Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,755
- 1,939
Dah! Wewe kama unashangaa pikipiki cjui Toyo, Kinglion, Houjue, T-Better nk. Ugeshagaaje? mana kuna mwamba mmoja aliitwa kwa jina Power Mabula (sijui kama yupo hai au vp). Huyo mwamba alikuwa na uwezo wa kuzuia gari aina ya Land-rover Mandolin isiondoke hata kama dereva ataweka (ataengage) 4WD kwa kutumia nywele za kichwa chake. Hiyo nilishuhudia mm mwenyewe live Sengerema Sec.School. Baada ya onesho tulipata bahati ya kufanya naye mazungumzo na katika urafiki ule wa kiuanafunzi tulijifunza baadhi ya vitu kutoka kwake. Hakuna Uchawi wowote aliokuwa akitumia ila ujanja/kificho wa mazingaombwe.Achana na vya YouTube, Naongelea Mazingaombwe kweli kweli, Au ile ya kuvuta pikipiki nayo kuna code wanafanya . Wakati kwa macho unashuhudia Mkulungwa akivuta pikipiki kwa shingo. C'mon man kuwa serious kidogo.
By the way ushawahi kushuhudia mazingaombwe live Zaidi ya hayo huko YouTube?