Mazingira gani ambayo ulipoteza / kuibiwa simu, ambayo hutoyasahau?

Mazingira gani ambayo ulipoteza / kuibiwa simu, ambayo hutoyasahau?

nilikua natembea road ghafla meseji ya mtoto mzuri ikaingia ile kuitoa na kuanza kuisoma.ghafla simu ikakwapuliwa na vijana wawili walikua wamepanda boda boda.asee nilibaki naangalia kwa uchungu tu.maana speed waliyotoka nayo hapo sio ya kitoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilikua natembea road ghafla meseji ya mtoto mzuri ikaingia ile kuitoa na kuanza kuisoma.ghafla simu ikakwapuliwa na vijana wawili walikua wamepanda boda boda.asee nilibaki naangalia kwa uchungu tu.maana speed waliyotoka nayo hapo sio ya kitoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa, hata hukuisoma hiyo meseji eeh?, kama nakuona ulivotamani hata wakusubirie umalizie kusoma ndyo wachukue[emoji3][emoji3],kama yao vilee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee miaka ya nyuma kidogo
niliibiwa simu njian panda ya segerea (majumba6)
Nilikua Nasubiri gari sasa wakati Nasubiri gari nilikua nachati na mtu gari likaja lakwenda kariakoo kumbe kuna njemba ilikua pembeni yangu ina nilia timing nikapanda nae akapanda akawa nyuma yangu,

Sasa konda akawa anamwambia sogea nyuma, jamaa hasogei anadai anashuka kituo cha jirani akawa hosegei mara tukafika kituo cha airport jamaa akashuka sasa gari inaondoka ndio nashtuka mtu niliekua na chat nae mbona hanijibu asalale..!

Nikaangalia mifukoni siioni nikaomba jirani yangu abeep ebana simu ikawa haipataikani. Basi ndio ikawa hivo
 
niliibiwa CRDB Tegeta sikuamini, alafu mshkaji aliyeniibia huwezi mtegemea, mpole anaongea kwa heshima anadai ndio mara yake ya kwanza kuingia Bank nimuelekeze kumbe anapita na simu yangu. Nilim respect maana inataka ujasiri kufanya matukio kwenye sehemu yenye walinzi kama bank, na pia ametumia akili kwasababu sio rahisi mtu kuwaza kuwa bank kuna wezi.
 
Niliibiwa
1...Samsung galaxy. Pale tazara yaani walinikwapua,nikabaki nimeduwaa[emoji50],

2,,,,,,Samsung galaxy tena mpyaa,niliendaga kwa aunt buguruni,usiku wote wapo ktk vyumba vyao

Mie nilitoka,nilienda kuoga simu niliiacha kitandani,nipo zangu bafuni/bafu la nje,nilisikia geti linafunguliwa mtu alikuwa anaingia,baada ya dk chache nikasikia tena geti linaludishwa mtu katoka nje,,,,,,,,vile nimemaliza kuoga kuingia room mlango upo wazi kutupia jicho kitandani simu haipo,
aisee nilipigwa na shot nilinyanyua godoro na chaga,juu ya kabati,ndani ya kabati simu haipo,,,aisee nililia balaa

3.......kinyerezi kwa smart/infinix

Natoka zangu home,asubuhi nimeshika simu nilikuwa nachart,mbele yangu kulikuwa na mkaka yupo na bodaboda kasimama,nilivyokaribia kwake akawasha boda akanikwapua simu akasepa nayo,alivyofika mbele akanipungia mkono byeeeee na mie nika nikampungia byeeee,
Yaani nilisimama pale kama dk 5 sikuamini macho yangu[emoji3]
 
Niliibiwa
1...Samsung galaxy. Pale tazara yaani walinikwapua,nikabaki nimeduwaa[emoji50],

2,,,,,,Samsung galaxy tena mpyaa,niliendaga kwa aunt buguruni,usiku wote wapo ktk vyumba vyao

Mie nilitoka,nilienda kuoga simu niliiacha kitandani,nipo zangu bafuni/bafu la nje,nilisikia geti linafunguliwa mtu alikuwa anaingia,baada ya dk chache nikasikia tena geti linaludishwa mtu katoka nje,,,,,,,,vile nimemaliza kuoga kuingia room mlango upo wazi kutupia jicho kitandani simu haipo,
aisee nilipigwa na shot nilinyanyua godoro na chaga,juu ya kabati,ndani ya kabati simu haipo,,,aisee nililia balaa

3.......kinyerezi kwa smart/infinix

Natoka zangu home,asubuhi nimeshika simu nilikuwa nachart,mbele yangu kulikuwa na mkaka yupo na bodaboda kasimama,nilivyokaribia kwake akawasha boda akanikwapua simu akasepa nayo,alivyofika mbele akanipungia mkono byeeeee na mie nika nikampungia byeeee,
Yaani nilisimama pale kama dk 5 sikuamini macho yangu[emoji3]
Byeeeeeeeeee


Wewe ni msukuma?[emoji2]
 
Niliibiwa
1...Samsung galaxy. Pale tazara yaani walinikwapua,nikabaki nimeduwaa[emoji50],

2,,,,,,Samsung galaxy tena mpyaa,niliendaga kwa aunt buguruni,usiku wote wapo ktk vyumba vyao

Mie nilitoka,nilienda kuoga simu niliiacha kitandani,nipo zangu bafuni/bafu la nje,nilisikia geti linafunguliwa mtu alikuwa anaingia,baada ya dk chache nikasikia tena geti linaludishwa mtu katoka nje,,,,,,,,vile nimemaliza kuoga kuingia room mlango upo wazi kutupia jicho kitandani simu haipo,
aisee nilipigwa na shot nilinyanyua godoro na chaga,juu ya kabati,ndani ya kabati simu haipo,,,aisee nililia balaa

3.......kinyerezi kwa smart/infinix

Natoka zangu home,asubuhi nimeshika simu nilikuwa nachart,mbele yangu kulikuwa na mkaka yupo na bodaboda kasimama,nilivyokaribia kwake akawasha boda akanikwapua simu akasepa nayo,alivyofika mbele akanipungia mkono byeeeee na mie nika nikampungia byeeee,
Yaani nilisimama pale kama dk 5 sikuamini macho yangu[emoji3]
Hiyo ya 3 sasa kiboko, mama alikwapuliwa Mahenge stand palee.
Uwiiiiiih afu tulikua wote. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back then 2017 , Christmas natoka kigamboni , nimeshuka uhasibu naelekea Keko kwa wanangu , simu nimeweka mfukoni ghafla mchuchu kapiga simu , dah napokea simu mara boda mmoja na mwana mwingine nyuma wakakwapua simu yangu samsung galaxy .

Pale kwenye ukuta wa shule ya Jitegemee secondary ,nililaani sana , dah nafika kwa wana nawakuta wezi wengi kumbe ni wana wa wanangu basi ikawa no way ni kunirudishia simu yangu huku walishatoa laini.

Basi story zikaendelea na vinywaji mimi na wezi wangu na wana .
Dah damn that keko.[emoji16][emoji16]
 
Mimi niliibiwa simu na mpenz aisee, that day nilikua natoka Dom naenda chuga, sasa nikapanga nipite mahali (lodge) nipumzike kabla sijaenda moshi kesho yake. That time huyo babe alikua yupo jeshini pale monduli so akaja kunipa company. Baada ya kuchoshwa na show we slept almost saa Saba usiku. Nikawa najishauri sana niweke simu charge au niache tuu, akanambia weka simu charge sio vizur kulala na simu kitandan , so nikafanya hivo though nilikua nasita sana kufanya hivo, sasa badae nakuja kushtuka mida Kama ya saa moja hivi nilidhan naota Ila it was real, alikua Amesimama pale simu ilipo halaf Kama anachomoa line na kuitafuna (yan I saw him kabisaa).

sikufatilia nikaendelea kulala, nakuja kushtuka ananiamsha ninywe chai then nianze safar, sasa ile kuamka nikamuuliza moja kwa moja uliondoka na simu yangu?, akajifanya kushtuka na Kama kunigombeza "yan ww mzembe sjui huku kuna vibaka Una a cha simu usiku mzima kwenye charge" hapo mm nimechanganyikiwa, nikawaita wahudum wa pale, wananiambia Dada hapa kwetu s rahisi kibaka kuingia, huyu babe kibaka akajifanya kunipooza na kasimu kadog akiniahid nikitoka moshi nitakuta kaninunulia simu.

from there nikawa sina hamu tena na yule kaka. Akawa akiwa na hamu zake ananidanganya "njoo uchukue simu nimekununulia, ukienda hamna kitu". Iliniumaga Sana, lakini still nikawa bado Niko nae kwa waliosoma story yangu huyu Bebe mwiz alikua yule mjeshi aliyetaka kwa mpalange
 
Back
Top Bottom