Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
Mimi niliibiwa k7 nilinunua mpyaaa baada ya kula mkeka natoka zangu kazini kwenda stand hapo Mohamedy Mwanza ile kunyanyua tu mguu kuingia kwenye gari nakutana na jamaa nae anashuka nilivyompisha tu kujisachi simu sina nikacheka kwanza
Nageuka jamaa simwoni kila ninaemuuliza anasema kapita hapa loooh
Niliumiaga sana hiyo simu niliisaka hadi kituo cha kati na mpaka leo huyo jamaa bado namtafuta
Nikarudi tena kubet ukapita mwezi nikala nikaenda tena kununua kama ile ile kasoro rangi
Natoka zangu job tena saa 3 usiku nikakosa magari kipindi hicho nimehamia Ilemela kwa hiyo nikaamua nitembee mdogo mdogo nafika
Tu maeneo ya Nera jamaa kanikaba kwa nyuma anaingiza mkono achukue simu jamani jamani
Kwanza nilikusanya hasira za ile ya mwanzo nikaunganisha na hii kiukweli wale jamaa hawatanisahau maana niliwafua vya kutosha mpaka nikiwaita njoni mchukue hii hapa wanakimbia
Sent using Jamii Forums mobile app
Nageuka jamaa simwoni kila ninaemuuliza anasema kapita hapa loooh
Niliumiaga sana hiyo simu niliisaka hadi kituo cha kati na mpaka leo huyo jamaa bado namtafuta
Nikarudi tena kubet ukapita mwezi nikala nikaenda tena kununua kama ile ile kasoro rangi
Natoka zangu job tena saa 3 usiku nikakosa magari kipindi hicho nimehamia Ilemela kwa hiyo nikaamua nitembee mdogo mdogo nafika
Tu maeneo ya Nera jamaa kanikaba kwa nyuma anaingiza mkono achukue simu jamani jamani
Kwanza nilikusanya hasira za ile ya mwanzo nikaunganisha na hii kiukweli wale jamaa hawatanisahau maana niliwafua vya kutosha mpaka nikiwaita njoni mchukue hii hapa wanakimbia
Sent using Jamii Forums mobile app