Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

Kwa weledi[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu noma sana
 
Siku moja niko ccm kirumba nikanunua malaya nikaingia nae mtaroni ili nimbandue ,,asalaleeee....kumbe polisi walikuwa karibu wakituangalia....si punde nilisikia vishindo ,,yule malaya akaniambia polisi hao,,,,nilitoka mikuku vibaya, ilikuwa usiku kama wa saa 9 hivi sintosahau....................
 
Show za kibabe

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: SDG
unawezaje kula nduguyo?
 
Reactions: SDG
Niko o level nyakato sec school bukoba huko 2004 nikazama kileji(village) na Jamaa zangu nikabshatika kupata kabinti keupe pee nikaimbisha kikatiki.
Tukapanga jioni tuonane jirani na kanisa katoliki kulikua na msitu wa kupandwa wa miti aina ya karatusi.
Huu msitu al maarufu gesti ya bure. Basi jioni tumeonana na binti nikamuingiza humo ku msitu nikamlaza tukaanza shughuli.
Ghafla kuna Jamaa likawa linapita likachungulia likatuona. Mm pia nikaliona ila binti hakuona.
Basi nikawa nalipungia mkono lijamaa nikilifukuza lisepe lakini Jamaa ndio likachuchumaa kabisa ili lione vizuri. Hatujakaa sawa hamadi kuna mtu anakuja tafta vikuni kwa huo msitu Acha tutoke mbio na mchezo ukaishia hapo. Lile Jamaa baadae likaja kuwa lirafiki langu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukitoka hapa kachungulie kwenye thread ya kama una stress pitia hapa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]

Dah kweli kule stress free

Watoto nao kwa kuropoka.... Mgeni kauliza "mbona paka wenu ananiangalia sana ninavyokula?" Mtoto akaropoka "labda kwasababu wamekupakulia kwenye SAHANI yake!". ungekuwa ww ndio mgeni ungefanyaje??????????
 
Hahahahahahahahahahaaaaaaaa.

Tafuta vikuni......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…