Elimu yangu shule ya soni seminary Tanga niliisoma kwa miez tisa tuu, Tuliendaga shule flan ya girls tuu, inaitwa kifungiro, kwenye TYCs nikakutwa na katoto flan hiv ka shule nyinge iliyokua imekuja pale inaitwa Mazinde juu. Akili za kitoto Na nyege chin ya maua na mchana kweupee tukagegedana, Fumba fumbua recta huyu hapaa, demu akakimbia sbb yy recta hamjui, Nikaitwa Na staff wakaniambia msamaha wang ilikua Nimtaje demu ili tupewe suspenssion Nikagoma kbsaa, Nilijiongeza tuu, kwa shule ya masista vs shule ya mapadri Msamaha wa namna hio sahau. kwaio nilijua tuu sina shule, sikutaka ku mrisk dem wa watu. Basi tukarud shule kesho yake Nikaitwa Nikapewa barua ya kwaheri, Nilichokipata nyumbn n sir yangu na sitosahau. bahat nzur Kuna Walimu walinionea huruma, wakaniombea niondoke km mtu anayehama shule. Soo nikataftiwa shule nyingne. Nilikua mtiifu mpk nikapewa u HB, na siku ya kumaliza zawad full, Demu tulipotezana kbsaa, ila kilichopangwa kimepangwa tuu fumba fumbua tukakutana chuo kmoja, shoo zinaendela mpk leo. walimu walioniteteaga mpk leo ni marafk zangu sanaa.