Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Nadhani labda kuna mahali walichimba wakawa wanajengea hivyo udongo ukatakiwa kuhamishwa ulivyopakiwa kwenye mende uzito ulivyopimwa ikawa tani saba.
Ni kweli kwa watu wakawaida. Ila kwa watu kama yeye ni special case. So kungefanyika namna.Hakuna kuingia wala kutoka Kenya, hata kama angekuw hauguzi angekujaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hapana ila mara nyingi huwa naona wanachimba futi saba.Probably, nikiwa mdogo nilikuwa najiuliza kwa nini tani 7?
Halafu nikawa kuna muda nalinganisha nawaza ina maana makaburi yote udongo wake ni uzito sawa?
Hahaha hapana ila mara nyingi huwa naona wanachimba futi saba.
Ila kuna mahali nilienda kuzika upareni huko kaburi lilikuwa shallow sana kiasi sidhani haka kama zilifika futi 5. Nadhani sababu ilikuwa ardhi ya pale ni miamba miamba sana.
Hahaha hapana ila mara nyingi huwa naona wanachimba futi saba.
Ila kuna mahali nilienda kuzika upareni huko kaburi lilikuwa shallow sana kiasi sidhani haka kama zilifika futi 5. Nadhani sababu ilikuwa ardhi ya pale ni miamba miamba sana.
Nimeelewa sana,magonjwa yote yanaambukizwa na virus,hivyo Basi taadhali lazima ichukuliweameuliza kuhusu corona wewe unajibu habari za ebola!.....magonjwa mawili tofauti kabisa, ule mziki wa ebola ni habari nyingine kabisa aiseee
Hamna excuse yeyote ya kukubalika eti uache kuja kumzika mmeo kwani hamna ndugu wa kumuachia mtoto na hapo hospital kwani yeye ni Dr? Yeye si anamuangalia tu ila manesi na ma Dr ndo wanaomtibu isitoshe yule ni mtoto wa mkubwa lazma yuko first class huduma zote anapewa,yeye asingeshindwa kupanda ndege fasta after mazishi arudi Nairobi, angekuwa usukumani huyo angepigwa masumule au "Nchenya"
Inasikitisha tu hata huyo mke wake hakuna anyejua jina lake hapa JF...Acha kulaumu tu. Haujui kuwa hakuna ndege kwa sasa kwa sababu ya corona? Unakaa kijiji gani mpaka usijue hili? Hata ukichukuwa basi, unapoingia nchi nyingine unaweka katantini kwa siku 14.
Kwa kesi yake kwa nini rais hajaituma helikopta ikamchukue.Acha kulaumu tu. Haujui kuwa hakuna ndege kwa sasa kwa sababu ya corona? Unakaa kijiji gani mpaka usijue hili? Hata ukichukuwa basi, unapoingia nchi nyingine unaweka katantini kwa siku 14.
Mke wakeR.I.P Dr. Mahiga! Hivi alikuwa na uhusiano gani na Janeth Mbene naibu waziri wa fedha wa zamani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kesi yake kwa nini rais hajaituma helikopta ikamchukue.
Mbona kwa Hasan Malin waliweza.?
Yote Tisa,toka kifo hata angetoka kwa gari alikuwa na uwezo wa kumzika mumewe. Labda kuna wosia yeye asiwepo kwenye maziko.
Lakini hakuna utetezi wowote ulo wa kushindwa kufika.
Sent using iphone pro max
Mazishi ya Kingunge yaliendeshwa na katekistaNdio utajua hadi kanisani classes zipo.. kuna waumini ni wahuzuriaji wa jumuia ndogo ndogo , misa kila siku asubuhi , kila jpili yupo lakini akifa au akifiwa anazikwa na katekista au paroko tu..
Lakini akifariki mtu mzito hata kama jumuia ndogo ndogo hakanyagi utamuona Askofu tena mkuu..
Hivi maiti akiwa kwenye jeneza anaweza kumwambukiza mtu korona bila kumgüsa?
Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Augustine Mahiga leo atamaliza safari yake duniani kwa kuzikwa kijijini kwake Tosamaganga. Viongozi mbalimbali wa kitaifa wakiongozwa na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu watamsindikiza katika safari yake hii ya mwisho.
UPDATE
Aliyekuwa waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mahiga amezikwa leo kijijini kwake Tosamaganga mkoani Iringa.
Serikali iliwakilishwa na makamu wa Rais mama Samia Suluhu ambaye aliuelezea wasifu wa Balozi.
Bunge liliwakilishwa na Naibu Spika Dr Tulia Ackson ambaye baada ya kumuelezea Dr Mahiga alisema amekuja na rambirambi za wabunge lakini watazikabidhi kwa mke wa marehemu pindi atakaporejea kutoka Nairobi Kenya anakouguza mtoto.
Hata hivyo mwisho wa shughuli za mazishi Waziri wa Ardhi mh Lukuvi aliagiza DC Kasesela wa Iringa Mjini akabidhiwe michango yote ya rambirambi hadi aitunze hadi atakapopewa maelekezo rasmi na familia.
Kauli za kibaguzi zimekujaa mdomoni chief...Mbona kazikwa haraka hivi? bila hata kuagwa na mapambio mtu mkubwa maarufu kama huyu?
Mwenzake Jaji Ramahani kawekwa siku 4 na kuagwa rasmi pale karim jee jana., Kulikoni ?
Mbona tuna wabagua hawa makada wa CCM na Nguli wa Ujasusi.
hata Mabalozi basi kuja kumuaga?
Yaani nyie mkipigana lazima mpigane za pua. DuhCorona sio vita ni ugonjwa unaohitaji tafiti na tiba
Nyie mazwazwa muwe mnachuja mambo ,kila unaloambiwa wewe wanapiga matarumbeta tupo kwenye vita vya corona
Tumia akili soma Fasihi ya mwandishi anamaanisha kitu gani
Povu jingi huelewi kilichoandikwa
Waliendaje Kenya?Kumbuka hakuna ndege za international. MipKa imefungwa