Chizi Jambazi
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,769
- 1,379
Kyai kya rangi hikiDahhh niliingia hostel za girls chuo flani japokilikua na ulinzi mkali lakini sikudakwa nilipiga shoo madem wanne mpaka nkahisi wananinyofoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mbele kule kuna reli ya kufanyia shanting inapoishia.
Wale askari njaa walikuacha?coco bichi
Mkuu sio kweli hiyo. Unajua marathoni ni km42.5 na anayeshikilia rekodi ya dunia amekimbia kwa.1.59.40. Sasa mkuu wewe ulitembeaje km 60 kwa masaa 2????Kyela mjini-Ngonga kijijini kwetu ni km 60 na huwa tunatembea masaa mawili tu!
Mdogo wangu Kiswigo yy hutumia saa moja na nusu
Sent from my iPhone using JamiiForums
HahahahahahaMkuu sio kweli hiyo. Unajua marathoni ni km42.5 na anayeshikilia rekodi ya dunia amekimbia kwa.1.59.40. Sasa mkuu wewe ulitembeaje km 60 kwa masaa 2????
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu uko sahihi huko kijijini kuna wakurungwa wanatembea hatari hata hapo dar kuna watu nimewai kuongea wao kutembea kutoka kimara hadi kariakoo wamefanya sana au mbagala kawe
Na ww unakubali kabisa 50 km 2hours?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kutembea Kimara-k/koo nayo Ni ajabu??????????mkuu uko sahihi huko kijijini kuna wakurungwa wanatembea hatari hata hapo dar kuna watu nimewai kuongea wao kutembea kutoka kimara hadi kariakoo wamefanya sana au mbagala kawe
Acha kuchekesha watu aseeKyela mjini-Ngonga kijijini kwetu ni km 60 na huwa tunatembea masaa mawili tu!
Mdogo wangu Kiswigo yy hutumia saa moja na nusu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaahahaa acha utani bwa'mdogoInaonekana hapa nabishana na watoto waliozaliwa Kinondoni, kila kitu wamemalizia hapo hapo Kinondoni na kazi ukapata wilaya hiyo hiyo ya Kinondoni! Huelewi!
Unachofanya kugugu na kuleta facts za gulugulu ambazo nyingi hazirelate na uhalisia wa huku kwetu!
Huo ni wastani wa mwanadamu kutembea mwendo wa kawaida na inawezekana walichukua kipimo cha mtoto wa mama wa pale New York, wenzio huku bongo hatua moja anakukatia mita moja na nusu na speed anayopiga mtoto wa mama unaishia kumfuata kwa kukimbia! Hilo hujaona? Endelea kugugu hesabu zako [emoji23][emoji23][emoji23]
Vitu vingine usipende kuhadithiwa! Fanya kitu kinaitwa roadtrip! Nenda rural huko mbali kabisa na wenzako mnakaa siku tatu week mnajifunza mambo mbalimbali na mtajikuta mnarudi mmebwaga moyo na kujifunza yale yasiyowezekana kumbe yanawezekana!
Sasa niwape story halisi: Nilifika kijiji kinaitwa Mikumbi kata ya Chilangala (we si unajua kutumia gugu, angalia km zake hadi Ndanda mi nilipima kwa gari two times) nilitaka nichukue boda shs 20,000 ili nikalale Ndanda kwenye lodge ili niamke na basi la saa kumi na mbili to DSM, wenyeji wakaniambia utaondoka na wafanyabiashara saa tisa alfajiri na utawahi basi unalotaka fresh tuu, nikasema bora hii 20,000 ya boda na 30,000 ya lodge imepona (kumbuka nilikuwa na gari ila pale kileji hapakuwa driver wa kunipeleka na kulirudisha na sikuwa na sehemu salama pakuliweka hapo Ndanda kwa week mbili). Mbona nilijuta!
Kwanza, mwanamke kabeba tenga la maana la mihogo, wakaniambia wewe na hili begi lako utatutechelewesha weka juu tenga temebea mbele!
Maanina! kumi na mbili kasoro 20 nipo stand Ndanda, nililala kwenye basi kama naumwa na nafika jijini naumwa kweli kweli!
Watu wanapiga hatua na mzigo wa kubeba hilux kichwani!
Inaonekana hapa nabishana na watoto waliozaliwa Kinondoni, kila kitu wamemalizia hapo hapo Kinondoni na kazi ukapata wilaya hiyo hiyo ya Kinondoni! Huelewi!
Unachofanya kugugu na kuleta facts za gulugulu ambazo nyingi hazirelate na uhalisia wa huku kwetu!
Huo ni wastani wa mwanadamu kutembea mwendo wa kawaida na inawezekana walichukua kipimo cha mtoto wa mama wa pale New York, wenzio huku bongo hatua moja anakukatia mita moja na nusu na speed anayopiga mtoto wa mama unaishia kumfuata kwa kukimbia! Hilo hujaona? Endelea kugugu hesabu zako [emoji23][emoji23][emoji23]
Vitu vingine usipende kuhadithiwa! Fanya kitu kinaitwa roadtrip! Nenda rural huko mbali kabisa na wenzako mnakaa siku tatu week mnajifunza mambo mbalimbali na mtajikuta mnarudi mmebwaga moyo na kujifunza yale yasiyowezekana kumbe yanawezekana!
Sasa niwape story halisi: Nilifika kijiji kinaitwa Mikumbi kata ya Chilangala (we si unajua kutumia gugu, angalia km zake hadi Ndanda mi nilipima kwa gari two times) nilitaka nichukue boda shs 20,000 ili nikalale Ndanda kwenye lodge ili niamke na basi la saa kumi na mbili to DSM, wenyeji wakaniambia utaondoka na wafanyabiashara saa tisa alfajiri na utawahi basi unalotaka fresh tuu, nikasema bora hii 20,000 ya boda na 30,000 ya lodge imepona (kumbuka nilikuwa na gari ila pale kileji hapakuwa driver wa kunipeleka na kulirudisha na sikuwa na sehemu salama pakuliweka hapo Ndanda kwa week mbili). Mbona nilijuta!
Kwanza, mwanamke kabeba tenga la maana la mihogo, wakaniambia wewe na hili begi lako utatutechelewesha weka juu tenga temebea mbele!
Maanina! kumi na mbili kasoro 20 nipo stand Ndanda, nililala kwenye basi kama naumwa na nafika jijini naumwa kweli kweli!
Watu wanapiga hatua na mzigo wa kubeba hilux kichwani!
Mkuu huko mbwinde watu wanatembea unakumbuka kuna jamaa wa Yanga walikuja kwa baiskeli toka mtwara kwa normal mtu wa dar huwezi kuamini ila wakulungwa walitoboa go and returnmaelezo yanaweza kuwa mengi lkn hoja hamna. kutembea km 52 kwenda na kurudi km 104 haiwezekan kwa siku 1 kwa mwanadamu wa kawaida cheni uongo au hata km hamjui ipoje
Nadhani kwa sisi watu wa tarime tungekuwa tunatembea kwenda hapo mwanza tu kunywa chai na kunua visu vya mjini kisha tunarudi home. Kuna mwingine hapo anasema mtu anatembea km 60 kwa masaa mawili. Km 60 kama ni gari inatumia 5-6lita. Safari ya lita 6 kwenye gari ni zaidi ya saa moja.maelezo yanaweza kuwa mengi lkn hoja hamna. kutembea km 52 kwenda na kurudi km 104 haiwezekan kwa siku 1 kwa mwanadamu wa kawaida cheni uongo au hata km hamjui ipoje