Atapataje mtoto wakati alikuwa anapika anapakuliwa!!Inakuwaje hajaacha mtoto? Nilikuwa namkubali sana huyu jamaa pamoja na Wakongomani wenzake walioimba muziki wa Soukouss miaka ile ya tisini.
Ilikuwa ni raha tupu! Kuanzia yeye mwenyewe Jenerali Defao, Pepe Kalle, Aurlus Mabele, Bozi Boziana, Yondo Sister, Wenge Musica, Extra Musica, Allain Koukou, na wengineo wengi!
Yes 260mil usd260 USD ni vito?
Ikoje hii?ku date kote na Rigobert hawakupata mtoto
Kupata mtoto ni majaliwa na yeye hakubahatika kupataInakuwaje hajaacha mtoto? Nilikuwa namkubali sana huyu jamaa pamoja na Wakongomani wenzake walioimba muziki wa Soukouss miaka ile ya tisini.
Ilikuwa ni raha tupu! Kuanzia yeye mwenyewe Jenerali Defao, Pepe Kalle, Aurlus Mabele, Bozi Boziana, Yondo Sister, Wenge Musica, Extra Musica, Allain Koukou, na wengineo wengi!
Jamaa hakuwa rizki.RIP Legendary. Nakumbuka miaka ya 1990s alikuja TZ halafu baada ya show host wakamtelekeza.bakahifadhiwa na jimama flani Mtoni Kwa Aziz Ally. Nahisi hapo ndipo alipozoa virusi. Ila ka-survive kitambo
Diamond platnamuz wa enzi zetu.Ndo nani huyu
Rigobert alitibua mtaro hapoIkoje hii?
Mkuu fafanuaYaani hakufanikiwa kabisa
Duuh.... Kwahiyo ndo alikuwa demu wake?Rigobert alitibua mtaro hapo
rigobert si ni wimbo mkuu ameimba huyu jamaa?Rigobert alitibua mtaro hapo
(KOZA)Defao feat suka chile ilikuwa ngoma kali sana kutoka kwa marehemu general defao. (POSA)
[emoji441][emoji1623] Usifike kwangu, utaleta fujo na mpenzi wangu wa sasa tulitalaka na wewe oooposa.
rigobert song alikua mme wakerigobert si ni wimbo mkuu ameimba huyu jamaa?
hahaha noma sana, mwendo wa kupeleka moto tuDuuh.... Kwahiyo ndo alikuwa demu wake?
Ila nasikia kuna mwamba hapa bongo alimtibua mtaro hadi akawa dhoofu hali
Hii hela umendika unaijua au umekurupuka tu mzee kutoka usingizini😎🙄, hii ni zaidi ya billion 600 za kitanzania!Yes 260mil usd
260 USD ni vito?
Kwamba Tsh 600,600/= hela alikuwa hana hata watoto hana hii ni hasara kubwa sana kwake.
mtoa mada akisena 260Dola milioni 260
Rigorbery Song au?maana umeandika jina mojaRigobert alitibua mtaro hapo
Maskini katika ubora wenu,.mkisikia habari za kufiranah mnafurahia.kweli na ndicho mnachojua au kukumbuka kutoka kwa mwanamuziki huyu, ambaye amefanya mengi mazuri na makubwa katika tasnia ya muziki. Hongera zenu wapumbavu.