Mazishi ya Dkt. Augustine Philip Mahiga kijijini kwake Tosamaganga mkoani Iringa. Mkewe ashindwa kuhudhuria baada ya kuwa Kenya akiuguza mtoto

Mazishi ya Dkt. Augustine Philip Mahiga kijijini kwake Tosamaganga mkoani Iringa. Mkewe ashindwa kuhudhuria baada ya kuwa Kenya akiuguza mtoto

Nadhani labda kuna mahali walichimba wakawa wanajengea hivyo udongo ukatakiwa kuhamishwa ulivyopakiwa kwenye mende uzito ulivyopimwa ikawa tani saba.

Probably, nikiwa mdogo nilikuwa najiuliza kwa nini tani 7?

Halafu nikawa kuna muda nalinganisha nawaza ina maana makaburi yote udongo wake ni uzito sawa?
 
Probably, nikiwa mdogo nilikuwa najiuliza kwa nini tani 7?

Halafu nikawa kuna muda nalinganisha nawaza ina maana makaburi yote udongo wake ni uzito sawa?
Hahaha hapana ila mara nyingi huwa naona wanachimba futi saba.

Ila kuna mahali nilienda kuzika upareni huko kaburi lilikuwa shallow sana kiasi sidhani haka kama zilifika futi 5. Nadhani sababu ilikuwa ardhi ya pale ni miamba miamba sana.
 
Hahaha hapana ila mara nyingi huwa naona wanachimba futi saba.

Ila kuna mahali nilienda kuzika upareni huko kaburi lilikuwa shallow sana kiasi sidhani haka kama zilifika futi 5. Nadhani sababu ilikuwa ardhi ya pale ni miamba miamba sana.

Sure, baadae nilihisi tu ni msemo, ila kuna namna uliibuka
 
Hahaha hapana ila mara nyingi huwa naona wanachimba futi saba.

Ila kuna mahali nilienda kuzika upareni huko kaburi lilikuwa shallow sana kiasi sidhani haka kama zilifika futi 5. Nadhani sababu ilikuwa ardhi ya pale ni miamba miamba sana.

Six Feet Under / Futi Sita

Huu ni msemo na origin yake ni as follows:-

It all started with the plague: The origins of “six feet undercome from a 1665 outbreak in England. As the disease swept the country, the mayor of London literally laid down the law about how to deal with the bodies to avoid further infections.
 
Acha kulaumu tu. Haujui kuwa hakuna ndege kwa sasa kwa sababu ya corona? Unakaa kijiji gani mpaka usijue hili? Hata ukichukuwa basi, unapoingia nchi nyingine unaweka karantini kwa siku 14.
Hamna excuse yeyote ya kukubalika eti uache kuja kumzika mmeo kwani hamna ndugu wa kumuachia mtoto na hapo hospital kwani yeye ni Dr? Yeye si anamuangalia tu ila manesi na ma Dr ndo wanaomtibu isitoshe yule ni mtoto wa mkubwa lazma yuko first class huduma zote anapewa,yeye asingeshindwa kupanda ndege fasta after mazishi arudi Nairobi, angekuwa usukumani huyo angepigwa masumule au "Nchenya"
 
Acha kulaumu tu. Haujui kuwa hakuna ndege kwa sasa kwa sababu ya corona? Unakaa kijiji gani mpaka usijue hili? Hata ukichukuwa basi, unapoingia nchi nyingine unaweka katantini kwa siku 14.
Inasikitisha tu hata huyo mke wake hakuna anyejua jina lake hapa JF...

Hata watoto tu basi..!!?

The Gods are many... Yani ya Mungu Mengi.
 
Acha kulaumu tu. Haujui kuwa hakuna ndege kwa sasa kwa sababu ya corona? Unakaa kijiji gani mpaka usijue hili? Hata ukichukuwa basi, unapoingia nchi nyingine unaweka katantini kwa siku 14.
Kwa kesi yake kwa nini rais hajaituma helikopta ikamchukue.

Mbona kwa Hasan Malin waliweza.?

Yote Tisa,toka kifo hata angetoka kwa gari alikuwa na uwezo wa kumzika mumewe. Labda kuna wosia yeye asiwepo kwenye maziko.

Lakini hakuna utetezi wowote ulo wa kushindwa kufika.

Sent using iphone pro max
 
Hata kusoma nikusomee? Ukingia Tanzania toka Kenya, unawekwa karantini kwa siku 14 kabla ya kuachiwa. Ukiingia upande wa Kenya nako hivyo hivyo. Mbona rahisi sana hili kueleweka. Kwani hauna ubongo kabisa wewe?
Kwa kesi yake kwa nini rais hajaituma helikopta ikamchukue.

Mbona kwa Hasan Malin waliweza.?

Yote Tisa,toka kifo hata angetoka kwa gari alikuwa na uwezo wa kumzika mumewe. Labda kuna wosia yeye asiwepo kwenye maziko.

Lakini hakuna utetezi wowote ulo wa kushindwa kufika.

Sent using iphone pro max
 
Ndio utajua hadi kanisani classes zipo.. kuna waumini ni wahuzuriaji wa jumuia ndogo ndogo , misa kila siku asubuhi , kila jpili yupo lakini akifa au akifiwa anazikwa na katekista au paroko tu..

Lakini akifariki mtu mzito hata kama jumuia ndogo ndogo hakanyagi utamuona Askofu tena mkuu..
Mazishi ya Kingunge yaliendeshwa na katekista
 
Aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Augustine Mahiga leo atamaliza safari yake duniani kwa kuzikwa kijijini kwake Tosamaganga. Viongozi mbalimbali wa kitaifa wakiongozwa na Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu watamsindikiza katika safari yake hii ya mwisho.


UPDATE

Aliyekuwa waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Mahiga amezikwa leo kijijini kwake Tosamaganga mkoani Iringa.

Serikali iliwakilishwa na makamu wa Rais mama Samia Suluhu ambaye aliuelezea wasifu wa Balozi.

Bunge liliwakilishwa na Naibu Spika Dr Tulia Ackson ambaye baada ya kumuelezea Dr Mahiga alisema amekuja na rambirambi za wabunge lakini watazikabidhi kwa mke wa marehemu pindi atakaporejea kutoka Nairobi Kenya anakouguza mtoto.

Hata hivyo mwisho wa shughuli za mazishi Waziri wa Ardhi mh Lukuvi aliagiza DC Kasesela wa Iringa Mjini akabidhiwe michango yote ya rambirambi hadi aitunze hadi atakapopewa maelekezo rasmi na familia.

Inasikitisha kwa vile marehemu hakufa magonjwa ya maambukizi kulikuwa na haraka gani kumzika haraka haraka? Si wangemsubiria tu mkewe?
 
Mbona kazikwa haraka hivi? bila hata kuagwa na mapambio mtu mkubwa maarufu kama huyu?
Mwenzake Jaji Ramahani kawekwa siku 4 na kuagwa rasmi pale karim jee jana., Kulikoni ?
Mbona tuna wabagua hawa makada wa CCM na Nguli wa Ujasusi.
hata Mabalozi basi kuja kumuaga?
Kauli za kibaguzi zimekujaa mdomoni chief...
utaishi kwa tabu sana kama una hizo element..
 
Yaani
Corona sio vita ni ugonjwa unaohitaji tafiti na tiba
Nyie mazwazwa muwe mnachuja mambo ,kila unaloambiwa wewe wanapiga matarumbeta tupo kwenye vita vya corona

Tumia akili soma Fasihi ya mwandishi anamaanisha kitu gani

Povu jingi huelewi kilichoandikwa
Yaani nyie mkipigana lazima mpigane za pua. Duh
 
Back
Top Bottom