Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

noma sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee! Wewe ni kubwa la wazinzi.
 
Msinikumbushe Tafadhari🙁 maana niliyowahi kufanya hadi nyumba ibada ni hatari sana😉 Mungu anisamehe tu, haya mambo ya Ubatizo na kipaimara ni shida sana...
Unafuata mafundisho ya ubatizo halafu unawatafuna wanafunzi wenzio,tena kanisani? Nimekuteua rasmi kuwa mhakiki wa ubora wa bidhaa zinazouzwa katika madanguro yote, na masoko makuu yakiwemo ya Uwanja wa fisi, Chako ni chako na Kitunguu
 
barclys
 
dah mimi nikikumbuka nilipiga beki tatu wetu kwenye korido nachoka kabisa, na mwingine nilipiga kwenye frem ambayo haina biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…