Mazingaombwe ni ujuzi gani?

Mazingaombwe ni ujuzi gani?

Achana na vya YouTube, Naongelea Mazingaombwe kweli kweli, Au ile ya kuvuta pikipiki nayo kuna code wanafanya . Wakati kwa macho unashuhudia Mkulungwa akivuta pikipiki kwa shingo. C'mon man kuwa serious kidogo.

By the way ushawahi kushuhudia mazingaombwe live Zaidi ya hayo huko YouTube?
Dah! Wewe kama unashangaa pikipiki cjui Toyo, Kinglion, Houjue, T-Better nk. Ugeshagaaje? mana kuna mwamba mmoja aliitwa kwa jina Power Mabula (sijui kama yupo hai au vp). Huyo mwamba alikuwa na uwezo wa kuzuia gari aina ya Land-rover Mandolin isiondoke hata kama dereva ataweka (ataengage) 4WD kwa kutumia nywele za kichwa chake. Hiyo nilishuhudia mm mwenyewe live Sengerema Sec.School. Baada ya onesho tulipata bahati ya kufanya naye mazungumzo na katika urafiki ule wa kiuanafunzi tulijifunza baadhi ya vitu kutoka kwake. Hakuna Uchawi wowote aliokuwa akitumia ila ujanja/kificho wa mazingaombwe.
 
Sasa ulijuaje kwamba Mungu hayupo
Kwanza hakuna ushahidi, uthibitisho wala uhakika wa uwepo wa huyo Mungu.

Ni imani tu zisizo na uthibitisho wowote ule.

Mungu angekuwepo, Kusingekuwa hata na haja ya kuhoji uwepo wake.

Kila mtu angejua kwa uhakika kabisa kwamba Mungu yupo, pasipo utata na utofauti wa kiimani.

Mungu hayupo ndio maana kila siku mnahangaika kumwelezea aonekane yupo.

Kumbe mnajaribu kufosi imani zenu tu.
 
Kwanza hakuna ushahidi, uthibitisho wala uhakika wa uwepo wa huyo Mungu.

Ni imani tu zisizo na uthibitisho wowote ule.

Mungu angekuwepo, Kusingekuwa hata na haja ya kuhoji uwepo wake.

Kila mtu angejua kwa uhakika kabisa kwamba Mungu yupo, pasipo utata na utofauti wa kiimani.

Mungu hayupo ndio maana kila siku mnahangaika kumwelezea aonekane yupo.

Kumbe mnajaribu kufosi imani zenu tu.
We uliona dalili gani ukajua kwamba hayupo
 
Magic is the game between magician and the audience.

Enzo Weyne
Teleportation Magian.
 
N

Ndo ubaya wa kumwelewesha mtu ambaye anaangalia Mazingaombwe youTube.

Hiyo ndizi ilishikwa na Mwanafunzi na ilikuwa nzima kabisa.

Kuna baadhi ya Mazingaombwe kweli ni tricks ila mengine yamevuka ukomo.
Kha! Mkuu unapenda nikufundishe japo kidogo kile ninachafahamu cha Mazingaombwe??? Ndizi Ilikuwa nzima kivipi? Nimekuuliza: Uliikagua kabla? No reply. Nikakuuliza tena: Nani alileta hizo ndizi? No reply. Halafu mwisho nikuulize: Unafahamu uhusiano baina ya huyo mwanafunzi na mwonesha mazingaombwe na ilivyopatikana hiyo ndizi? Nadhani hapo utaweza kupata walau mwanga kidogo. Mathalani mm ninaweza kusoma makaratasi mliyoandika nikiwa sipo tena mkayakunja-kunja say watu 30 kwa kutumia kisogo changu. Ni vi-tricks vya kijinga tuu hakuna lolote na kila mtu anaweza kufanya Mkuu.
 
We uliona dalili gani ukajua kwamba hayupo
Hakuna uthibitisho wowote kwa kisicho kuwepo.

Hakuna dalili yeyote kwa kitu ambacho hakipo.

Kisichokuwepo hakipo kwa dalili yeyote ile wala kwa uthibitisho wowote ule.

Mungu hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.
 
Kha! Mkuu unapenda nikufundishe japo kidogo kile ninachafahamu cha Mazingaombwe??? Ndizi Ilikuwa nzima kivipi? Nimekuuliza: Uliikagua kabla? No reply. Nikakuuliza tena: Nani alileta hizo ndizi? No reply. Halafu mwisho nikuulize: Unafahamu uhusiano baina ya huyo mwanafunzi na mwonesha mazingaombwe na ilivyopatikana hiyo ndizi? Nadhani hapo utaweza kupata walau mwanga kidogo. Mathalani mm ninaweza kusoma makaratasi mliyoandika nikiwa sipo tena mkayakunja-kunja say watu 30 kwa kutumia kisogo changu. Ni vi-tricks vya kijinga tuu hakuna lolote na kila mtu anaweza kufanya Mkuu.
Hakuwa na uhusiano wowote na huyo Mwanafunzi. Na ndizi kwa macho ya kawaida ilikuwa nzima, Na kila Mwanafunzi aliiona.
 
Kha! Mkuu unapenda nikufundishe japo kidogo kile ninachafahamu cha Mazingaombwe??? Ndizi Ilikuwa nzima kivipi? Nimekuuliza: Uliikagua kabla? No reply. Nikakuuliza tena: Nani alileta hizo ndizi? No reply. Halafu mwisho nikuulize: Unafahamu uhusiano baina ya huyo mwanafunzi na mwonesha mazingaombwe na ilivyopatikana hiyo ndizi? Nadhani hapo utaweza kupata walau mwanga kidogo. Mathalani mm ninaweza kusoma makaratasi mliyoandika nikiwa sipo tena mkayakunja-kunja say watu 30 kwa kutumia kisogo changu. Ni vi-tricks vya kijinga tuu hakuna lolote na kila mtu anaweza kufanya Mkuu.
Toa hiyo elimu kuhusu namna unavyoweza kusoma majina yaliyokunjwa kwenye karatasi au kama haupo willing kuiweka public nicheki PM. Mana nipo interested walau kujua baadhi ya tricks.

Napenda kujifunza vitu vipya kila siku.
 
Hakuna uthibitisho wowote kwa kisicho kuwepo.

Hakuna dalili yeyote kwa kitu ambacho hakipo.

Kisichokuwepo hakipo kwa dalili yeyote ile wala kwa uthibitisho wowote ule.

Mungu hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.
Ngoja leo akutokee jini live ndo utaanza kuamini ulimwengu wa ghaibu
 
Ngoja leo akutokee jini live ndo utaanza kuamini ulimwengu wa ghaibu
Majini hawapo.

Majini ni viumbe ambavyo tumejitungia tu.

Tena wamepewa hadi na majina kabisa.

Kuna jini Makata.

Jini Maimuna.

Jini Subiani.

Hawa wote ni viumbe wa kufikirika tu.

imaginations just an illusion.

Hawapo.
 
Majini hawapo.

Majini ni viumbe ambavyo tumejitungia tu.

Tena wamepewa hadi na majina kabisa.

Kuna jini Makata.

Jini Maimuna.

Jini Subiani.

Hawa wote ni viumbe wa kufikirika tu.

imaginations just an illusion.

Hawapo.
Na vipi kuhusu roho
 
Ukifa unaenda wapi
Hauendi mahali.

Ukifa unaoza na kuwa rutuba ya udongo ardhini.

Hukuwa na maisha kabla hujazaliwa Vivyo hivyo, Hutakuwa na maisha ukisha kufa.

You had no life before birth and you will not have life after death.

Are you there?
 
Hauendi mahali.

Ukifa unaoza na kuwa rutuba ya udongo ardhini.

Hukuwa na maisha kabla hujazaliwa Vivyo hivyo, Hutakuwa na maisha ukisha kufa.

You had no life before birth and you will not have life after death.

Are you there?
Sasa kwa nini tuko duniani
 
Back
Top Bottom