Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Nakumbuk shule za msing zilikuwa zimefungwa nikaenda na manz yang mmoja kwenye shule x ambayo ndo nilipo soma miaka hiyo na shule hiyo ilikuwa na nyumba ya mwalimu mkuu na alikuwa anakaa pale alikuwa akinifahamu sana mpaka wazaz wangu aliwafaham

Sasa iyo day nikampeleka chalii kwenye darasa nikampiga mashine ghafla mwalim mkuu huyu hapa dudu likasinyaa ndani ya k nikakosa poz ilikuwa jion nikamwambia goodmonn sir akaangua kicheko akaondoka
noma sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nshafanya sehemu hatarishi mara kadhaa, lakini hii hadi nikiikumbuka sijui najionaje,
Nilikua na mahusiano na mdada mmoja hivi mme wake ni mtu mzima kiasi ambae ni boss wangu, sasa walikua jubilee ya miaka kumi ya ndoa yao tukaenda kijijini kwao kusheherekea, siku mbili baada ya sherehe mchana na mme wake yupo nje na watu wengine, mdada kanipigia simu njoo nyumba kubwa nikaenda akaniambia ana hamu ya kugegedwa nikamwambia tuende wapi sasa akasema hapahapa, nilishtuka kidogo kwa mazingira yaliyokuwepo akaanza kushushq pichu nikasema ngoja nimhudumie fasta, dk tano tayari kishapiz na bado akataka apate cha pili, anakuja kupata cha pili tumetumia zaid ya dk 15 akaridhika, lakini wakati wote huo mi akili yangu ilikua kwenye milango ya nyumba kusikiliza kama kuna mtu anakuja, ila nyumba ilikua kubwa sana na ina milango kama minne hivi hadi ufike tulipokua.
Baada ya kutoka pale nilijiona mjinga sana kukubali tufanye kule ndani hata mzee niliona sana aibu kumwangalia.
Aisee! Wewe ni kubwa la wazinzi.
 
Msinikumbushe Tafadhari🙁 maana niliyowahi kufanya hadi nyumba ibada ni hatari sana😉 Mungu anisamehe tu, haya mambo ya Ubatizo na kipaimara ni shida sana...
Unafuata mafundisho ya ubatizo halafu unawatafuna wanafunzi wenzio,tena kanisani? Nimekuteua rasmi kuwa mhakiki wa ubora wa bidhaa zinazouzwa katika madanguro yote, na masoko makuu yakiwemo ya Uwanja wa fisi, Chako ni chako na Kitunguu
 
Mimi imeshatokea mara 2

Ya kwanza ilikuwa hivi
Kuna bank moja kubwa ya nje inadhamini ligi moja kubwa ulaya.kazi yangu ya kwanza nilifanyia hapa.wana kituo cha mauzo kiko arusha stand kuu.

I remembered that day kuna dem namto*** nikamuona anapita mwenyewe kwa nje,nikwamwita ile kuingia tu nikamwinamisha kimoja cha fasta.

Mara ya pili ni niliko sasa

Ilikuwa jmos moja colleagues wamewahi kutoka nikabaki mwenyewe . mara demu wangu ananitext napita near ofc yenu.ckuchelewa nikamwambia aje nikamwinamisha chaap kimoja.

Dah nyedezi hazina kinga

Sent using Jamii Forums mobile app
barclys
 
dah mimi nikikumbuka nilipiga beki tatu wetu kwenye korido nachoka kabisa, na mwingine nilipiga kwenye frem ambayo haina biashara
 
Back
Top Bottom