Mazingira ambayo mke wako akizini lazima umsamehe na muendelee na maisha ya ndoa

Mazingira ambayo mke wako akizini lazima umsamehe na muendelee na maisha ya ndoa

Hakuna njia ya kuhalalisha uzinzi usilete sababu zako ambazo hazina mashiko
 
Straight red card hakuna mambo ya vieira V.A.R 😂
Mkuu mkeo akigongwe kwenye situation ya Wimbo wa B ahat Bukuku- Dunia Haina huruma!! Unaweza ukampa red kad ?
 
Mkeo akiliwa kwa situation zifuatazo lazma umsamehe
1. Azin ili apate chakula Cha watoto,wew ukiwa umefulia
2.kugongwa mbele yako wakat mmevamiwa na majambazi
3. Akizini kwa lengo la kuokoa maisha yako,mfano unaumwa harafu hakuna hela ya matibabu,haraf akapata mwenye hela kwa shart la kumla.
Ongezeen na zngne wadau
Akiliwa kinyume na maumbile
 
Mkeo ameenda safari na boss na wamelala hotel moja ukizingatia mkeo nae anamkubali kwa kuwa na pesa na hb kuliko wewe .....😛
 
Mkuu kumbuka kuwa Kuna wakat wanaume huwa wanakimbia familia pale wanapozidiwa kuhudumia lakin wanawake huwa hawakimbii familia hata Hali owe ngum kias gan,na njia wanazotumia Ni pamoja na kujenga mahusiano na mwanaume mwenye pesa ili aweze kuhudumia familia yake,mme akirudi huwa wanaacha!! Hapa mwanamke alikuwa hajiuz Ila alikuwa anafanya uzinz, hapa unasemaje mkuu?
Ati wanawake hawakimbii nini? [emoji16] [emoji16]
 
Mkeo akiliwa kwa situation zifuatazo lazma umsamehe
1. Azin ili apate chakula Cha watoto,wew ukiwa umefulia
2.kugongwa mbele yako wakat mmevamiwa na majambazi
3. Akizini kwa lengo la kuokoa maisha yako,mfano unaumwa harafu hakuna hela ya matibabu,haraf akapata mwenye hela kwa shart la kumla.
Ongezeen na zngne wadau
Dah
 
Dj walete na mkasa wa boss ya ferooz
 
Kweli wanaume tumekuwa wachache sana asee Yan unajua umefulia unakubali kabisa mtu akugongee mkeo ili mpate kula asee. Na wewe unakaa mezani kabisa kula pesa Ambayo kaliwa kwanza mkeo na msosi unashuka kabisa
 
Back
Top Bottom