Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]hayo mambo ukimfukuza mtu hatoki ndio kama vile unamwita aendelee kuangaliaNiko o level nyakato sec school bukoba huko 2004 nikazama kileji(village) na Jamaa zangu nikabshatika kupata kabinti keupe pee nikaimbisha kikatiki.
Tukapanga jioni tuonane jirani na kanisa katoliki kulikua na msitu wa kupandwa wa miti aina ya karatusi.
Huu msitu al maarufu gesti ya bure. Basi jioni tumeonana na binti nikamuingiza humo ku msitu nikamlaza tukaanza shughuli.
Ghafla kuna Jamaa likawa linapita likachungulia likatuona. Mm pia nikaliona ila binti hakuona.
Basi nikawa nalipungia mkono lijamaa nikilifukuza lisepe lakini Jamaa ndio likachuchumaa kabisa ili lione vizuri. Hatujakaa sawa hamadi kuna mtu anakuja tafta vikuni kwa huo msitu Acha tutoke mbio na mchezo ukaishia hapo. Lile Jamaa baadae likaja kuwa lirafiki langu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Niko o level nyakato sec school bukoba huko 2004 nikazama kileji(village) na Jamaa zangu nikabshatika kupata kabinti keupe pee nikaimbisha kikatiki.
Tukapanga jioni tuonane jirani na kanisa katoliki kulikua na msitu wa kupandwa wa miti aina ya karatusi.
Huu msitu al maarufu gesti ya bure. Basi jioni tumeonana na binti nikamuingiza humo ku msitu nikamlaza tukaanza shughuli.
Ghafla kuna Jamaa likawa linapita likachungulia likatuona. Mm pia nikaliona ila binti hakuona.
Basi nikawa nalipungia mkono lijamaa nikilifukuza lisepe lakini Jamaa ndio likachuchumaa kabisa ili lione vizuri. Hatujakaa sawa hamadi kuna mtu anakuja tafta vikuni kwa huo msitu Acha tutoke mbio na mchezo ukaishia hapo. Lile Jamaa baadae likaja kuwa lirafiki langu[emoji23][emoji23][emoji23]
njoo tufanyie sehemu hatarishiKwenye maeneonhatarishi sifanyagi
Sitakiiii.njoo tufanyie sehemu hatarishi
Haya nakujanjoo tufanyie sehemu hatarishi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] hayaHaya nakuja
vitamu balaaSitakiiii.
hata me nlintoa bikra mmoja kule kwene uwanja wa basket karibu na shamba la mahundi maza ake anauza mboga bac ikawa kila siku napata mboga za bureLile jukwaa limeshuhudia mengi sana. Ukipita saa moja unakuta kuna kashughuli kanaendelea na walinzi wapo. wanafunzi wa nyerere wameliwa sana pale.
[emoji32] Seriously?? Kweli kichwa kidogo kikikasikika kikubwa hakifanyi kazi.
Umeshawahi kwani?[emoji1] [emoji1] [emoji1] haya
vitamu balaa
ndiyo ila naona aibu kuadisiaUmeshawahi kwani?
Kama unaona aibu nihadithie mimi tu inbox.ndiyo ila naona aibu kuadisia
Hata kama, mimi nataka faragha. Manake najiskia vibaya sana nisipoutumia ulimi wangu, ndio maana hata kama kuna fursa ya chap chap naachana nayo wala siishabikiivitamu balaa
hapanaKama unaona aibu nihadithie mimi tu inbox.
basi nimekuelewaHata kama, mimi nataka faragha. Manake najiskia vibaya sana nisipoutumia ulimi wangu, ndio maana hata kama kuna fursa ya chap chap naachana nayo wala siishabikii
Hizo ndo tabu zako!hapana