Juz kati nilienda zangu likizo kijijini kwetu huko sitimbi,mke wangu nilimuacha so nilienda peke yangu.ktna demu flan nilimshobokea nae akaelewa somo.sasa sehemu ya kumgegeda ikawa ishu coz alikuwa mke wa mtu kwahiyo sikutaka mtu mwingine ajue zaid yetu.bhana bhana demu akenipeleka sehemu flani hivi kichani karibu na makaburi.tumefika demu akatandika kanga chini nae akalala.kidume nikawa nimepiga magoti tayari kwa kuanza mashambulizi,ghafla nikahisi ubaridi na majimaji kwenye goti la kushoto.nikamwambia khanga yako imeloana akasema hapana.si ndo kupeleka mkono na kunusa,duh ni mavi ya mtu! Goti lote limetapakaa mavi.nikamwambia tumelalia mavi,ikabidi tusogee mbele kidogo kupiga mechi yetu.nashukuru tulimaliza mechi fresh na nikaenda gheto kufua suluari na kuoga.