Dah huu uzi niliwahi ku comment ila nimekuja na mpya juzi tu hapa.
Boss wangu kafiwa na mama yake hivyo mpaka sasa yupo kwenye leave basi kuna dada ofisini alikuaga mjamzito nilikua namtunza sana, mara aniombe hela ya chai, mara nauli, mara lunch.. Mimi nilikua sina makuu nampa tu.
Basi washkaji wakaanza kumzingua wakamwambia akishusha tu mzigo basi anitunuku na mimi maana sio kwa matunzo yale.
Basi binti nae kwa utani utani akawajibu kuwa atanioa. Yani mimi niwe Mariooo.
Bwana huyu binti kajifungua na imepita miezi sita, last week baada ya boss kufiwa basi watu wengi pale kazini walienda kwenye msiba na tukabaki mimi na yule binti tu. Kwa bahati nzuri yule binti ana msambwanda wa haja asee kama kigoda hata ukitaka kukaa unakaa..
Nilifanya kufunga milango yote na kufunga curtains zote alafu nikaanza kupiga touch na mwisho wa siku nikaona nimgegede kwa doggie style ili niufaidi ule msambwanda.
Raha sana asee haya mambo,.. Sema naogopa huyo mjeda alozaa nae anaweza kuniletea vifaru na SMG