Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Ushaharibu na haji, i bet both team to score "NO", ODD 3.12 na stake yangu naweka 500,000.

Usipopiga mechi au ukapiga mechi mbovu, ni tiketi ya timu pinzani kutotokea kabisa uwanjani next match.
 
Kipindi cha kwanza dakika za mwanzo kabisa umepoteza mechi. Omba tu Mungu ufanikiwe kumshawishi. Mara nyingi ukipoteza siku ya kwanza huwa ni ngumu sana kusahaulika, hauna tofauti na aliyemtoa usichana. Utakumbukwa kwa show mbovu
Nilimwelezea kuwa pale siko confortable kabisaaa na alielewa uzuri ile ilikuwa emergency tu maana mechi tulishapanga jpili hii tangu last week so jpili mechi rasmi iko palepale
 
Ushaharibu na haji, i bet both team to score "NO", ODD 3.12 na stake yangu naweka 500,000.

Usipopiga mechi au ukapiga mechi mbovu, ni tiketi ya timu pinzani kutotokea kabisa uwanjani next match.
Hahahaaaaaaaa mkuu hii mechi nina hakika itafanyika tena kwa ushindi mnono subir update. Kilichotokea ni kawaida sanaaa maana kibaiolojia ni ngumu kwa mwanaume kupiga show katkati ya stress hili liko waz
 
Nilimwelezea kuwa pale siko confortable kabisaaa na alielewa uzuri ile ilikuwa emergency tu maana mechi tulishapanga jpili hii tangu last week so jpili mechi rasmi iko palepale
Hupati tena weweee, aahh.
Halafu sio COnFORTABLE bali ni COMFORTABLE. Au bado upo kwenye pagala?

Sikia wenzio tunavyojibless, ilikuwa kwenye part ya harusi, bonge ya toto nimeielewa, ikatoka ukumbini kwenda kupokea simu, nikaifuata huko nje, ilipomaliza nikaizubaisha kwa verse za kijaluo, akaonyesha kuelewa akatoa namba akataka arudi ukumbini, nikamwambia tusimame nyuma ya gari yangu(range rover) wala halikuwa langu. Akakubali, kufika romance, kumshusha chupi katulia, nikajibless na dume condom, moja la dk 15 safi kabisa. Demu akalazimisha nimpe namba yangu, baada ya sherehe akanitext tukalale wote, nikamwambia atangulie lodge maana nina family members wa kupeleka nyumbani na gari. Baadae nilikwenda lodge tukamalizia gemu.
 
Nzuri hii
 
Ulevi noooma
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1]wew Jamaa inawezekan hata ungekaa karibu na moto ungeulalia tuu
 
Mmmh hii chai ya rangi. Kwamba mtu anasahau kwamba havua nguo sababu ya uchovu, alafu nyie wachafu, mmezunguka mchana wote na mijasho yenu yote na wanawake jasho lao baya na ukafanya hivyo hivyo, haki unamoyo.
 
Mmmh hii chai ya rangi. Kwamba mtu anasahau kwamba havua nguo sababu ya uchovu, alafu nyie wachafu, mmezunguka mchana wote na mijasho yenu yote na wanawake jasho lao baya na ukafanya hivyo hivyo, haki unamoyo.
Na akanyonywa koni.
 
Mmmh hii chai ya rangi. Kwamba mtu anasahau kwamba havua nguo sababu ya uchovu, alafu nyie wachafu, mmezunguka mchana wote na mijasho yenu yote na wanawake jasho lao baya na ukafanya hivyo hivyo, haki unamoyo.
Hv wale wanaolala na vichaa huwa wanawaogesha kwanza? Hebu acheni kuleta ujuaji kwenye matukio ya wenzanu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…