Mazingira gani ambayo ulipoteza / kuibiwa simu, ambayo hutoyasahau?

Mazingira gani ambayo ulipoteza / kuibiwa simu, ambayo hutoyasahau?

niliibiwa CRDB Tegeta sikuamini, alafu mshkaji aliyeniibia huwezi mtegemea, mpole anaongea kwa heshima anadai ndio mara yake ya kwanza kuingia Bank nimuelekeze kumbe anapita na simu yangu. Nilim respect maana inataka ujasiri kufanya matukio kwenye sehemu yenye walinzi kama bank, na pia ametumia akili kwasababu sio rahisi mtu kuwaza kuwa bank kuna wezi.
Ila ulimshika au???
 
Mimi niliibiwa simu na mpenz aisee, that day nilikua natoka Dom naenda chuga, sasa nikapanga nipite mahali (lodge) nipumzike kabla sijaenda moshi kesho yake. That time huyo babe alikua yupo jeshini pale monduli so akaja kunipa company. Baada ya kuchoshwa na show we slept almost saa Saba usiku. Nikawa najishauri sana niweke simu charge au niache tuu, akanambia weka simu charge sio vizur kulala na simu kitandan , so nikafanya hivo though nilikua nasita sana kufanya hivo, sasa badae nakuja kushtuka mida Kama ya saa moja hivi nilidhan naota Ila it was real, alikua Amesimama pale simu ilipo halaf Kama anachomoa line na kuitafuna (yan I saw him kabisaa).

sikufatilia nikaendelea kulala, nakuja kushtuka ananiamsha ninywe chai then nianze safar, sasa ile kuamka nikamuuliza moja kwa moja uliondoka na simu yangu?, akajifanya kushtuka na Kama kunigombeza "yan ww mzembe sjui huku kuna vibaka Una a cha simu usiku mzima kwenye charge" hapo mm nimechanganyikiwa, nikawaita wahudum wa pale, wananiambia Dada hapa kwetu s rahisi kibaka kuingia, huyu babe kibaka akajifanya kunipooza na kasimu kadog akiniahid nikitoka moshi nitakuta kaninunulia simu.

from there nikawa sina hamu tena na yule kaka. Akawa akiwa na hamu zake ananidanganya "njoo uchukue simu nimekununulia, ukienda hamna kitu". Iliniumaga Sana, lakini still nikawa bado Niko nae kwa waliosoma story yangu huyu Bebe mwiz alikua yule mjeshi aliyetaka kwa mpalange
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani wew unaona mtu amekuibiaa kabisa alafu ukavungaa kama hujui??? Wanawake bhanaa kwamba alikuwa anakukojoza vizuri sanaa au???
 
Aisee siki hiyo naendaa chuoni kwa ajili ya maandalizi ya Graduation si nikapanda mwendokasii yanii bora hata nisingeenda aisee kugombania gari pale Kimaraa nikaingia nikakaa sasa nikasema nianze kuchat kidogoo aisee Hakuna Mshtukoo unaozidi huu dunianii... mfuko mweupeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Samsung A12 yangu mpya tena nlinunua kwa mwana wa jf hapa hapaa aisee rohoo iliniumaa sanaaa... Mwendokasi ikabidi ipitilize mpaka mwisho wa safari hakuna mtu kushukaa.. walinzi walikagua watu wote lakini wapi nlitokaa kapaaa. WEZI SHENZI SANA
 
Mimi niliibiwa k7 nilinunua mpyaaa baada ya kula mkeka natoka zangu kazini kwenda stand hapo Mohamedy Mwanza ile kunyanyua tu mguu kuingia kwenye gari nakutana na jamaa nae anashuka nilivyompisha tu kujisachi simu sina nikacheka kwanza

Nageuka jamaa simwoni kila ninaemuuliza anasema kapita hapa loooh
Niliumiaga sana hiyo simu niliisaka hadi kituo cha kati na mpaka leo huyo jamaa bado namtafuta

Nikarudi tena kubet ukapita mwezi nikala nikaenda tena kununua kama ile ile kasoro rangi
Natoka zangu job tena saa 3 usiku nikakosa magari kipindi hicho nimehamia Ilemela kwa hiyo nikaamua nitembee mdogo mdogo nafika
Tu maeneo ya Nera jamaa kanikaba kwa nyuma anaingiza mkono achukue simu jamani jamani

Kwanza nilikusanya hasira za ile ya mwanzo nikaunganisha na hii kiukweli wale jamaa hawatanisahau maana niliwafua vya kutosha mpaka nikiwaita njoni mchukue hii hapa wanakimbia

Sent using Jamii Forums mobile app

Kituo cha Kati ni kituo gani? Nimeuliza swali hili kwa sababu hata kituo kikuu cha polisi watu wenye elimu ndogo huita kituo cha kati eti kwa sababu kimeandikwa Central Police Station! Nina wasi wasi watu hao hao wanaweza kuita Central Bank ni benki ya Kati badala ya Benki Kuu! Hata serikali kuu wanaweza kuita Serikal ya Kati kwa sababu inaitwa Central Government!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani wew unaona mtu amekuibiaa kabisa alafu ukavungaa kama hujui??? Wanawake bhanaa kwamba alikuwa anakukojoza vizuri sanaa au???
Mwanzo I thought nilikua Kama naotaaa akili imekuja kurud badae sanaaaa yan ndo kugundua haikua ndoto at all, na nilimshikilia sanaa lakin alikua anasimamia point yake
 
Kituo cha Kati ni kituo gani? Nimeuliza swali hili kwa sababu hata kituo kikuu cha polisi watu wenye elimu ndogo huita kituo cha kati eti kwa sababu kimeandikwa Central Police Station! Nina wasi wasi watu hao hao wanaweza kuita Central Bank ni benki ya Kati badala ya Benki Kuu! Hata serikali kuu wanaweza kuita Serikal ya Kati kwa sababu inaitwa Central Government!
Hata Police wenyewe wajiita kituo cha kati Sasa mi nan?
 
Aisee siki hiyo naendaa chuoni kwa ajili ya maandalizi ya Graduation si nikapanda mwendokasii yanii bora hata nisingeenda aisee kugombania gari pale Kimaraa nikaingia nikakaa sasa nikasema nianze kuchat kidogoo aisee Hakuna Mshtukoo unaozidi huu dunianii... mfuko mweupeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Samsung A12 yangu mpya tena nlinunua kwa mwana wa jf hapa hapaa aisee rohoo iliniumaa sanaaa... Mwendokasi ikabidi ipitilize mpaka mwisho wa safari hakuna mtu kushukaa.. walinzi walikagua watu wote lakini wapi nlitokaa kapaaa. WEZI SHENZI SANA
Pole sana mkuu ukute ndio umemtumia SMS mtoto mzuri afu unasubiri jibu kukuta cm hamnaaa
 
Mimi niliibiwa simu na mpenz aisee, that day nilikua natoka Dom naenda chuga, sasa nikapanga nipite mahali (lodge) nipumzike kabla sijaenda moshi kesho yake. That time huyo babe alikua yupo jeshini pale monduli so akaja kunipa company. Baada ya kuchoshwa na show we slept almost saa Saba usiku. Nikawa najishauri sana niweke simu charge au niache tuu, akanambia weka simu charge sio vizur kulala na simu kitandan , so nikafanya hivo though nilikua nasita sana kufanya hivo, sasa badae nakuja kushtuka mida Kama ya saa moja hivi nilidhan naota Ila it was real, alikua Amesimama pale simu ilipo halaf Kama anachomoa line na kuitafuna (yan I saw him kabisaa).

sikufatilia nikaendelea kulala, nakuja kushtuka ananiamsha ninywe chai then nianze safar, sasa ile kuamka nikamuuliza moja kwa moja uliondoka na simu yangu?, akajifanya kushtuka na Kama kunigombeza "yan ww mzembe sjui huku kuna vibaka Una a cha simu usiku mzima kwenye charge" hapo mm nimechanganyikiwa, nikawaita wahudum wa pale, wananiambia Dada hapa kwetu s rahisi kibaka kuingia, huyu babe kibaka akajifanya kunipooza na kasimu kadog akiniahid nikitoka moshi nitakuta kaninunulia simu.

from there nikawa sina hamu tena na yule kaka. Akawa akiwa na hamu zake ananidanganya "njoo uchukue simu nimekununulia, ukienda hamna kitu". Iliniumaga Sana, lakini still nikawa bado Niko nae kwa waliosoma story yangu huyu Bebe mwiz alikua yule mjeshi aliyetaka kwa mpalange
Duh inafikilisha sana ko Bado uliendelea kumpa tunda kibaka, mapenzi bhana
 
Back then 2017 , Christmas natoka kigamboni , nimeshuka uhasibu naelekea Keko kwa wanangu , simu nimeweka mfukoni ghafla mchuchu kapiga simu , dah napokea simu mara boda mmoja na mwana mwingine nyuma wakakwapua simu yangu samsung galaxy .

Pale kwenye ukuta wa shule ya Jitegemee secondary ,nililaani sana , dah nafika kwa wana nawakuta wezi wengi kumbe ni wana wa wanangu basi ikawa no way ni kunirudishia simu yangu huku walishatoa laini.

Basi story zikaendelea na vinywaji mimi na wezi wangu na wana .
Dah damn that keko.[emoji16][emoji16]
Kama nakuona ullvyyokua umekamatilia cm yako ulipokua nao
 
Niliibiwa
1...Samsung galaxy. Pale tazara yaani walinikwapua,nikabaki nimeduwaa[emoji50],

2,,,,,,Samsung galaxy tena mpyaa,niliendaga kwa aunt buguruni,usiku wote wapo ktk vyumba vyao

Mie nilitoka,nilienda kuoga simu niliiacha kitandani,nipo zangu bafuni/bafu la nje,nilisikia geti linafunguliwa mtu alikuwa anaingia,baada ya dk chache nikasikia tena geti linaludishwa mtu katoka nje,,,,,,,,vile nimemaliza kuoga kuingia room mlango upo wazi kutupia jicho kitandani simu haipo,
aisee nilipigwa na shot nilinyanyua godoro na chaga,juu ya kabati,ndani ya kabati simu haipo,,,aisee nililia balaa

3.......kinyerezi kwa smart/infinix

Natoka zangu home,asubuhi nimeshika simu nilikuwa nachart,mbele yangu kulikuwa na mkaka yupo na bodaboda kasimama,nilivyokaribia kwake akawasha boda akanikwapua simu akasepa nayo,alivyofika mbele akanipungia mkono byeeeee na mie nika nikampungia byeeee,
Yaani nilisimama pale kama dk 5 sikuamini macho yangu[emoji3]
Duh hii kali
 
Sitasahau nilikabwa na wahuni wa Tandika tena saa nane mchana, halafu Ilikuwa stand wanaume 5 mwanamke peke yangu [emoji4].

Nilijitahid sana kupambana lakini haikuwa bahati yangu walifanikiwa kuchukua simu ila cover nilibaki nalo na pochi nilibaki nayo......sitakuja kusahau. Watu wamezunguka wanashangaa kama wanaangalia movie vile baada ya kutoa msaada.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Wanaume wa Dar ni waoga mno ndio maana hawakukusaidia
 
Aisee miaka ya nyuma kidogo
niliibiwa simu njian panda ya segerea (majumba6)
Nilikua Nasubiri gari sasa wakati Nasubiri gari nilikua nachati na mtu gari likaja lakwenda kariakoo kumbe kuna njemba ilikua pembeni yangu ina nilia timing nikapanda nae akapanda akawa nyuma yangu,

Sasa konda akawa anamwambia sogea nyuma, jamaa hasogei anadai anashuka kituo cha jirani akawa hosegei mara tukafika kituo cha airport jamaa akashuka sasa gari inaondoka ndio nashtuka mtu niliekua na chat nae mbona hanijibu asalale..!

Nikaangalia mifukoni siioni nikaomba jirani yangu abeep ebana simu ikawa haipataikani. Basi ndio ikawa hivo
Maakonda wanajuanaga na hao, kwanza hawalipagi nauli
 
Aisee miaka ya nyuma kidogo
niliibiwa simu njian panda ya segerea (majumba6)
Nilikua Nasubiri gari sasa wakati Nasubiri gari nilikua nachati na mtu gari likaja lakwenda kariakoo kumbe kuna njemba ilikua pembeni yangu ina nilia timing nikapanda nae akapanda akawa nyuma yangu,

Sasa konda akawa anamwambia sogea nyuma, jamaa hasogei anadai anashuka kituo cha jirani akawa hosegei mara tukafika kituo cha airport jamaa akashuka sasa gari inaondoka ndio nashtuka mtu niliekua na chat nae mbona hanijibu asalale..!

Nikaangalia mifukoni siioni nikaomba jirani yangu abeep ebana simu ikawa haipataikani. Basi ndio ikawa hivo

Nilikua msibani ……. basi bhana asa m nikajua kule msibani watu hawaibi ilikua tunalala kulekule

so kule kwa nje kibarazani kulikua na sehemu ya kuchajia nikchukua Infinix yangu sina hili wala lile nikachomeka chaji (simu nimechaji nje hapo) nikarudi ndani kulala [emoji3064][emoji3064]

Kesho asubui nakuta chaji tu [emoji31][emoji31][emoji31] watu wabaya hadi msibani wanaiba its shame
 
Nilikua msibani ……. basi bhana asa m nikajua kule msibani watu hawaibi ilikua tunalala kulekule

so kule kwa nje kibarazani kulikua na sehemu ya kuchajia nikchukua Infinix yangu sina hili wala lile nikachomeka chaji (simu nimechaji nje hapo) nikatudi ndani kulala [emoji3064][emoji3064]

Kesho asubui nakuta chaji tu [emoji31][emoji31][emoji31] watu wabaya hadi msibani wanaiba its shame
Polee sana!
 
Back
Top Bottom