Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Baharini usiku. Tena ni fukwe ambazo usiku panakuwa kimya, hamna mutu ni nyie tu wawili . I have done it several times.
Nyingine ni mtoni usiku saa 4, nilimsindikiza demu kwao nikampiga kamba karibu na kwao kando ya mto. Pale mahali sijawahi kufika mchana na niligusa usiku huo tu.
 
Nakumbuka nikiwa chuo 2000`s nilikua nna demu flani na tulipendana sana. Tulikua course tofauti na tulitokea mikoa tofauti vile vile. Siku za kufunga chuo, mara nyingi nilikua natangulia mimi kurudi home, naondoka na basi la saa 12 asubuhi, yeye alikua anafatia na basi la saa 5 au nane kurudi kwako kwani mkoa aliotokea ulikua jirani na mkoa tunaosoma...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habari zenu wana jukwaa? Ni sehemu gani hatarishi uliwahi kufanya ngono? Mimi ni hospital, nilimgegeda nurse ninayefahamiana nae.
Kwenye lift nikiwa Antwerp, Belgium ilikuwa usiku wa manane kama saa 8 halafu akatukuta mdada wala hatukumjali na kwakuwa wazungu hawana mambo ya kufuatilia mambo yasiyo wahusu tukaendelea na raha zetu
 
Nakumbuka nikiwa chuo 2000`s nilikua nna demu flani na tulipendana sana. Tulikua course tofauti na tulitokea mikoa tofauti vile vile. Siku za kufunga chuo, mara nyingi nilikua natangulia mimi kurudi home, naondoka na basi la saa 12 asubuhi, yeye alikua anafatia na basi la saa 5 au nane kurudi kwako kwani mkoa aliotokea ulikua jirani na mkoa tunaosoma.
Sasa bana, nakumbuka siku hiyo chuo kimefunga tukafungasha vilivyo vyetu then tukajibeba mpaka mjini stendi ya mabasi kukata ticket kesho yake kama kawaida tusafiri. Mimi alfajiri mwenzangu mchana.
Sasa siku hiyo baada ya kukata ticket tulizurura san town mpaka mida ya saa nne usiku. Na bahati mbaya lodge karibu zote zilikua zimejaa.
Hivyo tu kapata wazo la kwenda kulala kwenye basi ninalosafiri nalo kesho yake.
Basi tukaruhusi kwani ilikua ni taratibu zao kuwaruhusu abiria wo kulala ndani ya basi.
Lakini siku hiyo mimi na mchuchu tulikua wa kwanza kabisa kuingia. Tulikaa mule kwa muda mrefu huku tunapiga story nyuma kabisa ya basi, back bench. Manzi akaanza kunishika shika kama anataka mzigo.
Kwakweli nashukuru sana kipindi kile hata upaparazi haukua mkubwa sana kama sasa. Otherwise ningetrend sana.
Sasa kile kitendo cha manzi kikaniam sha hisia kali. Nikaifungua zipu nikatoa mashine akaanza kuinyonya. Mi hapo nimelala kifudifudi back bench.
Baadae ikabidi ashushe pichu, akakali mashine nikaanza kumpelekea moto. Nikapiga kwa muda mrefu tu, bahati nzuri mpaka tunamaliza hakuna aliekua ameingia ndani ya basi.
Chakushangaza mzee wote tukapitiwa na usingizi mzito, kumbuka siku ilikua na purukushani nyingi na tulikosa muda wa kupumzika, kwa hiyo lile tendo ndio likatumaliza kabisa binti akiwa juu ya kifua changu, suruali yake imeshushwa chini miguuni pamoja na chupi. Mimi pia vile vile.
Cha kushangaza mimi ndie nilianza kushtuka usingizini, nikakuta basi limeshafanyiwa usafi lote na pazia za madirishani zote zimeshushwa/zimefunika madirisha. Ile nataamaki zaidi, naona siti baadhi zimeshakaliwa na watu na wamechapa usingizi.
Nikamuamsha dogo, kwa aibu tukavaa nguo zetu kimya kimya ndo kuanza kuulizana ilikuaje mpaka tukapitiwa na usingizi vile? Je hatujaonwa? Lakini mbona hata pazia za madirisha ya nyuma tulipokuwepo sisi yalifunikwa? Mbona basi lote limekua safi ndani na Dustbin zimeshawekwa tayari kwa safari ya asubuhi?
Basi alfajiri, tukaagana na manzi, mi nikaanza safari na yeye akaondoka mchana wa siku hiyohiyo.
HII THREAD IMENIKUMBUSHA MBALI SANA, NGOJA KWANZA KESHO NIMTAFUTE HUYU DEM NIMKUMBUSHE INGAWA KILA MMOJA WETU ANAFAMILIA YAKE.

KILE NILICHOKIFANYA MULE NDANI SIJUI NDICHO KILICHOUA BIASHARA YA YALE MABASI MAANA SAIV HAYAPO TENA. ILA YALITAMBA SANA YALE MABASI.
Inawezekana uliweka gundu.
 
Ushaharibu na haji, i bet both team to score "NO", ODD 3.12 na stake yangu naweka 500,000.

Usipopiga mechi au ukapiga mechi mbovu, ni tiketi ya timu pinzani kutotokea kabisa uwanjani next match.
Kuna ukweli hapa,mara nyingi huwa inanitokea.
 
NAKUMBUKA WAKATI NIPO FORM 5 NILIMLA MKE WA MWALIMU KWENYE SHAMBA LA MINAZI LA SHULE. ALIINAMA, AKASHKA MNAZI AKAPEWA VITU. AKANIZOESHA HUO MCHEZO NA PUNYETO NIKAACHA MANA ILIKUWA SHULE YA BOYS.

KWA HYO KARIBU KILA SIKU JIONI MIDA YA DINER ILE SAA 12 KIGZA KINAINGIA TUNAKUTANA HAPO SHAMBA, YEYE ALIKUWA ANAMUAGA MUMEWE SJUI ANAENDA WAPI.

NILIFAIDI SANA MKE WA MWALIMU YULE MPAKA NAMALIZA F6.

AKAWA ANACHUKUA CONTAINER LANGU ANANIWEKEA MENU KARIBU KILA SKU. KWA KWELI NILISOMA KWA RAHA NA NASHUKURU HAKUNA ALYEWAH KUJUA DILI HLO.. HATA RAFK YANGU SKUWAH KUMWAMBIA MANA MIMI SYO KAMA DIAMOND
bado unawasiliana nae?
 
Hatutaki tu kusema. Mie nakumbuka moja enzi hizo miaka ya 2000 ndo nimemaliza o-level, nikapata kibarua kwenye kiwanda kimoja cha kukoboa kahawa.... ikatokea kuna mkaka tukapendana kwa hiyo mechi zikawa zinapigwa ofisini either asubuhi kabla wengine hawajaja au mchana wakati wa lunch tunawahi kurudi kabla wengine hawajaja... nainamishwa tu faster nashika meza mchezo unaendelea. Tulinusurika mara kibao kufumaniwa. Ila nikiri tu mapenzi ya kuibia ni matamu sana.
Ulikuwa unainamishwa!!!!.
 
Sikuhizi mazingira hatarishi yamepungua but visa kadhaa vya hivi karibuni ni kama ifuatavyo

1.Nilimla mke wa mtu nyumbani kwake tena asubuhi kwenye sebule yeye ndio aliniita coz manzi mwenyewe ni pisi maarufu mjini maana ina tako hatari niliona nikiingia nayo lodge watanichoma na sikuwa na pesa ya kusafiri wilaya za jirani.

2.Nilimla beki 3 kwa tajiri yake japo huyo beki 3 alikuwa ni mzuri tofauti na beki tatu wengi..Niliaga nimeenda site na ntalala huko na network itakuwa haipatikani coz ni porini kumbe ni mtaa wa pili tu hapo,,demu kaniingiza kwao saa mbili kasoro kabla ya wenye nyumba kurudi ,,nikawekwa chumbn nikaletewa msosi huko huko ,,nikala mzigo ucku kucha saa 11 kanifungulia huyo nikasepa japo mbwa alibweka Sana asubuhi napotoka ikawa imetoka hiyo
Vingine ni visa vya kawaida kunambia a kwenye mapagala au ma gests yenye vip au private rooms nk nk kwa leo ni hayo tuu
Kweli Wewe ni Opportunity cost.
 
Nilikua na relation na shemeji, wife akilala nilikua naenda room kwa shemeji.
Kuna kipindi nikamkaushia nikawa siendi tena, akaniambia "si unanikimbia huji, nitakuja mwenyewe ".
Siku wife kalala na katoto ketu nako kalikua kamepitiwa na usingizi kakiwa pale chumbani kwetu wife akaona akachunie asikapeleke room kwake so akawa kakakumbatia wamegeukia huko.
Mimi nimeipakata laptop nimeegama tu kitandani nafanya kazi zangu mara paap naona shem huyo kaingia akazama kwenye shuka miguuni akaingia mpaka kiunoni nilipopakata laptop, ikabidi niiweke pembeni niizime fasta isitoe mwanga bado siamini na hofu juu, akaanza ku s.u.ck then akanikalia akafanya yake wee mimi siamini naogopa, then alivomaliza akaondoka kimya bila kusema lolote akiingia mpaka kutoka.
Asub akaniwai tu kuwa nitafutie dawa nimemwachia watoto usiku wa jana Alikua siku za hatari (Dawa za majira zile, tule twekundu twa juu within 72 hrs baada ya sex vinafaa bado) .
Nazijutia sana nyakati zile kwa kweli.
Kizazi cha nyoka.
 
me matukio yapo mengi sanaa ngoja nitoe machache 1:nikiwa nimemaliza form 4 uboizin ndio nilianza kugegeda.Kuna demu alkua ananielewa sanaa sas me nlkua simuelew kutokana na nyeto za uboizin nikawa dom zege,hyo siku home wote walsepa nikabak mwenyew..nikampanga yule dem akaja home usiku.Nikawa namuomba ananikazia hadi asubuhi ndio akanipa afu nlkua sielewi naweka wapi..hahaahh yeye ndio akanionesha,ile naeka tu nikajamba na wazungu haoo na dushe ikasinyaa dem akachomoka akavaa akasepa bila kumsindikiza
Nilijiona boya sana,toka siku ile hatujawah fanya tena na akaolewaga
Aaah kudaadeki walahi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nakumbuka ilikuwa Tanga nilienda kwenye mishe zangu usiku nikatoka nikaenda club nikatoka nje nikakutana na changu mmoja mzuri balaa tukaelewana bei akanipeleka kwenye uwanja flan hiv wa public yani pembeni magari yanapita Mimi nachakata mbususu nilishindwa kumaliza nikamuachia.
 
Back
Top Bottom