Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Baharini usiku. Tena ni fukwe ambazo usiku panakuwa kimya, hamna mutu ni nyie tu wawili . I have done it several times.
Nyingine ni mtoni usiku saa 4, nilimsindikiza demu kwao nikampiga kamba karibu na kwao kando ya mto. Pale mahali sijawahi kufika mchana na niligusa usiku huo tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari zenu wana jukwaa? Ni sehemu gani hatarishi uliwahi kufanya ngono? Mimi ni hospital, nilimgegeda nurse ninayefahamiana nae.
Kwenye lift nikiwa Antwerp, Belgium ilikuwa usiku wa manane kama saa 8 halafu akatukuta mdada wala hatukumjali na kwakuwa wazungu hawana mambo ya kufuatilia mambo yasiyo wahusu tukaendelea na raha zetu
 
Inawezekana uliweka gundu.
 
Ushaharibu na haji, i bet both team to score "NO", ODD 3.12 na stake yangu naweka 500,000.

Usipopiga mechi au ukapiga mechi mbovu, ni tiketi ya timu pinzani kutotokea kabisa uwanjani next match.
Kuna ukweli hapa,mara nyingi huwa inanitokea.
 
bado unawasiliana nae?
 
Ulikuwa unainamishwa!!!!.
 
Kweli Wewe ni Opportunity cost.
 
Kizazi cha nyoka.
 
Aaah kudaadeki walahi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nakumbuka ilikuwa Tanga nilienda kwenye mishe zangu usiku nikatoka nikaenda club nikatoka nje nikakutana na changu mmoja mzuri balaa tukaelewana bei akanipeleka kwenye uwanja flan hiv wa public yani pembeni magari yanapita Mimi nachakata mbususu nilishindwa kumaliza nikamuachia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…