Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

[emoji134] [emoji134] [emoji134]
 
We jamaa umenichekesha
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbavu zanguuuuu!!!!
 
Nipe namba ya huyo mama kama yupo fodoma
 
Sebuleni tena mama mwenye nyumba nilipofikia alikuwa kaingia chumbani kwake kulala. Nikampanga house girl akapangika japo nilianza misele siku nyingi, ile amekaa kwenye kochi nikashughulika mara mama mwenye nyumba kaamka kufuata maji kwenye jokofu. Loooooh, hivi vitu sijui vinaziba masikio yaaani hata sikumsikia, hadi akapiga meza kofi, ndio tukashtuka.

Hiyo ilikuwa mwaka 1998 nipo form three, sasa kesho yake naamka asubuhi nikapatwa na tetekuwanga, mama mwenye nyumba sasa......ennnhhhh.......maukimwi hayo tayari ushayapata......utakoma......ngoja mjomba wako arudi nimuuulezeeee.

Shule sikwenda na nilikuwa naogopa kweli kuwa nishaukwaa ukimwi.
 
Nilishapigga mechi kwenye basi kuanzia DAR kwenda Mwanza kupitia Nairobi miaka hiyo, alikuwa ni mwanafunzi anakwenda shule Bunda, sasa kwenye mida ya ya usiku mitaa ya NRB kwenye siti ya nyuma ilikuwa balaa tupu
 
Dah nilizama chumban kwa demu nikawa nakula mzigo saa 8 usiku wazazi wake wakaamka wakawasha jiko ili wapike maandazi walikuwa wana hotel ilikuwa nyumba kubwa njia ya kutokea ilikuwa ni hiyo hiyo walipokuwa wanapikia Niko Na demu ndani tumechanganyikiwa maandazi hayaiv kwa wakati ili warud ndani mi nichomoke hadi kumi Na 11 alfajir inakaribia nikaona isiwe tabu nikaenda sebuleni main switch nikazima umeme afu nikabana nyuma ya mlango walipoingia sebuleni kujua tatizo n nn umeme haupo mi nkachomoka peku demu akaniletea viatu kesho yake, nashukuru Mungu nilimuoa huyu huyu hadi sasa tuna watoto watatu
Nikimkumbusha hii story huwa anacheka sana
 
Lile jukwaa limeshuhudia mengi sana. Ukipita saa moja unakuta kuna kashughuli kanaendelea na walinzi wapo. wanafunzi wa nyerere wameliwa sana pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…