Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Siku moja kuna msichana aliniambia tukafanye kwao mambo ya kibabababa muda wa night coz hakuwa na muda wa kutoka... tukabanjuka weeeeee... ilipofika mida ya saa nane mdingi wake si akagonga mlango... eti aliekuwepo ndani ni nani... kwa usalama wako fungua nimtoe mwenyewe... moyoni nikajiapia kuwa subiri aingie tu namfumua ngumi moja tu... akizima natambaaa... kesi siku nyingine... si akaingia... nikafanya vile nilivyohapia... nikatambaa... baada ya siku kama kumi nikiwa U.S.A huku kuna rafikiangu akaniambi yule mzee amefariki... mpaka leo naogopa kurudi tz
 
Kwa hiyo uliua kwa sababu ya nyapu
 
Hiyo kesi inakuhusu ndugu kama wataamua ukirud unakamatwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…