Mazingira gani ambayo ulipoteza / kuibiwa simu, ambayo hutoyasahau?

Mazingira gani ambayo ulipoteza / kuibiwa simu, ambayo hutoyasahau?

Ukatamani hata ungepiga shato pori tu [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Afu wezi walinionea sana chuo, baada ya kuibiwa simu ,in few weeks kuna weekend moja jmosi nimefua nguo karibia zote kabatini, nimezianika hali ya hewa kama kimvua mvua,so hazikukauka nikaziacha nikatoka zangu, jpili nimerudi nikapitiliza nilipokua nimezianika ili nizianue, nakuta kamba nyeupee,nikahisi roommates wamenianulia labda, nawauliza wanasema hawajaziona duh, ni kama nilianza upya kununua nguo, waliiba zote hadi raba zangu pendwa walipita nazo aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afu wezi walinionea sana chuo, baada ya kuibiwa simu ,in few weeks kuna weekend moja jmosi nimefua nguo karibia zote kabatini, nimezianika hali ya hewa kama kimvua mvua,so hazikukauka nikaziacha nikatoka zangu, jpili nimerudi nikapitiliza nilipokua nimezianika ili nizianue, nakuta kamba nyeupee,nikahisi roommates wamenianulia labda, nawauliza wanasema hawajaziona duh, ni kama nilianza upya kununua nguo, waliiba zote hadi raba zangu pendwa walipita nazo aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kheeee! walichukua hadi kofuli ! Wezi wabaya sana
 
Sijawahi kuibiwa ila jamaa yangu, tupo ofisini then staff mwenzetu halafu mdada bonge la sistaduu akapita nayo mezani!

Alikomaa mpaka mwisho licha ya camera kumuonyesha akipeleka mkono eneo lilipokuwa na simu na kuichomeka kwenye nguo!

Alijua kamera ilipo akajiposition isionyeshe exactly anachokifanya!

Jamaa yangu ilimuuma mno! Hakulala siku kadhaa mawazo coz hakuwa anaamini aliyefanya hilo tukio!
Dooh noma hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wajinga walikata nyavu wakabeba mchina wangu.. Kipindi hicho ndo kwanza ipo kwenye chatt ilikuwa 2010..dah yani chakula kilikuwa hakipiti kesho yake.

Alafu simu yenyewe nilinunua kwa hela ya boom, toka hapo sijawahi ibiwa tena wala kupoteza!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wajinga mkuu wangekua wajinga wangeshindwa hao ni wajsnja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishaibiwa mara 2 chuo ,

1) 2nd year hiyo tulikua room hostel floor ya 4 tena, niliweka alarm niwahi kuamka afu simu nikaiacha charge, naona alarm haiiti hadi nimeamka mwenyewe dah, kucheki nilipokua nimeweka charge naona charger inabembea tu simu haipo kuulizia members nao wanashangaa tu, nilishangaa mlango haujafunguliwa so inaonesha huyo mwizi alipitia dirishani floor ya 4 aisee.

2) 3rd year hiyo nawahi lecture ya asubuhi, tumegombania shuttle wee, tumeingia hao hadi chuo, nimefika sasa niangalie simu kwa pochi haipo yaani ,kupiga ikaita ila haijapokelewa mara ya 3 ikazimwa kabisa na haikupatikana tena. Walinirudisha nyuma sana boom langu niliplan kusave,ikabidi ninunue simu nyingine fyuu zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wadada wakali tena wa chuo kimbe nao wezi[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitasahau nilikabwa na wahuni wa Tandika tena saa nane mchana, halafu Ilikuwa stand wanaume 5 mwanamke peke yangu [emoji4].

Nilijitahid sana kupambana lakini haikuwa bahati yangu walifanikiwa kuchukua simu ila cover nilibaki nalo na pochi nilibaki nayo......sitakuja kusahau. Watu wamezunguka wanashangaa kama wanaangalia movie vile baada ya kutoa msaada.


Sent from my iPhone using JamiiForums
We kuna sehemu ulikosea kama sio mavazi basi ulileta majivuno flani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliingia usiku wakapita na simu mbili, maoja yangu moja ya mshkaji, na laptop moja. Mshkaji ambaye naye simu yake iliibiwa alishikws na tumbo la kuhara kwa mshtuko. Nilicheka sana aisee japo na mimi niliibiwa. Kuanzia siku hiyo hadi leo bado sijanunua smartphone.
Hao wangekuta na kiporo cha wali wangekula pale pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara ya kwanza niliibiwa kiinfinix changu saa 11 asubuhi mwizi alipita dirishani na nilimsikia na kumuona ila sikuweza kupiga kelele[emoji23]

Mara ya pili nikaibiwa huawei hii nilinunua baada ya infinix yule mwizi sijui aliibaje hadi leo sielewi ila ninachokumbuka nilifika room tu bila simu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afu wezi walinionea sana chuo, baada ya kuibiwa simu ,in few weeks kuna weekend moja jmosi nimefua nguo karibia zote kabatini, nimezianika hali ya hewa kama kimvua mvua,so hazikukauka nikaziacha nikatoka zangu, jpili nimerudi nikapitiliza nilipokua nimezianika ili nizianue, nakuta kamba nyeupee,nikahisi roommates wamenianulia labda, nawauliza wanasema hawajaziona duh, ni kama nilianza upya kununua nguo, waliiba zote hadi raba zangu pendwa walipita nazo aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole Sana kwahiyo waliiba kila kitu mpaka nguo zako za ndani? [emoji849]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom