata walipoulizwa kama wana magic powers, walisema ndio.

Issy Simpson ni mwana mazingaombwe ambaye kwa sasa ana miaka 14 na alianza akiwa na miaka 7. Kwa mdomo wake alisema roll model wake ni babu yake, akaulizwa je babu yake ni mchawi akasema YES.
 
Wamekimbia [emoji23]
 
Umeeleza vizuri kuhusu mazingaombwe (magic) na kiini macho (illusion) lakini kwamba wanatumia nguvu za giza ni uongo. Hakuna magic trick au illusion ambayo haina maelezo ya jinsi ya kufanya. Tatizo linakuja kwamba ili uweze kufanya hivyo vitu ni lazima uwe na special skills kama sleight of hands, cold reading, power of suggestion n.k na ndio maana sio kila mtu anaweza kufanya. Suala la uchawi au demons hakuna.
 
ooh baada tu ya kumaliza kusoma mstari wa mwisho imebidi nijishike mbele kwangu nione kama jamaa yupo au ndo kashapotea,maana wachawi sio watu wazuri! siku moja nilipita sehemu nikawakuta hawa watu wa mazingaombwe sasa wakat tunaendelea kuangalia karatasi zinabadilishwa kuwa saa akatokea mlevi mmoja kaanza kuwatukana wale jamaa na kuwaita matapeli tu,wakamuita apite mbele akaenda,chini kulikuwa na begi kuukuu ndani kama vile kuna mnyama ana manyoya mengi wakamwambia aingize mikono humo kwenye begi ili ajue kama wao ni wa kweli au waongo.
Mlevi yule si akaingiza mikono huku anatamba kuwa "hamuwezi kunifanya lolote" akaambiwa atoe mikono na ajiangalie kama uume wake upo jamaa alipojiangalia akakuta kumekuwa flat yaani hakuna kabisa kikojoleo cha aina yoyote..alilia sana akawaomba msamaha,wakampga fine na wakamuweka mpka walipomaliza shughli zao wakamrudishia kikojoleo chake..ndio maana na mimi nikashtuka.
 
Tsh.20😂😂
 
Hahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…