Ushaharibu na haji, i bet both team to score "NO", ODD 3.12 na stake yangu naweka 500,000.Hii imetokea juzi kati nwanzoni mwa wiki hii.......
Kuna dada mmoja ana asili ya kupemba nilifahamiana nae mwaka jana kipindi cha korona nikapiga sound akaingia kingi ila kabla sijala tunda tukazinguana nkampiga chini na namba nkafuta ikapita miez kibao tukaja onana kibahatibahati tu tukarudisha ukaribu sasa tulipanga next sunday ndo utakuwa siku ya mechi sasa juzi kati kanambia wakat natoka mzigoni nipitie kwao nimpe hi ndo niende kwangu maana kwao ni vituo mama viwili kabla ya kufika kwangu. Nkaenda mpaka kwao nkakaa nje kwenye nyumba moja ambayo haijakamilika ambayo ni yao pia (tumezoea kukaa hapo nikija kwao) dada kuja nashangaa anafungua hiyo nyumba ambayo bado inajengwa iko hatua za finishing japo madirisha bado nkamuuliza viti akasema njoo ukae huku mimi si ndo mwenyeji wako. Tukazama ndan japo kulikuwa na kigizagiza ila mwanga wa nje unapenya tukakaa chini kwenye kona flani sory zikaendelea zikaanza touches mara mate nkaona anakolea kichwan nkajiongeza huyu anashida ya mkuyenge sanaaa ila moyoni sina amani uoga umenijaa maana ni mazingira ya kwao kabisaa na ndani wazazi na ndugu zake wamo na lile jumba liko wazi tu japo lina grill mlango wa mbele na madirisha lakin kuonekana ni rahis mnooo aisee kwa uoga nlokuwa nao hii mechinilikuwa mbovu sanaaaa maana mkuyenge haukusimama vizur kwa hofu ila nkafosi tu nkapiga kimoja huku mapigo ya moyo yakiwa kasi mnooo. Sijawahi tangu nizaliwe kupiga game mazingira ya namna hii aiseee ila tushapanga jumapili ndo game maalum kwenye kiwanja maalumu cha kukodi.. ntawapa mrejesho
Usipopiga mechi au ukapiga mechi mbovu, ni tiketi ya timu pinzani kutotokea kabisa uwanjani next match.