Alfred Paulo Kijangwa
Member
- Nov 3, 2017
- 68
- 67
Kwa hiyo uliua kwa sababu ya nyapuSiku moja kuna msichana aliniambia tukafanye kwao mambo ya kibabababa muda wa night coz hakuwa na muda wa kutoka... tukabanjuka weeeeee... ilipofika mida ya saa nane mdingi wake si akagonga mlango... eti aliekuwepo ndani ni nani... kwa usalama wako fungua nimtoe mwenyewe... moyoni nikajiapia kuwa subiri aingie tu namfumua ngumi moja tu... akizima natambaaa... kesi siku nyingine... si akaingia... nikafanya vile nilivyohapia... nikatambaa... baada ya siku kama kumi nikiwa U.S.A huku kuna rafikiangu akaniambi yule mzee amefariki... mpaka leo naogopa kurudi tz
Hiyo kesi inakuhusu ndugu kama wataamua ukirud unakamatwaSiku moja kuna msichana aliniambia tukafanye kwao mambo ya kibabababa muda wa night coz hakuwa na muda wa kutoka... tukabanjuka weeeeee... ilipofika mida ya saa nane mdingi wake si akagonga mlango... eti aliekuwepo ndani ni nani... kwa usalama wako fungua nimtoe mwenyewe... moyoni nikajiapia kuwa subiri aingie tu namfumua ngumi moja tu... akizima natambaaa... kesi siku nyingine... si akaingia... nikafanya vile nilivyohapia... nikatambaa... baada ya siku kama kumi nikiwa U.S.A huku kuna rafikiangu akaniambi yule mzee amefariki... mpaka leo naogopa kurudi tz
Sirudi au nitasubiri wasahau.... SDGHiyo kesi inakuhusu ndugu kama wataamua ukirud unakamatwa
Ile kitu noma kaka @kelvinmarcusKwa hiyo uliua kwa sababu ya nyapu
Uko tayari kumzima mtu kwa ajili ya nyapu mkuuIle kitu noma kaka @kelvinmarcus
Simba mwenyewe mkali ila analegeza macho.
Hayo ni matokeo ambayo hauwezi yajua mbeleni... but ndio hivyo imetokea... @kelvinmarcusUko tayari kumzima mtu kwa ajili ya nyapu mkuu
Lazima kujiridhisha,ila wewe kaa kama miaka mitano hiviMwaka na nusu sasa.... mara walienda mara hawajaenda...hanauhakika.
Ile kitu noma kaka @kelvinmarcus
Simba mwenyewe mkali ila analegeza macho.
Mkuu inaonyesha wewe ni muumini wa nyapu sanaaHayo ni matokeo ambayo hauwezi yajua mbeleni... but ndio hivyo imetokea... @kelvinmarcus
Wapo watoto wanaowaambia wazaziwao ...eti nawe unataka nyapu nini... maana unanifuatilia sana... hiyo inaonyesha nyapu noma sana... na ina nguvu.
Sijui kama inatosha maana... Mmmmmh! SDGLazima kujiridhisha,ila wewe kaa kama miaka mitano hivi
Hapa kaka @kelvinmarcusMkuu inaonyesha wewe ni muumini wa nyapu sanaa
Heee hadi WANASAHAU IDADI?Hapa kaka @kelvinmarcus
Ata wewe kama mimi ni muumini wa hiyo kitu... tokea balehe.. umegusa nyapu mara ngapi? Mara nyingi tu... tena unaweza husikumbuke.
Moja tyu na huyo ndiye niliyemuoaHapa kaka @kelvinmarcus
Ata wewe kama mimi ni muumini wa hiyo kitu... tokea balehe.. umegusa nyapu mara ngapi? Mara nyingi tu... tena unaweza husikumbuke.
SometimesHeee hadi WANASAHAU IDADI?
Basi muombe Mungu wako sana... sikuombei mabaya but swala la mapenzi.... Mmmmmh! Kizunguzungu.Moja tyu na huyo ndiye niliyemuoa