Mazingira ambayo mke wako akizini lazima umsamehe na muendelee na maisha ya ndoa

Hakuna njia ya kuhalalisha uzinzi usilete sababu zako ambazo hazina mashiko
 
Straight red card hakuna mambo ya vieira V.A.R 😂
Mkuu mkeo akigongwe kwenye situation ya Wimbo wa B ahat Bukuku- Dunia Haina huruma!! Unaweza ukampa red kad ?
 
Akiliwa kinyume na maumbile
 
Mkeo ameenda safari na boss na wamelala hotel moja ukizingatia mkeo nae anamkubali kwa kuwa na pesa na hb kuliko wewe .....😛
 
Ati wanawake hawakimbii nini? [emoji16] [emoji16]
 
Dah
 
Dj walete na mkasa wa boss ya ferooz
 
Kweli wanaume tumekuwa wachache sana asee Yan unajua umefulia unakubali kabisa mtu akugongee mkeo ili mpate kula asee. Na wewe unakaa mezani kabisa kula pesa Ambayo kaliwa kwanza mkeo na msosi unashuka kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…